kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,231
- 18,497
hiyo nimejaribu nimeshindwa kumnasa,kutokana na haraka zangu za kuwai kazini
Lazima ujiandae, kwa maana Leo nafanya kazi fulani, job wakusubiri...
hiyo nimejaribu nimeshindwa kumnasa,kutokana na haraka zangu za kuwai kazini
ndo kinini hicho?
Niliona anafanya vizuri siku za kazi kuniamsha mapema, kumbe sivyo! Kuna kijana nasikia anakujaga alfajiri ninapotoka kumuuliza mke wangu nashindwa na huyo kijana ninamtamani vibaya sijui nitamnasaje.
Naombeni mawazo na ushauri jamani.