Ananiambia nijipange kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

Hebu tupia hata kapicha kake mkuu wengine tuna mawe si kitoto hadi tunatamani kujiteka tunaweza kutoa hata mahali ya mil10 kama analipa
 
Mambo ya mahari yanazungumzika.
Nenda wewe na mshenga wako akazungumze na wakwe zako.
Halafu mahari hailipwi yote mtakapokubaliana.
Halafu hiyo 6M sio pesa ya kutisha kijana,kaza mattyakko duniani hakuna kitu cha bure au rahisi kikawa na ubora.

Otherwise jiunge na CHAPUTA kule hakuna mahari ni sabuni/lotion yako tu mambo Murua.
 
Huyu bint inawezekana kabisa nikaachana naye so soon kama hatokuja na majibu sahihi.

Tume date muda kiasi na nlimwambia misimamo yangu toka mwanzo. Anafanya kazi nami nafanya kazi. Hakuna issue ya kupeana pesa. We share. Mimi sihongi hata siku moja. Tunapendana basi tunakubaliana kupeana mapenzi. Siuzi , Sinunui.

Sasa kwenye mahari ndo ananiambia baba yake alimuoza dada yake kwa tsh Mil 4.5 yeye alisema bila mil 6 hamwachii. Nikamwambia itakuwa baba yake alikuwa anatania mzazi mwenye akili timamu hawezi hata waza hilo neno. Akakasirika kuwa namwambia baba yake hana akili timamu.

Ilileta shida. Mimi nlisisitiza kuwa baba yake hawezi dai mahari hiyo sababu nahisi atakuwa mzee mwenye akili. Wapumbavu ndo huwa wana hizo tabia. Akakomaa sana kuwa huo ndo ukweli na baba yake ana akili sana tu.

Muda ukaenda imefika seriously kwenda jitambulisha. Now in a serious tone anasema niandae kama Mil 6.hivi ili hata akishusha basi iwe 5.4

Nlimuuliza hiyo Mil 5 nalipia nini kwake? Je nimemkuta bikra? Akainamisha kichwa chini. Je mashine yake ina regulate joto au ni adjustable? Yaani ana nini ambacho ni special kwangu. Akaanza ugomvi nimemdharau sababu nimeshakaa naye sana kuna ambao wanamwona dhahabu.

Basi nikamwambia its ok akaolewe na hao wanaomwona dhahabu. Akanichunia siku 3. nikapanga nguo zake akija azichukue aondoke. Siku hiyo kaja amefura sana. Nikajua kaja kubeba mizigo yake. Wala. Anataka tuzungumze nilimwambia mimi kiukweli siendi kutoa mahari kwao. Sioni sababu. Kama yupo tayari kuwa nami nitaenda jitambulisha na zawadi nitabeba ila mahari siendi toa. Kama hakubaliani na hilo abebe mizigo yake tu aende.

SITOI mahari hilo nimekataa. Mtu nimemkuta amesha chakatwa sana tu. Namtolea mahari iweje? Halafu acha hilo jambo yaani why nikalipe pesa kwao wanawake ambao wapo tayari niwalete home tuishi wengi tu? Yeye ana nini maalum? Nampenda ni kweli ila siendi mimi mlipia pesa ili kuendelea kulana naye.

Nitatoa zawadi kwa wazazi na ndugu zake. Zawadi si lazima na haina kiwango. But mahari No. Si yeye yu hata mwingine akija. Akitaka tukubaliane kuishi hataki akatafute mwingine.
usivute tena Bangi ukiwa unataka kuongea na demu wako...
 
Watoto sio Mali ya yeyote.
Hakuna MTU anayemiliki MTU mwingine kwenye huu Ulimwengu.

Watoto wakikua wanaweza hata Kubadili majina yenu mliyowapa na ni Haki Yao. Na hamtakuwa na chakuwafanya.

Kuhusu swala la Mila na desturi hizo ni Hadithi za kizamani.
Kwani ni Mila ngapi zimevunjwa, kuoa tuu MTU wa kabila jingine kimla na desturi hairuhusiwi.
Kimila Mwanamke anarithiwa mumewe akifa, Hilo siku hizi halifanyiki.
Kimila Mwanaume anauwezo wa kuoa Wakw wengi, awaulize Huko ukweni ikiwa wao wanafuata Mila watakubali Wewe umuongezee wake wengine Binti Yao? Alafu usikilizie.
Kubali kataa mkuu vipo vitu kwenye jamii hatuwezi kuviondoa kwa Sasa labda uishi miaka 100,000.

Usipolipa mahari ujue huyo sio mkeo na hao sio watoto wako.
Heshima kama Mwanaume,Mume kwenye hiyo jamii ya mkeo utakuwa huna.

Watoto ni kwako, serikari na Mungu ukisema si wa yeyote kwanini wewe unajitambulisha kama mtu wa Same?

Lipeni mahari hacheni hizi ngokowa,
nani aliyekwambia Wazungu hawalipi mahari?
 
Huyu bint inawezekana kabisa nikaachana naye so soon kama hatokuja na majibu sahihi.

Tume date muda kiasi na nlimwambia misimamo yangu toka mwanzo. Anafanya kazi nami nafanya kazi. Hakuna issue ya kupeana pesa. We share. Mimi sihongi hata siku moja. Tunapendana basi tunakubaliana kupeana mapenzi. Siuzi , Sinunui.

Sasa kwenye mahari ndo ananiambia baba yake alimuoza dada yake kwa tsh Mil 4.5 yeye alisema bila mil 6 hamwachii. Nikamwambia itakuwa baba yake alikuwa anatania mzazi mwenye akili timamu hawezi hata waza hilo neno. Akakasirika kuwa namwambia baba yake hana akili timamu.

Ilileta shida. Mimi nlisisitiza kuwa baba yake hawezi dai mahari hiyo sababu nahisi atakuwa mzee mwenye akili. Wapumbavu ndo huwa wana hizo tabia. Akakomaa sana kuwa huo ndo ukweli na baba yake ana akili sana tu.

Muda ukaenda imefika seriously kwenda jitambulisha. Now in a serious tone anasema niandae kama Mil 6.hivi ili hata akishusha basi iwe 5.4

Nlimuuliza hiyo Mil 5 nalipia nini kwake? Je nimemkuta bikra? Akainamisha kichwa chini. Je mashine yake ina regulate joto au ni adjustable? Yaani ana nini ambacho ni special kwangu. Akaanza ugomvi nimemdharau sababu nimeshakaa naye sana kuna ambao wanamwona dhahabu.

Basi nikamwambia its ok akaolewe na hao wanaomwona dhahabu. Akanichunia siku 3. nikapanga nguo zake akija azichukue aondoke. Siku hiyo kaja amefura sana. Nikajua kaja kubeba mizigo yake. Wala. Anataka tuzungumze nilimwambia mimi kiukweli siendi kutoa mahari kwao. Sioni sababu. Kama yupo tayari kuwa nami nitaenda jitambulisha na zawadi nitabeba ila mahari siendi toa. Kama hakubaliani na hilo abebe mizigo yake tu aende.

SITOI mahari hilo nimekataa. Mtu nimemkuta amesha chakatwa sana tu. Namtolea mahari iweje? Halafu acha hilo jambo yaani why nikalipe pesa kwao wanawake ambao wapo tayari niwalete home tuishi wengi tu? Yeye ana nini maalum? Nampenda ni kweli ila siendi mimi mlipia pesa ili kuendelea kulana naye.

Nitatoa zawadi kwa wazazi na ndugu zake. Zawadi si lazima na haina kiwango. But mahari No. Si yeye yu hata mwingine akija. Akitaka tukubaliane kuishi hataki akatafute mwingine.
Oa familia ambayo mnalingana vipato
 
Huyu bint inawezekana kabisa nikaachana naye so soon kama hatokuja na majibu sahihi.

Tume date muda kiasi na nlimwambia misimamo yangu toka mwanzo. Anafanya kazi nami nafanya kazi. Hakuna issue ya kupeana pesa. We share. Mimi sihongi hata siku moja. Tunapendana basi tunakubaliana kupeana mapenzi. Siuzi , Sinunui.

Sasa kwenye mahari ndo ananiambia baba yake alimuoza dada yake kwa tsh Mil 4.5 yeye alisema bila mil 6 hamwachii. Nikamwambia itakuwa baba yake alikuwa anatania mzazi mwenye akili timamu hawezi hata waza hilo neno. Akakasirika kuwa namwambia baba yake hana akili timamu.

Ilileta shida. Mimi nlisisitiza kuwa baba yake hawezi dai mahari hiyo sababu nahisi atakuwa mzee mwenye akili. Wapumbavu ndo huwa wana hizo tabia. Akakomaa sana kuwa huo ndo ukweli na baba yake ana akili sana tu.

Muda ukaenda imefika seriously kwenda jitambulisha. Now in a serious tone anasema niandae kama Mil 6.hivi ili hata akishusha basi iwe 5.4

Nlimuuliza hiyo Mil 5 nalipia nini kwake? Je nimemkuta bikra? Akainamisha kichwa chini. Je mashine yake ina regulate joto au ni adjustable? Yaani ana nini ambacho ni special kwangu. Akaanza ugomvi nimemdharau sababu nimeshakaa naye sana kuna ambao wanamwona dhahabu.

Basi nikamwambia its ok akaolewe na hao wanaomwona dhahabu. Akanichunia siku 3. nikapanga nguo zake akija azichukue aondoke. Siku hiyo kaja amefura sana. Nikajua kaja kubeba mizigo yake. Wala. Anataka tuzungumze nilimwambia mimi kiukweli siendi kutoa mahari kwao. Sioni sababu. Kama yupo tayari kuwa nami nitaenda jitambulisha na zawadi nitabeba ila mahari siendi toa. Kama hakubaliani na hilo abebe mizigo yake tu aende.

SITOI mahari hilo nimekataa. Mtu nimemkuta amesha chakatwa sana tu. Namtolea mahari iweje? Halafu acha hilo jambo yaani why nikalipe pesa kwao wanawake ambao wapo tayari niwalete home tuishi wengi tu? Yeye ana nini maalum? Nampenda ni kweli ila siendi mimi mlipia pesa ili kuendelea kulana naye.

Nitatoa zawadi kwa wazazi na ndugu zake. Zawadi si lazima na haina kiwango. But mahari No. Si yeye yu hata mwingine akija. Akitaka tukubaliane kuishi hataki akatafute mwingine.
Mhh mbona kama una chuki nae
 
Achana nao hao mkuu, njoo nikupe dada yangu bure kabisa hata zawadi hatutaki maana anakunywa gongo, anakula ugoro, kuberi, anavuta bange, shisha na tumbaku ambayo haija chakatwa na anawatoto wanne mkuu tunakupatia wote bureee....😊
 
Huyu bint inawezekana kabisa nikaachana naye so soon kama hatokuja na majibu sahihi.

Tume date muda kiasi na nlimwambia misimamo yangu toka mwanzo. Anafanya kazi nami nafanya kazi. Hakuna issue ya kupeana pesa. We share. Mimi sihongi hata siku moja. Tunapendana basi tunakubaliana kupeana mapenzi. Siuzi , Sinunui.

Sasa kwenye mahari ndo ananiambia baba yake alimuoza dada yake kwa tsh Mil 4.5 yeye alisema bila mil 6 hamwachii. Nikamwambia itakuwa baba yake alikuwa anatania mzazi mwenye akili timamu hawezi hata waza hilo neno. Akakasirika kuwa namwambia baba yake hana akili timamu.

Ilileta shida. Mimi nlisisitiza kuwa baba yake hawezi dai mahari hiyo sababu nahisi atakuwa mzee mwenye akili. Wapumbavu ndo huwa wana hizo tabia. Akakomaa sana kuwa huo ndo ukweli na baba yake ana akili sana tu.

Muda ukaenda imefika seriously kwenda jitambulisha. Now in a serious tone anasema niandae kama Mil 6.hivi ili hata akishusha basi iwe 5.4

Nlimuuliza hiyo Mil 5 nalipia nini kwake? Je nimemkuta bikra? Akainamisha kichwa chini. Je mashine yake ina regulate joto au ni adjustable? Yaani ana nini ambacho ni special kwangu. Akaanza ugomvi nimemdharau sababu nimeshakaa naye sana kuna ambao wanamwona dhahabu.

Basi nikamwambia its ok akaolewe na hao wanaomwona dhahabu. Akanichunia siku 3. nikapanga nguo zake akija azichukue aondoke. Siku hiyo kaja amefura sana. Nikajua kaja kubeba mizigo yake. Wala. Anataka tuzungumze nilimwambia mimi kiukweli siendi kutoa mahari kwao. Sioni sababu. Kama yupo tayari kuwa nami nitaenda jitambulisha na zawadi nitabeba ila mahari siendi toa. Kama hakubaliani na hilo abebe mizigo yake tu aende.

SITOI mahari hilo nimekataa. Mtu nimemkuta amesha chakatwa sana tu. Namtolea mahari iweje? Halafu acha hilo jambo yaani why nikalipe pesa kwao wanawake ambao wapo tayari niwalete home tuishi wengi tu? Yeye ana nini maalum? Nampenda ni kweli ila siendi mimi mlipia pesa ili kuendelea kulana naye.

Nitatoa zawadi kwa wazazi na ndugu zake. Zawadi si lazima na haina kiwango. But mahari No. Si yeye yu hata mwingine akija. Akitaka tukubaliane kuishi hataki akatafute mwingine.
Ofcourse suala la mahari lina thamani sana kwa binti aliejutunza la sivyo hapaswi kupewa heshima ya kutolewa mahari.

Ubarikiwe upate mabinti na wewe...
 
Mahari anataja baba kwani anaolewa yeye? Mfyuuuuu,

Naenda kugalagazwa mie halafu mahari wale wengine,
Mahari Inategemea sana na tamaduni/uelewa wa baba upande wa binti, kwa mfano kuna jamii moja ya kanda ya kati hapa Tz kuku kadhaa tu ni mahari tosha unaoa! then kuna ukanda mwingine ni ng'ombe kadhaa nakama bint mweupe mahari inapanda maradufu, yet kuna jamii nyingine mahari anataja bint, nakubuka kuna mkubwa mmoja wa jeshi la polisi mahari alisema bint na alisema anataka msahafu wa dini yao tu hana jengine. Na kwa mfano baadhi ya jamii ya kikomoro aisee wana mahari kubwa na wao wako happy kuzitoa.

Kwa ufupi mara nyingi mahari hutemea upande wa muolewa wanasemaje (mara nyingi baba) na anayeoa aseme anataka mahari iwe kama anavyotaka yeye. Ingawa hizi pande mbili zinaweza kukaa zikanegotiate
 
Kubali kataa mkuu vipo vitu kwenye jamii hatuwezi kuviondoa kwa Sasa labda uishi miaka 100,000.

Usipolipa mahari ujue huyo sio mkeo na hao sio watoto wako.
Heshima kama Mwanaume,Mume kwenye hiyo jamii ya mkeo utakuwa huna.

Watoto ni kwako, serikari na Mungu ukisema si wa yeyote kwanini wewe unajitambulisha kama mtu wa Same?

Lipeni mahari hacheni hizi ngokowa,
nani aliyekwambia Wazungu hawalipi mahari?

Jamii Gani?
Jamii isiyo na Mila na desturi haina kitu kinaitwa Mahari.
Mila na desturi zipo kikabila Huko.
Ikiwa zingine mliziita Mila potofu hata zilizopo baadhi zinaweza kuitwa Mila potofu ikiwemo Hiyo ya kutoa Mahari.

Alafu kwenye jamii isiyo na mila na desturi heshima msingi wake hautokani na Maoni ya Watu wengine Bali inatokana na mtazamo WA MTU mwenyewe. Huko ndio tulikofikia.
Labda Huko vijijini.
Lakini mijini sehemu yenye mchanganyiko mkubwa wa Watu Watu wengi wameoa na kuolewa pasipo hayo makitu ya Mahari sijui vitu gani vya kimila na desturi.

Hayo mambo ya kimila yapo Huko vijijini. Mjini na sehemu yenye mchanganyiko wa Watu Watu wanaangalia Maisha Yao. Huo muda wa kujua Fulani alitoa Mahari au hakutoa Watu Hawana.
 
Kaa na binti wa watu, nyumbani kwao hawakutambui / hawakujui halafu bahati mbaya paaa kafa magetoni kwako hapo hapo uone namna tumbo la kuhara linavyoweza kukubana.

Kuvimbiana ova kifutu hakukusaidii sana. Nenda ukweni kiungwana watakalokwambia una nafasi ya kujielezea kama mume mtarajiwa, mkishimdwana sio kesi kwamba unaenda kufungwa mahakamani.

Halafu hawa watoto wa kike ukiwa unamvimbia sana kila wakati ni sawa na kumuonea tu. Lazima ujue kuishi naye kwa akili vinginevyo unaachana nae mapema ili ajue anashika njia gani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom