Anampenda mume watu na hawezi kumuacha

huko si kupenda ila ni uzezeta ... kwa nini aitafute wake ndo akapenda???

Kwani huyo nae ni mume wakupenda? Yaani kwa akili yake anajidanganya kabisa kapata mume? Na wenye waume waseme nini? Kwa taarifa yake huyo sio mume bali ni kipiga mashuti mchafua c.h....i!!
 
Yaani maumivu mnayodhani wadada zenu wanayapata kwa waume zao ni vipigo vya mikono tu! Teteteteeeeeeeeee, jamani kuna vipigo vingine wadada zetu mnavipata ni vya hatari lakini hamvisemi maana ni aibu kuviongelea mbele za watu. jamani twende tu kwa wadada zetu, tunywe tule ila usiku kuna mambo yanawakuta toka kwa waume zao kamwe hawawezi kuyasema masikioni mwetu. Wanavumilia mpaka mwisho wa maisha yao.

Acheni tu nini vipigo vya nje bwana. Wanapigwa mpaka wakiachika hawawezi kuolewa tena maana inakuwa mtu amechoka kabisa labda mpaka booster ya mchina itumike, nayo husaidia kwa muda tu!

aminata angalia hiyo paragrapf ya mwisho hapo ..lol!! Mwambie rafiki yako awe makini na wanaume wenye mikono myepesi
 
Kwani huyo nae ni mume wakupenda? Yaani kwa akili yake anajidanganya kabisa kapata mume? Na wenye waume waseme nini? Kwa taarifa yake huyo sio mume bali ni kipiga mashuti mchafua c.h....i!!
haha
aaaaaaaaaaaaaaaaaaaa shot we mkali duh!
 
ndio kaja huyo mpya sasa na yuko tayari kukaa naye pamoja na huyo dogo wake wa 1 year ila shost anajickia vibaya kumtwika yule kaka kazi ya kumlea yy pamoja ma dogo while msure wake yuko wa mkidi wake sijui umenisoma hapo meeeeeeeeeeeeeeeeen


haaa si kapenda boga sasa kwa nini aanze ubaguzi wa kulea tena?
 
aminata angalia hiyo paragrapf ya mwisho hapo ..lol!! Mwambie rafiki yako awe makini na wanaume wenye mikono myepesi
duh! hapo hata mie nimeogopa sasa cjui alimaanisha nn sasa hapo mwe! vipigo vya ucku zaidi ya vya mchana
 
Kwani huyo nae ni mume wakupenda? Yaani kwa akili yake anajidanganya kabisa kapata mume? Na wenye waume waseme nini? Kwa taarifa yake huyo sio mume bali ni kipiga mashuti mchafua c.h....i!!

hahhahaha leo aminata utajuta kuleta hii mada yako hapa..utajuta na sijui utamwambiaje huyo rafiki yako mwe!!
 
mbona rahisi tu si anamwacha aende zake sa Kama jamaa ana pigs anakaa nae wa nini sida zikukute sio uzitafute
tafadhali msaada wako unaweza kuinusuru roho ya dada huyu
kuna shost wangu anampenda sana mume wa mtu kinoma yani na kabla ya kuingia ktk mahusiano na huyo jamaa aliambiwa ka jamaa anamke na mtoto wakiume ila hakuamini na alipomuuliza huyo msela akamwambia hana wakaishi kwa mda wa miaka 2 hapo chuoni hadi shost wangu kapata mimba na kazaa mtoto wa kiume na sasa yuko na mwaka mmoja .huyo bwana sasa kamaliza skul na kuondoka msichana bado miaka 3 ndio amalize skul na wakati wakiishi wote mwanamme alikua nampiga snaa hata kipindi akiwa na mimba aliwai kumpiga mara mbili na hata alipojifungua wakati akiwa na wiki 2 tu toka atoke medical mshikaji alimwambia wajamiiane ali[okataa alimpiga na baadae kujamiana nae
yani alikua anamtesa sana shost wangu ila kila tuli[pomuambia a,muache alikua anasema anampenda sana ndio mana na haoni mwingine walishawai kuachana miezi sita ila shost wangu akawa na mtu mwingine ila alishindwa kukaa naye koz anampenda sana msela akarudi kwake ila pamoja na kurudi kipondo hakikuacha kuendelea na masharti makali na mpaka ana mialama mikononi na mwili sana tu koz ya huyo msela
sasa mi nikamwambia mwache akajibu cwez koz nampenda sana na sioni mwingine yani simpendi mwingine
sasa msela yuko kwao huko ndio anafanya mipango ya kumuacha yule mke wakle wa kwanza ili amuoe huyu sasa shost wangu ila kitu kinagoma kwani yule mama hataki kuachwa naye lo!
SASA KAMA MUNGU TU AMETOKEA KIJANA MMOJA ANAMPENDA SANA HUYU SHOST WANGU KWA MADAI YAKE KOZ CJAMUJUA BADO KA NAYE ANAMAANISHA AU LAH!.........Ila ye yuko bado anasikilizia wale waachane utafikiri kawekewa dawa mwe!
asa yuko dilema amuamini huyu mpya au amungoje yule comandoo wake huko au?????
 
wote mmechangia but mmesahau kuona kitu kimoja hapa...

hawa ndo madaktari wetu wa siku hizi........
yaani eti wapo medical school......

wauguzi na madaktari wa siku hizi ndo hawa.....

watamshauri nini sasa mgonjwa atakaekwenda kuwaon na majeraha ya kupigwa
na mpenzi wake?
watamwambia avumilie ???/
 
sio udaku ni kweli sema mm nimekuuliza ivo koz umeniambia nilete na ugomvi wa pili mwe
 
wote mmechangia but mmesahau kuona kitu kimoja hapa...

hawa ndo madaktari wetu wa siku hizi........
yaani eti wapo medical school......

wauguzi na madaktari wa siku hizi ndo hawa.....

watamshauri nini sasa mgonjwa atakaekwenda kuwaon na majeraha ya kupigwa
na mpenzi wake?
watamwambia avumilie ???/
nashukuru kwa kulion
a hilo
 
Ni kwa sababu nawahurumia sana binadamu wanaokosa self realization and awareness.......yaani hawajijui wao ni kina nani, wanahitaji nini na wanapaswa kufanya nini!! Hawajui kuwa wanadeserve happiness katika maisha yao! Dah!
nimekupenda mpz bure leo mana uko na moyo wa huruma sana endelea kua ivoivo the allmight god wil bless u more
 
hahhahaha leo aminata utajuta kuleta hii mada yako hapa..utajuta na sijui utamwambiaje huyo rafiki yako mwe!!

Hana haja ya kumwambia ye ampe tu thread asome mwenyewe! Lol! Ngoja basi niondoke nisije kera watu bure manake mi vitu vya hivi huwa sina mzaha navyo hata kidogo!
 
maaana hawatakawia kugombana kumbuka dhambi aifanyayo rafiki yako iko siku itamrudi
ina mana akiamua kukaa na huyo mtu
hadi anakufa wao ni zambi wanapata hata kama wakitubu na kumrudia muumba wao
 
Hana haja ya kumwambia ye ampe tu thread asome mwenyewe! Lol! Ngoja basi niondoke nisije kera watu bure manake mi vitu vya hivi huwa sina mzaha navyo hata kidogo!
usiondoke plz endelea kuniambia chochote unachofikiri bila kujali ataumia au lah plz she need to know
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom