Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 2,547
- 9,208
Vizur,upo vizur
Kabisa kama kwenye ukoo wake hawapo anaweza hata kukodisha !!!Kuna wale wazee wa majadiliano watume hao wakabishane unaeza chukua mke kwa laki 5
Nyinyi hamfai kuwa mke na mume. Kama mimba tu hawezi kukuzalia anaua watoto wako inamaana hakuamini kabisa ni vile tu labda hana mbadala. Achaneni tu.Nilishampa mimba mara mbili akatoa. Sina wasiwasi. Na nlishamwambia aondoke kama anaona bila mahari hawezi kuishi nami. Hajaondoka.
usivute tena Bangi ukiwa unataka kuongea na demu wako...Huyu bint inawezekana kabisa nikaachana naye so soon kama hatokuja na majibu sahihi.
Tume date muda kiasi na nlimwambia misimamo yangu toka mwanzo. Anafanya kazi nami nafanya kazi. Hakuna issue ya kupeana pesa. We share. Mimi sihongi hata siku moja. Tunapendana basi tunakubaliana kupeana mapenzi. Siuzi , Sinunui.
Sasa kwenye mahari ndo ananiambia baba yake alimuoza dada yake kwa tsh Mil 4.5 yeye alisema bila mil 6 hamwachii. Nikamwambia itakuwa baba yake alikuwa anatania mzazi mwenye akili timamu hawezi hata waza hilo neno. Akakasirika kuwa namwambia baba yake hana akili timamu.
Ilileta shida. Mimi nlisisitiza kuwa baba yake hawezi dai mahari hiyo sababu nahisi atakuwa mzee mwenye akili. Wapumbavu ndo huwa wana hizo tabia. Akakomaa sana kuwa huo ndo ukweli na baba yake ana akili sana tu.
Muda ukaenda imefika seriously kwenda jitambulisha. Now in a serious tone anasema niandae kama Mil 6.hivi ili hata akishusha basi iwe 5.4
Nlimuuliza hiyo Mil 5 nalipia nini kwake? Je nimemkuta bikra? Akainamisha kichwa chini. Je mashine yake ina regulate joto au ni adjustable? Yaani ana nini ambacho ni special kwangu. Akaanza ugomvi nimemdharau sababu nimeshakaa naye sana kuna ambao wanamwona dhahabu.
Basi nikamwambia its ok akaolewe na hao wanaomwona dhahabu. Akanichunia siku 3. nikapanga nguo zake akija azichukue aondoke. Siku hiyo kaja amefura sana. Nikajua kaja kubeba mizigo yake. Wala. Anataka tuzungumze nilimwambia mimi kiukweli siendi kutoa mahari kwao. Sioni sababu. Kama yupo tayari kuwa nami nitaenda jitambulisha na zawadi nitabeba ila mahari siendi toa. Kama hakubaliani na hilo abebe mizigo yake tu aende.
SITOI mahari hilo nimekataa. Mtu nimemkuta amesha chakatwa sana tu. Namtolea mahari iweje? Halafu acha hilo jambo yaani why nikalipe pesa kwao wanawake ambao wapo tayari niwalete home tuishi wengi tu? Yeye ana nini maalum? Nampenda ni kweli ila siendi mimi mlipia pesa ili kuendelea kulana naye.
Nitatoa zawadi kwa wazazi na ndugu zake. Zawadi si lazima na haina kiwango. But mahari No. Si yeye yu hata mwingine akija. Akitaka tukubaliane kuishi hataki akatafute mwingine.
Kubali kataa mkuu vipo vitu kwenye jamii hatuwezi kuviondoa kwa Sasa labda uishi miaka 100,000.Watoto sio Mali ya yeyote.
Hakuna MTU anayemiliki MTU mwingine kwenye huu Ulimwengu.
Watoto wakikua wanaweza hata Kubadili majina yenu mliyowapa na ni Haki Yao. Na hamtakuwa na chakuwafanya.
Kuhusu swala la Mila na desturi hizo ni Hadithi za kizamani.
Kwani ni Mila ngapi zimevunjwa, kuoa tuu MTU wa kabila jingine kimla na desturi hairuhusiwi.
Kimila Mwanamke anarithiwa mumewe akifa, Hilo siku hizi halifanyiki.
Kimila Mwanaume anauwezo wa kuoa Wakw wengi, awaulize Huko ukweni ikiwa wao wanafuata Mila watakubali Wewe umuongezee wake wengine Binti Yao? Alafu usikilizie.
Unafahamu kisa Cha kike la ng'ombe?Mali yao walimwingizia yeye tumboni?
Oa familia ambayo mnalingana vipatoHuyu bint inawezekana kabisa nikaachana naye so soon kama hatokuja na majibu sahihi.
Tume date muda kiasi na nlimwambia misimamo yangu toka mwanzo. Anafanya kazi nami nafanya kazi. Hakuna issue ya kupeana pesa. We share. Mimi sihongi hata siku moja. Tunapendana basi tunakubaliana kupeana mapenzi. Siuzi , Sinunui.
Sasa kwenye mahari ndo ananiambia baba yake alimuoza dada yake kwa tsh Mil 4.5 yeye alisema bila mil 6 hamwachii. Nikamwambia itakuwa baba yake alikuwa anatania mzazi mwenye akili timamu hawezi hata waza hilo neno. Akakasirika kuwa namwambia baba yake hana akili timamu.
Ilileta shida. Mimi nlisisitiza kuwa baba yake hawezi dai mahari hiyo sababu nahisi atakuwa mzee mwenye akili. Wapumbavu ndo huwa wana hizo tabia. Akakomaa sana kuwa huo ndo ukweli na baba yake ana akili sana tu.
Muda ukaenda imefika seriously kwenda jitambulisha. Now in a serious tone anasema niandae kama Mil 6.hivi ili hata akishusha basi iwe 5.4
Nlimuuliza hiyo Mil 5 nalipia nini kwake? Je nimemkuta bikra? Akainamisha kichwa chini. Je mashine yake ina regulate joto au ni adjustable? Yaani ana nini ambacho ni special kwangu. Akaanza ugomvi nimemdharau sababu nimeshakaa naye sana kuna ambao wanamwona dhahabu.
Basi nikamwambia its ok akaolewe na hao wanaomwona dhahabu. Akanichunia siku 3. nikapanga nguo zake akija azichukue aondoke. Siku hiyo kaja amefura sana. Nikajua kaja kubeba mizigo yake. Wala. Anataka tuzungumze nilimwambia mimi kiukweli siendi kutoa mahari kwao. Sioni sababu. Kama yupo tayari kuwa nami nitaenda jitambulisha na zawadi nitabeba ila mahari siendi toa. Kama hakubaliani na hilo abebe mizigo yake tu aende.
SITOI mahari hilo nimekataa. Mtu nimemkuta amesha chakatwa sana tu. Namtolea mahari iweje? Halafu acha hilo jambo yaani why nikalipe pesa kwao wanawake ambao wapo tayari niwalete home tuishi wengi tu? Yeye ana nini maalum? Nampenda ni kweli ila siendi mimi mlipia pesa ili kuendelea kulana naye.
Nitatoa zawadi kwa wazazi na ndugu zake. Zawadi si lazima na haina kiwango. But mahari No. Si yeye yu hata mwingine akija. Akitaka tukubaliane kuishi hataki akatafute mwingine.
Kwenye hili uislam ulituzidi christian....Mahari anataja baba kwani anaolewa yeye? Mfyuuuuu,
Naenda kugalagazwa mie halafu mahari wale wengine,
Sijamwelewa huyu mwamba 🤣🤣Unasikiliza maneno yake au ya baba mkwe?
Baba mkwe mtarajiwa Mme-negotiate tayari?
Mhh mbona kama una chuki naeHuyu bint inawezekana kabisa nikaachana naye so soon kama hatokuja na majibu sahihi.
Tume date muda kiasi na nlimwambia misimamo yangu toka mwanzo. Anafanya kazi nami nafanya kazi. Hakuna issue ya kupeana pesa. We share. Mimi sihongi hata siku moja. Tunapendana basi tunakubaliana kupeana mapenzi. Siuzi , Sinunui.
Sasa kwenye mahari ndo ananiambia baba yake alimuoza dada yake kwa tsh Mil 4.5 yeye alisema bila mil 6 hamwachii. Nikamwambia itakuwa baba yake alikuwa anatania mzazi mwenye akili timamu hawezi hata waza hilo neno. Akakasirika kuwa namwambia baba yake hana akili timamu.
Ilileta shida. Mimi nlisisitiza kuwa baba yake hawezi dai mahari hiyo sababu nahisi atakuwa mzee mwenye akili. Wapumbavu ndo huwa wana hizo tabia. Akakomaa sana kuwa huo ndo ukweli na baba yake ana akili sana tu.
Muda ukaenda imefika seriously kwenda jitambulisha. Now in a serious tone anasema niandae kama Mil 6.hivi ili hata akishusha basi iwe 5.4
Nlimuuliza hiyo Mil 5 nalipia nini kwake? Je nimemkuta bikra? Akainamisha kichwa chini. Je mashine yake ina regulate joto au ni adjustable? Yaani ana nini ambacho ni special kwangu. Akaanza ugomvi nimemdharau sababu nimeshakaa naye sana kuna ambao wanamwona dhahabu.
Basi nikamwambia its ok akaolewe na hao wanaomwona dhahabu. Akanichunia siku 3. nikapanga nguo zake akija azichukue aondoke. Siku hiyo kaja amefura sana. Nikajua kaja kubeba mizigo yake. Wala. Anataka tuzungumze nilimwambia mimi kiukweli siendi kutoa mahari kwao. Sioni sababu. Kama yupo tayari kuwa nami nitaenda jitambulisha na zawadi nitabeba ila mahari siendi toa. Kama hakubaliani na hilo abebe mizigo yake tu aende.
SITOI mahari hilo nimekataa. Mtu nimemkuta amesha chakatwa sana tu. Namtolea mahari iweje? Halafu acha hilo jambo yaani why nikalipe pesa kwao wanawake ambao wapo tayari niwalete home tuishi wengi tu? Yeye ana nini maalum? Nampenda ni kweli ila siendi mimi mlipia pesa ili kuendelea kulana naye.
Nitatoa zawadi kwa wazazi na ndugu zake. Zawadi si lazima na haina kiwango. But mahari No. Si yeye yu hata mwingine akija. Akitaka tukubaliane kuishi hataki akatafute mwingine.
Kuna thamani gani Mwanaume anaweza lipa Mzazi ili amuoe Binti yake?Unataka mke wa Bure?
Poor Africans
nimecheka sanaMahari anataja baba kwani anaolewa yeye? Mfyuuuuu,
Naenda kugalagazwa mie halafu mahari wale wengine,
Ofcourse suala la mahari lina thamani sana kwa binti aliejutunza la sivyo hapaswi kupewa heshima ya kutolewa mahari.Huyu bint inawezekana kabisa nikaachana naye so soon kama hatokuja na majibu sahihi.
Tume date muda kiasi na nlimwambia misimamo yangu toka mwanzo. Anafanya kazi nami nafanya kazi. Hakuna issue ya kupeana pesa. We share. Mimi sihongi hata siku moja. Tunapendana basi tunakubaliana kupeana mapenzi. Siuzi , Sinunui.
Sasa kwenye mahari ndo ananiambia baba yake alimuoza dada yake kwa tsh Mil 4.5 yeye alisema bila mil 6 hamwachii. Nikamwambia itakuwa baba yake alikuwa anatania mzazi mwenye akili timamu hawezi hata waza hilo neno. Akakasirika kuwa namwambia baba yake hana akili timamu.
Ilileta shida. Mimi nlisisitiza kuwa baba yake hawezi dai mahari hiyo sababu nahisi atakuwa mzee mwenye akili. Wapumbavu ndo huwa wana hizo tabia. Akakomaa sana kuwa huo ndo ukweli na baba yake ana akili sana tu.
Muda ukaenda imefika seriously kwenda jitambulisha. Now in a serious tone anasema niandae kama Mil 6.hivi ili hata akishusha basi iwe 5.4
Nlimuuliza hiyo Mil 5 nalipia nini kwake? Je nimemkuta bikra? Akainamisha kichwa chini. Je mashine yake ina regulate joto au ni adjustable? Yaani ana nini ambacho ni special kwangu. Akaanza ugomvi nimemdharau sababu nimeshakaa naye sana kuna ambao wanamwona dhahabu.
Basi nikamwambia its ok akaolewe na hao wanaomwona dhahabu. Akanichunia siku 3. nikapanga nguo zake akija azichukue aondoke. Siku hiyo kaja amefura sana. Nikajua kaja kubeba mizigo yake. Wala. Anataka tuzungumze nilimwambia mimi kiukweli siendi kutoa mahari kwao. Sioni sababu. Kama yupo tayari kuwa nami nitaenda jitambulisha na zawadi nitabeba ila mahari siendi toa. Kama hakubaliani na hilo abebe mizigo yake tu aende.
SITOI mahari hilo nimekataa. Mtu nimemkuta amesha chakatwa sana tu. Namtolea mahari iweje? Halafu acha hilo jambo yaani why nikalipe pesa kwao wanawake ambao wapo tayari niwalete home tuishi wengi tu? Yeye ana nini maalum? Nampenda ni kweli ila siendi mimi mlipia pesa ili kuendelea kulana naye.
Nitatoa zawadi kwa wazazi na ndugu zake. Zawadi si lazima na haina kiwango. But mahari No. Si yeye yu hata mwingine akija. Akitaka tukubaliane kuishi hataki akatafute mwingine.
Mahari Inategemea sana na tamaduni/uelewa wa baba upande wa binti, kwa mfano kuna jamii moja ya kanda ya kati hapa Tz kuku kadhaa tu ni mahari tosha unaoa! then kuna ukanda mwingine ni ng'ombe kadhaa nakama bint mweupe mahari inapanda maradufu, yet kuna jamii nyingine mahari anataja bint, nakubuka kuna mkubwa mmoja wa jeshi la polisi mahari alisema bint na alisema anataka msahafu wa dini yao tu hana jengine. Na kwa mfano baadhi ya jamii ya kikomoro aisee wana mahari kubwa na wao wako happy kuzitoa.Mahari anataja baba kwani anaolewa yeye? Mfyuuuuu,
Naenda kugalagazwa mie halafu mahari wale wengine,
Kubali kataa mkuu vipo vitu kwenye jamii hatuwezi kuviondoa kwa Sasa labda uishi miaka 100,000.
Usipolipa mahari ujue huyo sio mkeo na hao sio watoto wako.
Heshima kama Mwanaume,Mume kwenye hiyo jamii ya mkeo utakuwa huna.
Watoto ni kwako, serikari na Mungu ukisema si wa yeyote kwanini wewe unajitambulisha kama mtu wa Same?
Lipeni mahari hacheni hizi ngokowa,
nani aliyekwambia Wazungu hawalipi mahari?