Haahahahahah mwamba testosterone level zipo chini sana bila shaka.Hakuna kitu mwanaume anahitaji kwa mwanamke zaidi ya sex na hakuna kitu mwanamke anahitaji kwa mwanaume zaidi ya pesa (msaada)
Hili ndio lengo hasa kubwa la kuwa hata na mpenzi nashangaa maneno haya sana yanatoka kwa wanawake walio wengi kuwa tusisex mpaka siku ya ndoa, hili linapotoka kwa mwanaume nahisi kuna tatizo mahali.
Haaa mimi nahisi kuna tatizo mahali maana sijawahi kusikia hili la mwanamke ndio anataka sex halafu mwanaume analazimisha mpaka mfunge ndoa?Haahahahahah mwamba testosterone level zipo chini sana bila shaka
Nadhani wanaume wenye madhaifu haya wanapenda kujificha kwenye maneno kama haya kuwa mpaka tuoane.Mmmh aisee au huna nguvu za kiume. Ingekua mwanamke ndio anasema hivi nisingeshangaa ila mwanaume
Kuna msichana ilikua hivi hivi honeymoon ndio anagundua mume wake hana uwezo wa kushiriki tendo la ndoa. Ikabid aende kanisani ndoa ikavunjwa
Impossible, japo huwa kuna wakati nafululizaga sana.Mkuu una uhakika unadisa kila monie?