Invisible hapo ni kama kumpigia mbuzi gitaa maana huo mtandao hutausikia wala taarifa za alikotoa mzigo
kamanda nzowa ataizima kimya kimya na wala huo upelelezi hautasema mzigo ni wa nani wala ulitoka wapi na wapi madawa hayo yaliingilia
Halafu hawapati fundisho hawa watu ni kama kuna mtu anawahakikishia usalama wao kuwa nyie nendeni tuu hakuna shida
Duuuu, haya mambo yamekuwa kawaida sasa ila jipya ni hilo la kudakwa Uwanja wa ndege wa Kambarage...
Mkuu Invisible huu mtandao tuachane nao tu, maji yamezidi unga. Pamoja na ushaidi wote huo, amini amna kesi hapo.
Hivi hawa ma-punda sijui wabebaji wanakuwaga wametolewa akili kwanza au ni nini? Sielewi na makelele yoooote ya huyu kakamatwa China sijui na yule wapi bado watu wanadiriki kutumika katika hii biashara?!!!!:confused2:..Hii ni zaidi ya Ze KOMEDI!