Rejao nadhani amekuskia yeye ndio mwenye hii sekta ya u weita
hujawai kupenda ww kuna watu wakipenda wanapenda kweli...............si bora ye hajapenda kufikia pale pa kujinyonga bado ina mana hajafikia hali mbaya saaaaaaaaaaaaana anaweza kuokolewa au nakosea mamito
nishamwambia ila hasikii anasema anamtoto naye na anaogopa kuja kuulizwa na mwanae baba yake yu wapi na hapendi mwanae kuja kulelewa na mzazi mmoja tu .....................nashangaWhat the hell is this? Hivi ni ujinga gani huo anaoufanya rafiki yako? Kupigwa apigwe na bado ang'ang'anie tu, let alone the fact that yule ni mume wa mtu! Jamani, kupendwa usipendwe hata kujipenda mwenyewe ushindwe? So wonderful!
kwaiyo unataka kusema ni sala za mke wa msela
kwaiyo unataka kusema ni sala za mke wa msela
mwanaume kaoa kanisani kabisa yani na yuko na 4 years kwa ndoa yake ..................sasa hata akiachana huko mahakaamani bado itabidi wafunge serikalini sio kanisani tena na hajawai kumtambulisha huyo shost wangu kokote hata pete no hana ..........kila akiuliza mvulana humjibu wanipenda we tulia na omba haya mabo yaishe haraka sana na mm hua namuambia wakati ww unaomba yaishe yule dada naye anaomba yasiishe koz hataki kumpoteza husband wake.................na mungu lazima asikilize sala za mke sio za shosthuyo rafiki yako hafai kabisa hivi kuna watu wanajitahidi na wanatumia akili kufikiria jinsio ya kumtenda mwanamke mwenzake??? sasa amvunjie ndoa mwenzake halafu aolewe yeyeyey duh hii kali ila aelewe ya kwake haitadumu kwani kuna atakaye ivunja kwani mwanaume anaonekana hana msimamo
yy hataki kumvisha huyo mpya mzigo ambao haumuhusu koz yule brand new kasema yuko tayari kumtake in huyo shost na dogo wake in da house ila huyu dada anaona huyu kaka ha deserve kua naye koz yy anaona ka maisha yashamuaribikia so hatakai kumtwika huyu kaka hilo jizigokweli mapenzi ni kizungu zungu tu!! kila mtu ana formula yake, zingine hatari !!! amfuatilie na huyo mpya C.V yake afu apime kwenye mizani
................. duh! je kama wale waliungana kwa bahati mbaya na huyu shost ndio ubavu wake mana ndio shost anaamini ivo hapo je inakuaje wale wadini waseme hapandio maana yake. Unapomfanya mtu aishi kwa huzuni ujue unajipunguzia baraka.
hapo chacha kipenda roho hula nyama mbichi ndio ujue ivo kashapenda yy na yuko tayari kuila hilo linyama libichihuyo rafiki yako hafai kabisa hivi kuna watu wanajitahidi na wanatumia akili kufikiria jinsio ya kumtenda mwanamke mwenzake??? sasa amvunjie ndoa mwenzake halafu aolewe yeyeyey duh hii kali ila aelewe ya kwake haitadumu kwani kuna atakaye ivunja kwani mwanaume anaonekana hana msimamo
usiseme ivo mapenzi upofu shoga we
hapo chacha kipenda roho hula nyama mbichi ndio ujue ivo kashapenda yy na yuko tayari kuila hilo linyama libichi