barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,329
- 29,594
Huku sasa ni kujipa kazi ya kulinda bahari
Duh! Hii kali ya kulinda bahari. Nimecheka sana!
Huku sasa ni kujipa kazi ya kulinda bahari
Basically, that's what I meant. Unaziba mianya kwa kutimiza mahitaji yote ya mwenzio.Mpendwa hata ufanyeje kama mtu kaamua kaamua tu.... Ni ku ignore tu hakuna haja ya kutumia minguuuvu kiivo
Does it worthy doing that!?Fanya kama ulivyoambiwa juu....chukua off kaa pembeni angalia kipi kitatokea, au weka private investigator hapo unampa hata buku akupe habari. Jamaa akitia nanga tu anakuarifu unakuja ona fumanizi au hata picha zatosha.
Does it worthy doing that!?
Duh! Aibu aiseeeh!
Kama ipo ipo tu atakuja kujua naturally.
Sema MUNGU AKUEPUSHE USIJE MFUMANIA, kuchapiwa dunia ya leo kuikwepa ni ngumu sana.
CC Jean chillKama ipo utawabamba tu, usitumie nguvu nyingi sana. Kila kitu kwa nafasi yake wala usiharibu kazi yako, piga kazi uzisake hela kama kweli mkeo ni kunguru hafugiki utamkamata tu ilimradi kuwa na akili, macho na masikio ya kijasusi.
Bwana weye unataka kutia watu dhambi sasa,ivi kweli hujuinini chakufanya kweli mpaka ukahakikisha au huyo alokwambia hawezi kukusaidia mbinu kama anakupenda kweli.... Angalia sana sio kila unaloambiwa ni kweli,chakufanya huyo alokwambia mwambie atakua kwenye nafasi nzuri SANAAAAAAAAA yakukusaidia kujua ukweli...Niliona anafanya vizur siku za kazi kuniamsha mapema,kumbe sivyo!!kuna kijana nasikia anakujaga alfajir ninapotoka.kumuuliza wife nashindwa na huyo kijana ninamtaman vibaya sijui nitamnasaje.Naombeni mawazo na ushaur jamani.
Niliona anafanya vizur siku za kazi kuniamsha mapema,kumbe sivyo!!kuna kijana nasikia anakujaga alfajir ninapotoka.kumuuliza wife nashindwa na huyo kijana ninamtaman vibaya sijui nitamnasaje.Naombeni mawazo na ushaur jamani.
Niliona anafanya vizur siku za kazi kuniamsha mapema,kumbe sivyo!!kuna kijana nasikia anakujaga alfajir ninapotoka.kumuuliza wife nashindwa na huyo kijana ninamtaman vibaya sijui nitamnasaje.Naombeni mawazo na ushaur jamani.
Omba ruhusa kazini hata siku tatu uvizie, kutmbewa sio jambo dogo ohooo