yellow eyes
JF-Expert Member
- Mar 6, 2018
- 2,882
- 3,298
Kwahiyo na wewe unashadadia akalipe 6M?Ajitafute kwanza ndio awaze kuoa
Nadhani hili jukumu haliwezi bado
Kwahiyo na wewe unashadadia akalipe 6M?Ajitafute kwanza ndio awaze kuoa
Nadhani hili jukumu haliwezi bado
Kutoa mahali ni mandatory jamaa hataki kabisa kutoa mahali hapo ndo tatizo linapoanziaKuna thamani gani Mwanaume anaweza lipa Mzazi ili amuoe Binti yake?
Wazazi wanaojielewa hufanya kwa tamaduni tu na huchukua pesa kidogo, wasiojielewa ndo hutoza mapesa mengi
Unasema?😅Sijamwelewa huyu mwamba 🤣🤣
Ma baba hili nalo waliangalie,wanawasotesha mabinti zao wanaishia kuzalishwa tu nyumbani,Mahari Inategemea sana na tamaduni/uelewa wa baba upande wa binti, kwa mfano kuna jamii moja ya kanda ya kati hapa Tz kuku kadhaa tu ni mahari tosha unaoa! then kuna ukanda mwingine ni ng'ombe kadhaa nakama bint mweupe mahari inapanda maradufu, yet kuna jamii nyingine mahari anataja bint, nakubuka kuna mkubwa mmoja wa jeshi la polisi mahari alisema bint na alisema anataka msahafu wa dini yao tu hana jengine. Na kwa mfano baadhi ya jamii ya kikomoro aisee wana mahari kubwa na wao wako happy kuzitoa.
Kwa ufupi mara nyingi mahari hutemea upande wa muolewa wanasemaje (mara nyingi baba) na anayeoa aseme anataka mahari iwe kama anavyotaka yeye. Ingawa hizi pande mbili zinaweza kukaa zikanegotiate
Watoto wa kike ni mitajiNi uhuni tuu na Mila za kishenzi.
Kumuuza Binti yako sio uungwana.
Unataka Mahari Kwa vigezo vipi?
Kama ulimlea Binti yako hata huyo kijana alilelewa na Wazazi wake,
Binti ndio ataje Mahari, Kwa sababu yeye ndiye muolewaji, yeye ndiye MKE mtarajiwa na ndiye mwenye uhitaji wa kuolewa.
Mzazi anataka Mahari Kwa misingi ipi?
Anasema hatoi mahari? Anataka nini sasa?Unasema?😅
Binafsi sitaki huo upuuzi, anaolewa mwingine na pesa wanakula wengineUmeongea vizuri kabisa dada.
Utamu tu unlimitedAnasema hatoi mahari? Anataka nini sasa?
Americans,europeans,asians etc wananunua mke kwa sh. ngapi mkuu?Unataka mke wa Bure?
Poor Africans
Nianze na ww..mwanao wa kike mahari yake bei gani?Ungejua nafasi yako kama mwanaume unayetegemea kuanzisha familia itakayokutegema kama mkuu wa kaya kuna vitu ungevitazama kwa jicho la tofauti sana.
Yaani umemchambua binti watu kiasi hicho!? Hapo kisa sio mahari tuu! Hayo maneno yameonyesha ulivyo na roho chungu na mbinafsi.
Kama hakufai si umwache? Au ukiambiwa umwoe bila mahari ndio unamwona mwanamke bora??
Tafuta wakubwa wakueleze maana ya mahari watakuambia Mahari ni kipimo cha kujua kama mwanaume yuko tayari kubeba jukumu la ndoa na familia.
Halafu ukiwa mwanaume ukapangiwa mahari kitendo cha kuikubali tuu ni alama tosha kwamba wewe ni mwanaume mwenye kujielewa, mpambanaji na mpiganaji. Mahari unaweza kulipa yote mahari unaweza lipa kwa awamu.
Halafu, Kama mahari imekushinda utaweza kulea mke na watoto?
Kama mahari ni kipimo cha ukomavu wa mwanaume, mwanamke kipimo chake cha ukomavu ni nini?Ungejua nafasi yako kama mwanaume unayetegemea kuanzisha familia itakayokutegema kama mkuu wa kaya kuna vitu ungevitazama kwa jicho la tofauti sana.
Yaani umemchambua binti watu kiasi hicho!? Hapo kisa sio mahari tuu! Hayo maneno yameonyesha ulivyo na roho chungu na mbinafsi.
Kama hakufai si umwache? Au ukiambiwa umwoe bila mahari ndio unamwona mwanamke bora??
Tafuta wakubwa wakueleze maana ya mahari watakuambia Mahari ni kipimo cha kujua kama mwanaume yuko tayari kubeba jukumu la ndoa na familia.
Halafu ukiwa mwanaume ukapangiwa mahari kitendo cha kuikubali tuu ni alama tosha kwamba wewe ni mwanaume mwenye kujielewa, mpambanaji na mpiganaji. Mahari unaweza kulipa yote mahari unaweza lipa kwa awamu.
Halafu, Kama mahari imekushinda utaweza kulea mke na watoto?
🤣 Vibaya hivyo....si kamkula sikuzote au?Utamu tu unlimited
Kwahiyo na wewe unashadadia akalipe 6M?
Kama mahari ni kipimo cha ukomavu wa mwanaume, mwanamke kipimo chake cha ukomavu ni nini?
Watoto wa kike ni mitaji
Nianze na ww..mwanao wa kike mahari yake bei gani?
Kama baba yake akikataa izo gram 900 na ng'ombe utakaa asiolewe?Utaratibu wa mahari hautoki kwangu, kuhusu mwanangu itajadiliwa na kuamuliwa kadri ya imani na desturi zetu
Ikiwa ni gram 900 za dhahabu, ng'ombe na Punda powa tuu
Labda Hana utundu,hajibinui Hadi kiuno kipinde,Hampi Na kwengine kule🤣🤣 Vibaya hivyo....si kamkula sikuzote au?