Anapenda kupiga picha na mastaa wa bongo

Anapenda kupiga picha na mastaa wa bongo

Mkuu,

Asante. Hapa unamaanisha nilikosea kusupport wazo lake la Kutaka kupiga picha.

Tuelewane, Mwanzo nilikataa, lakini baadae likaja wazo, huyu ni demu wangu na sio Mke wangu. So nikataka kujua how Far she will Go, so nikawa nyuma ya Mawazo yake, huku na mimi nikiwa namtafakari ni Binti wa aina Gani.

Yote alofanya jana hayakunipa Head ache, becouse i realized that, there was a Part of her that i did not know. So i choose to know it.

Kama nilikosea, Sawa. Nimeelewa.

Naamini kabla hujaamua kutuliza mawazo yako kwa mwanamke mmoja ni lazima ujiridhishe kuwa anasifa worth fighting For.

Huyu hanipi Presha, nataka kuzijua tabia zake ambazo ni siri. Mpaka uonyeshe ku share nae some interests ndio utapata nafasi ya kuzijua.

Kwa kifupi, Jana niliamua kumtreat much as a Friend than Mpenzi, ili awe huru na mimi afunguke kiu zake, nipate kufanya tathmini kabla ya Maamuzi.

Mimi hata angekuwa barmaid tu ananililia nimpige picha akiwa na wanaume aina aina, kwanza ningejichunguza manhood yangu,isije kuwa sifa yangu ya kuwa mwanaume ishapotea!
 
ImageUploadedByJamiiForums1429352659.474345.jpg
Hii ndio dawa yake next time.
 
Hebu Fumbua akilI zako kidogo. Huyu sio Mke wangu. Ni demu wangu. Sababu ya kufanya hivyo ni mimi kupata nafasi ya kujua kile ambacho sikuwah kukijua...

Niliamua kuwa Rafiki yake zaidi na sio Mpenzi wake, ili nimjue zaidi.

Sisi tunaofanya kazi zenye discipline ya construction tunasema demu ni milestone/foundation footing with reference na safari ndefu ya kupata mke, ikiwa wewe ni mtu wa kujiokotea mademu wa hovyo hovyo basi taraji kuoa mke wa hovyo hovyo....Huwezi kudream kupata kilicho bora miongoni mwa vibovu, haiwezekani hata kidogo!
 
Mkuu chukua ushaur wang..gonga huyo demu.then achana naye..mchane mwambie nakuacha coz unazingua na tabia za kishamba kishamba
 
Naona wewe ndio una matatizo kuzidi huyo mchumba wako! Wewe unafanya ujinga kuzidi huyo msichana wako.
 
Utakua na tatizo kwenye mfumo wa ubongo wa mbele na hilo hupelekea kidume kama ww kulegea na mwisho wa siku msipo pata tiba ya kuchapiwa mademu wenu na mkaitwa kupiga picha ugonjwa wa uchoko utakutesa sana


Asante kwa Matusi yako.
 
Na kama ujuavyo picha hamuwezi kupiga mmekakamaa ka wanajeshi wakiwa kwenye gwaride, kuna kupakatwa...daaah mwanaume unaweza kuishia kupiga ukunga nyuma ya camera!

Hahhahhaa kupiga ukunga nyuma ya camera umeniua mkuu
 
Sisi tunaofanya kazi zenye discipline ya construction tunasema demu ni milestone/foundation footing with reference na safari ndefu ya kupata mke, ikiwa wewe ni mtu wa kujiokotea mademu wa hovyo hovyo basi taraji kuoa mke wa hovyo hovyo....Huwezi kudream kupata kilicho bora miongoni mwa vibovu, haiwezekani hata kidogo!

Wa hovyo utamfahamu vipi Mkuu? Kama sio hivi? Kupata nafasi ya kumjua kwa kumpa uhuru huku ukitizama nn anafanya akiwa huru?

Unaamini i was wrong kumruhusu kupiga picha? Ama nilikosea mm kumpiga hizo picha?
 
Kama ni demu tu wa kupita naye sawa ila kama una mpango wa kumfanya wife basi achana naye mwambie akaolewe na hao masuperstaa...
 
Mkuu chukua ushaur wang..gonga huyo demu.then achana naye..mchane mwambie nakuacha coz unazingua na tabia za kishamba kishamba

Sawa Mkuu. Kwa tabia aloonyesha jana, inamaana kuna Mengi siyajui, na nisingeyajua kama ningemkatalia.. Wala nisingepata nafasi ya kumfahamu....

Hakuna kitu kigumu kama kumjua Mwanamke.
 
Sawa Mkuu. Kwa tabia aloonyesha jana, inamaana kuna Mengi siyajui, na nisingeyajua kama ningemkatalia.. Wala nisingepata nafasi ya kumfahamu....

Hakuna kitu kigumu kama kumjua Mwanamke.

Ila mkuu kwenye kugonga tumia ndomu....si unajua hawa urith wa kwetu...tumia acha mkuu.mm nishasaugi kupenda madem.
 
Hii jf hii!
Ipo siku atakuja mtu kuomba ushauri humu "nipo afrika sana, kuna jam"
 
Mie nadhani ulichokifanya sio kitu cha kawaida kwa Mwanaume kufanya. Inawezekana nae alikuwa anakuchunguza. Hapo sasa, sijui nani ni kituko zaidi? Nasikiktika kusema kura yangu ni kwako!
 
Back
Top Bottom