Ananiambia nijipange kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

Ungejua nafasi yako kama mwanaume unayetegemea kuanzisha familia itakayokutegema kama mkuu wa kaya kuna vitu ungevitazama kwa jicho la tofauti sana.

Yaani umemchambua binti watu kiasi hicho!? Hapo kisa sio mahari tuu! Hayo maneno yameonyesha ulivyo na roho chungu na mbinafsi.

Kama hakufai si umwache? Au ukiambiwa umwoe bila mahari ndio unamwona mwanamke bora??

Tafuta wakubwa wakueleze maana ya mahari watakuambia Mahari ni kipimo cha kujua kama mwanaume yuko tayari kubeba jukumu la ndoa na familia.

Halafu ukiwa mwanaume ukapangiwa mahari kitendo cha kuikubali tuu ni alama tosha kwamba wewe ni mwanaume mwenye kujielewa, mpambanaji na mpiganaji. Mahari unaweza kulipa yote mahari unaweza lipa kwa awamu.

Halafu, Kama mahari imekushinda utaweza kulea mke na watoto?
Huyu inaelekea hata mwanaye wa kike hawezi kumpeleka kindagathe ya m2 kwa mwaka
 
Huyu bint inawezekana kabisa nikaachana naye so soon kama hatokuja na majibu sahihi.

Tume date muda kiasi na nlimwambia misimamo yangu toka mwanzo. Anafanya kazi nami nafanya kazi. Hakuna issue ya kupeana pesa. We share. Mimi sihongi hata siku moja. Tunapendana basi tunakubaliana kupeana mapenzi. Siuzi , Sinunui.

Sasa kwenye mahari ndo ananiambia baba yake alimuoza dada yake kwa tsh Mil 4.5 yeye alisema bila mil 6 hamwachii. Nikamwambia itakuwa baba yake alikuwa anatania mzazi mwenye akili timamu hawezi hata waza hilo neno. Akakasirika kuwa namwambia baba yake hana akili timamu.

Ilileta shida. Mimi nlisisitiza kuwa baba yake hawezi dai mahari hiyo sababu nahisi atakuwa mzee mwenye akili. Wapumbavu ndo huwa wana hizo tabia. Akakomaa sana kuwa huo ndo ukweli na baba yake ana akili sana tu.

Muda ukaenda imefika seriously kwenda jitambulisha. Now in a serious tone anasema niandae kama Mil 6.hivi ili hata akishusha basi iwe 5.4

Nlimuuliza hiyo Mil 5 nalipia nini kwake? Je nimemkuta bikra? Akainamisha kichwa chini. Je mashine yake ina regulate joto au ni adjustable? Yaani ana nini ambacho ni special kwangu. Akaanza ugomvi nimemdharau sababu nimeshakaa naye sana kuna ambao wanamwona dhahabu.

Basi nikamwambia its ok akaolewe na hao wanaomwona dhahabu. Akanichunia siku 3. nikapanga nguo zake akija azichukue aondoke. Siku hiyo kaja amefura sana. Nikajua kaja kubeba mizigo yake. Wala. Anataka tuzungumze nilimwambia mimi kiukweli siendi kutoa mahari kwao. Sioni sababu. Kama yupo tayari kuwa nami nitaenda jitambulisha na zawadi nitabeba ila mahari siendi toa. Kama hakubaliani na hilo abebe mizigo yake tu aende.

SITOI mahari hilo nimekataa. Mtu nimemkuta amesha chakatwa sana tu. Namtolea mahari iweje? Halafu acha hilo jambo yaani why nikalipe pesa kwao wanawake ambao wapo tayari niwalete home tuishi wengi tu? Yeye ana nini maalum? Nampenda ni kweli ila siendi mimi mlipia pesa ili kuendelea kulana naye.

Nitatoa zawadi kwa wazazi na ndugu zake. Zawadi si lazima na haina kiwango. But mahari No. Si yeye yu hata mwingine akija. Akitaka tukubaliane kuishi hataki akatafute mwingine.
Hivi wewe pimbi unajua gharama ya kumsomesha mtoto wa kike mpaka umemkuta anafanya kazi!
 
Nami nimewahi oa bure kwa miaka miwili chuo. Sikulipa chochote tulipanga Changanyikeni miaka miwili. Halafu kuna mtu kwa mwanamke huyo anaenda lipishwa mahari
Ndo hapo mkuu, yaani utoe 6M kwa mtu kama huyo kweliii??
Kwa wazazi waelewa wala huwa hawadai mahali kiivyo, ila watasema uende wakujue na watakutajia mahali rafiki ambayo huwa haiishi.

Kwa nnavofahamu mahali huwa haiishi maana kama umetajiwa 3M then ukatoa cash 3M ni dharau inakua kama umemnunua mtoto wao.
Ila 6M ni parefu mno kwa chombo used.
 
Hivi wewe pimbi unajua gharama ya kumsomesha mtoto wa kike mpaka umemkuta anafanya kazi!
Kumsomesha ni wajibu wa mzazi, kwahiyo akimsomesha ndo aje alipwe kupitia mahali??

Nyie ndo wazazi wa hovyo mnaosomesha mtoto ili sio aje kua na maisha mazuri baadae bali aje kuwasaidia nyie na umaskini wenu mlioshindwa kujikwamua. Mnamuweka mtoto kama asset, asome aje awape hela nyie kindezi tu.
 
Ungetafuta watu ukaenda kwao,huko ndio ungejua ukweli,sasa unaanza kugombana na binti,ambae hata mahali hapangi
 
Huyu bint inawezekana kabisa nikaachana naye so soon kama hatokuja na majibu sahihi.

Tume date muda kiasi na nlimwambia misimamo yangu toka mwanzo. Anafanya kazi nami nafanya kazi. Hakuna issue ya kupeana pesa. We share. Mimi sihongi hata siku moja. Tunapendana basi tunakubaliana kupeana mapenzi. Siuzi , Sinunui.

Sasa kwenye mahari ndo ananiambia baba yake alimuoza dada yake kwa tsh Mil 4.5 yeye alisema bila mil 6 hamwachii. Nikamwambia itakuwa baba yake alikuwa anatania mzazi mwenye akili timamu hawezi hata waza hilo neno. Akakasirika kuwa namwambia baba yake hana akili timamu.

Ilileta shida. Mimi nlisisitiza kuwa baba yake hawezi dai mahari hiyo sababu nahisi atakuwa mzee mwenye akili. Wapumbavu ndo huwa wana hizo tabia. Akakomaa sana kuwa huo ndo ukweli na baba yake ana akili sana tu.

Muda ukaenda imefika seriously kwenda jitambulisha. Now in a serious tone anasema niandae kama Mil 6.hivi ili hata akishusha basi iwe 5.4

Nlimuuliza hiyo Mil 5 nalipia nini kwake? Je nimemkuta bikra? Akainamisha kichwa chini. Je mashine yake ina regulate joto au ni adjustable? Yaani ana nini ambacho ni special kwangu. Akaanza ugomvi nimemdharau sababu nimeshakaa naye sana kuna ambao wanamwona dhahabu.

Basi nikamwambia its ok akaolewe na hao wanaomwona dhahabu. Akanichunia siku 3. nikapanga nguo zake akija azichukue aondoke. Siku hiyo kaja amefura sana. Nikajua kaja kubeba mizigo yake. Wala. Anataka tuzungumze nilimwambia mimi kiukweli siendi kutoa mahari kwao. Sioni sababu. Kama yupo tayari kuwa nami nitaenda jitambulisha na zawadi nitabeba ila mahari siendi toa. Kama hakubaliani na hilo abebe mizigo yake tu aende.

SITOI mahari hilo nimekataa. Mtu nimemkuta amesha chakatwa sana tu. Namtolea mahari iweje? Halafu acha hilo jambo yaani why nikalipe pesa kwao wanawake ambao wapo tayari niwalete home tuishi wengi tu? Yeye ana nini maalum? Nampenda ni kweli ila siendi mimi mlipia pesa ili kuendelea kulana naye.

Nitatoa zawadi kwa wazazi na ndugu zake. Zawadi si lazima na haina kiwango. But mahari No. Si yeye yu hata mwingine akija. Akitaka tukubaliane kuishi hataki akatafute mwingine.
Lipa mahari reasonable, usiseme hulipi kabisa
 
Umepanik tu bure, hata ukiambiwa mahari million 20, unasema sawa,.unaenda na lak 6 na unaomba ndoa, imetoka hiyo. Km mnapendana mahari haiwez kuwa kikwazo.

Haijawahi kutokea mahari ikawatengenisha wawili wanaopendana
 
Hili swala la mahari linapotoshwa, msemaji ni muolewaji, why baba aseme mahari yeye ndio unaemuoa, atasema kamlea, kamsomesha, je hicho kiasi ndio kinaendana na gharama zake, na je akishakupiga kiasi kirefu, ndio mmemalizana, isipigwe simu sijui mdogo wake kakwama ada, niongezee.

Mahari anataja muoelewaji, ni zawadi yake toka kwa mume.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom