hiyo nimejaribu nimeshindwa kumnasa,kutokana na haraka zangu za kuwai kazini
mwenzio akiomba msaada ujue kaishiwa mbinu
Khaa!! Chief wako vijana 10 sema wife wako anajua kuwapanga. Sasa ukimpata mmoja mkate kichwa ukaolewe wewe segereaNiliona anafanya vizur siku za kazi kuniamsha mapema,kumbe sivyo!!kuna kijana nasikia anakujaga alfajir ninapotoka.kumuuliza wife nashindwa na huyo kijana ninamtaman vibaya sijui nitamnasaje.Naombeni mawazo na ushaur jamani.
huyu hajasema ukweli
hiyo nimejaribu nimeshindwa kumnasa,kutokana na haraka zangu za kuwai kazini
Omba ruhusa kazini hata siku tatu uvizie, kutmbewa sio jambo dogo ohooo
hiyo nimejaribu nimeshindwa kumnasa,kutokana na haraka zangu za kuwai kazini
hiyo nimejaribu nimeshindwa kumnasa,kutokana na haraka zangu za kuwai kazini