Ananiambia nijipange kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

Mfano,

Kuna binti alitolewa barua laki saba,mbuzi sijui na mablanket,

Mahari alitaja milion tatu,kwa wazazi

Na akachukuliwa kuishi na huyo bwana,

Sasa maisha ya humo ndani yashamshinda/amechoka na kuondoka hawezi mila zao hadi azae na huyo bwana tena mtoto wa kiume ndiyo atoke


Sasa mtu unateseka kisa wazazi wako walikula pesa za mahari, hii hapana
"Sasa maisha ya humo ndani yashamshinda/amechoka na kuondoka hawezi mila zao hadi azae na huyo bwana tena mtoto wa kiume ndiyo atoke"

Hio mila nzuri sana hakuna kuachana mpaka unizalie tena mtoto wa kiume dadeki

Ina maana hilo kabila lina uhaba wa wanaume au?
 
Huo ndio uanaume hujamkuta bikra NGOMA used why baba yake ataje mahari nyingi ivyo BILA AIBU , wewe endelea na msimamo wako m6nyingi mno kwa life la SASaivi
 
Kumsomesha ni wajibu wa mzazi, kwahiyo akimsomesha ndo aje alipwe kupitia mahali??

Nyie ndo wazazi wa hovyo mnaosomesha mtoto ili sio aje kua na maisha mazuri baadae bali aje kuwasaidia nyie na umaskini wenu mlioshindwa kujikwamua. Mnamuweka mtoto kama asset, asome aje awape hela nyie kindezi tu.
Ukweli mtupu.
 
Ungejua nafasi yako kama mwanaume unayetegemea kuanzisha familia itakayokutegema kama mkuu wa kaya kuna vitu ungevitazama kwa jicho la tofauti sana.

Yaani umemchambua binti watu kiasi hicho!? Hapo kisa sio mahari tuu! Hayo maneno yameonyesha ulivyo na roho chungu na mbinafsi.

Kama hakufai si umwache? Au ukiambiwa umwoe bila mahari ndio unamwona mwanamke bora??

Tafuta wakubwa wakueleze maana ya mahari watakuambia Mahari ni kipimo cha kujua kama mwanaume yuko tayari kubeba jukumu la ndoa na familia.

Halafu ukiwa mwanaume ukapangiwa mahari kitendo cha kuikubali tuu ni alama tosha kwamba wewe ni mwanaume mwenye kujielewa, mpambanaji na mpiganaji. Mahari unaweza kulipa yote mahari unaweza lipa kwa awamu.

Halafu, Kama mahari imekushinda utaweza kulea mke na watoto?
Isitoshe kuna room ya kuomba punguzo la mahari. Wengi tumeoa na mahari tumelipa kwa instalment. Huyo ni mzinzi tu kama alivyo huyo mchumba wake. Binti makini asingekubali kumegwa na mhuni huyo tena nje ya ndoa.
 
"Sasa maisha ya humo ndani yashamshinda/amechoka na kuondoka hawezi mila zao hadi azae na huyo bwana tena mtoto wa kiume ndiyo atoke"

Hio mila nzuri sana hakuna kuachana mpaka unizalie tena mtoto wa kiume dadeki

Ina maana ila kabila lina uhaba wa wanaume au?
Sijui, mila yao ndiyo hiyo,ukila mahari na ndoa imekushinda hauondoki hadi uzae tena wa kiume.
 
ndoa ni makubaliano baina ya watu wawili wewe na huyo dem, kuna sitori jamaa fb alikuwa anataka ushauri jamaa alipenda mwanamke ,saa kila akienda kufatilia kulipa mahari baba yake anataja mahari kubwa.kufatilia jamaa siku moja akawafuma wanakulana.kwa hiyo kuna wazazi wengine wa hovyo.chakuku shauri we toa mahali kutokana na makubaliano yenu wawili,zamani au usukumani wanatoa ngombe mia kulingana amemukuta binti huyo ni bikira, thamani ya mwanamke tangu zamani ni bikira yake,kwani gari mpya inabei yake na gari chakavu ina thamani yake,labda awe ameangalia kaz yake ,je ushawahi kula hata mia iliyotokana na mshahara wa huyo binti?
 
Kumsomesha ni wajibu wa mzazi, kwahiyo akimsomesha ndo aje alipwe kupitia mahali??

Nyie ndo wazazi wa hovyo mnaosomesha mtoto ili sio aje kua na maisha mazuri baadae bali aje kuwasaidia nyie na umaskini wenu mlioshindwa kujikwamua. Mnamuweka mtoto kama asset, asome aje awape hela nyie kindezi tu.
Mzazi aliweza kumlipia ada m2 kwa mwaka mwanawe una mwita maskini,
Wewe ndiyo lofa unayeona m5 ni big Hela fala wewe!!!
Wiki iliyopita nilikuwa kwa send-off bwana harusi alikuwa amelipa mahari m8,
Ila baba Binti alitoa zawadi ya nyumba mpya yenye thamani ya m100 na hati ilionyeshwa live majina Yao wote wawili!

Acha ushamba na mawazo ya kimaskini kama ulipotokea
 
Mzazi aliweza kumlipia ada m2 kwa mwaka mwanawe una mwita maskini,
Wewe ndiyo lofa unayeona m5 ni big Hela fala wewe!!!
Wiki iliyopita nilikuwa kwa send-off bwana harusi alikuwa amelipa mahari m8,
Ila baba Binti alitoa zawadi ya nyumba mpya yenye thamani ya m100 na hati ilionyeshwa live majina Yao wote wawili!

Acha ushamba na mawazo ya kimaskini kama ulipotokea
Unachotetea ni nini sasa?? Mbona hujielewi we dogo.
Unataka mzazi arudishe gharama zake au dada zako walipiwe mahali kubwa? Kwahiyo hiyo 8M ndo gharama za kumlea huyo binti mpaka anaolewa??

Mahali sio kurudisha pesa uliyoitumia kwa binti yako, elewa kwanza maana yake sio unaropoka tu. Madogo wa 2000 shida sana nyie.
 
Kama ni kweli basi upo sahihi kupinga hilo ila sio kwa maneno hayo makali mzee😁, Ungemwambia tu mimi mahari uwezo wangu nitaweza kwa kiasi kadhaa kama ikizidi hapa basi haitokuwa riziki yangu.... The way umeongea na huyo pisi ni kama unamdharau sana.... Pesa sio kitu hao viumbe akikuelewa mbona anaweza hata kukupa hiyo hela ukamlipie, Njoo tukupe lecture malume.
 
Ulianza vizuri ila umemaliza vibaya. Mahari inakupa ufahari flani hivi huwezi ufahamu mpaka uwe mwanaume kamili.

Mahari na makorombwezo yake yasizidi mil 2.

Ukishatoa mahari unakua na sauti kamili kwa mkeo. Sio unabeba binti wa watu bila mahari kisha akienda kwao kusalimia kidogo tu unaanza leta masharti ya kumpangia siku ya kurudi.

Huyo binti haujampenda umemtumia weee umemchoka umanza kumletea pigo za haukumkuta bikra,mbona kabla ya kuongelea ndoa haukumuuliza masuala ya bikra
 
Ulianza vizuri ila umemaliza vibaya. Mahari inakupa ufahari flani hivi huwezi ufahamu mpaka uwe mwanaume kamili.

Mahari na makorombwezo yake yasizidi mil 2.

Ukishatoa mahari unakua na sauti kamili kwa mkeo. Sio unabeba binti wa watu bila mahari kisha akienda kwao kusalimia kidogo tu unaanza leta masharti ya kumpangia siku ya kurudi.

Huyo binti haujampenda umemtumia weee umemchoka umanza kumletea pigo za haukumkuta bikra,mbona kabla ya kuongelea ndoa haukumuuliza masuala ya bikra
Kama huna sauti huna tu. Mimi nakataa kutoa mahari. Na nimempa options mbili.
1. Akubaliane na Hali
2. Aondoke akatafute wa kumtolea mahari.

Nataka nioneshe nina sauti kamili na aamue kunisikiliza au kusikiliza wazazi wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom