Anamkonyeza..

Anamkonyeza..

mtu wa aina hiyo akikujia huwa una mblast tu ........kuwa wewe hupendi wanawake wenzako....ukimpa in black and white ata ku respect
 
Kwani kuna ubaya gani mwanamke kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanamke mwenzie? Hakuna jipya hapo.

Huyo dada hakuwa hata na sababu ya kuleta hiyo issue kwa mwanakijiji kwani jibu lake ni yes or no. Kwa kuanza kuomba ushauri inaonekana hana msimamo wa anachokitaka au hajuo anachokitaka; na kwamba akishauriwa awe karibu na huyo anayemkonyeza, basi atakuwa naye.

Acha ubazazi Ama, yaani uko tayari kukubaliana na kila upuuzi unaozuka duniani? Kuna ubaya mkubwa maana hata hayawani wa porini hawana upuuzi huo sembuse mwanadamu mwenye akili?

Kama huoni ubaya basi ujue kuwa hao Hayawani wana akili zaidi kuliko wewe Mwanadamu na hapo utakuwa na faida gani? Utakuwa na Mchango gani chanya kwa kizazi hiki?
 
I real wonder wea gret zinkas wako wapi?
1st:nikimpigia huyo dem atastuka sana,how n wea dd i get ha no?
2nd:how dd I no yy nio msagaji?hata kama anakomfidenc gani I tell u lazima ataogopa tu!
3rd:ntamwamba I want to c ha
hapo sasa kitakachofuata .............................................
 
lakini hii tabia ipo sana kwa sasa kuna binti ninafanya nae kazi mpaka watu wameshamzoea na yeye haoni so kutoka na wadada ..yuko busy kutongoza kama wanaume na
hata story zake utasikia yule demu lazima nimfukuzie na anatoka na kila aina ya warembo.. inasikitisha na kutisha !
Kizazi kinateketea!
 
lakini hii tabia ipo sana kwa sasa kuna binti ninafanya nae kazi mpaka watu wameshamzoea na yeye haoni so kutoka na wadada ..yuko busy kutongoza kama wanaume na
hata story zake utasikia yule demu lazima nimfukuzie na anatoka na kila aina ya warembo.. inasikitisha na kutisha !
Kizazi kinateketea!

sasa wanawake si wengi kuliko wanaume jamani?
wanaume wenyewe na uchache wao bado wameamua kuwa wanawake tena
so.................acha sodoma na gomora iendelee kuiteketeza dunia
 
Acha ubazazi Ama, yaani uko tayari kukubaliana na kila upuuzi unaozuka duniani? Kuna ubaya mkubwa maana hata hayawani wa porini hawana upuuzi huo sembuse mwanadamu mwenye akili?

Kama huoni ubaya basi ujue kuwa hao Hayawani wana akili zaidi kuliko wewe Mwanadamu na hapo utakuwa na faida gani? Utakuwa na Mchango gani chanya kwa kizazi hiki?

Bado hujanionyesha ubaya zaidi ya kurudia rudia neno hayawani.

Kwa mfano ukiniuliza kuna ubaya gani kwa mwanaume wawili kuwa na uhusiano wa kingono nitakujibu kuwa hawa wataishia kutifuana sehemu za haja kubwa. Hii kisayansi ina athari kwa sababu inasababisha hajakubwa kuingia kwenye uume na kuwa kama wanainoculate bacteria kutoka kwenye kinyesi na kuipeleka kwenye uume. Pia inaleta michubuko ambayo inasababisha unwanted bacteria kupenya na kuingia kwenye damu ambapo wataproliferate sehemu wasiyotakiwa. In all muingiliano wa mwanaume na mwanaume au mwanaume kumwingilia mwanamke kinyume na maumbile unaleta infection.

Narudia tena, kuna ubaya gani mwanamke na mwanamke wanapokuwa na mahusiano ya kingono?
 
sasa wanawake si wengi kuliko wanaume jamani?
wanaume wenyewe na uchache wao bado wameamua kuwa wanawake tena
so.................acha sodoma na gomora iendelee kuiteketeza dunia

Bht acha tu bestlady wangu ...mie nimejaribu kumuuliza anakosa nini akadai hana feeling za kike ambazo sijui yeye anadhani ni zipi...
na anadai alianza kamchezo kachafu akiwa std seven ina maana alikuwa mtoto sana ..na anadai mmoja katika family yake sitataja alikuwa na tabia hiyo ..
mmh ati yeye anasema amerithi na anakuwa confotable zaidi akiwa na jinsia yake
cha kushangaza anawachukua watu wenye heshima zao huwezi kudhani na kuamini
Hizi si dalili njema ni hakika mwisho wa dunia u karibu..
 
Kwani kuna ubaya gani mwanamke kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanamke mwenzie? Hakuna jipya hapo.

Huyo dada hakuwa hata na sababu ya kuleta hiyo issue kwa mwanakijiji kwani jibu lake ni yes or no. Kwa kuanza kuomba ushauri inaonekana hana msimamo wa anachokitaka au hajuo anachokitaka; na kwamba akishauriwa awe karibu na huyo anayemkonyeza, basi atakuwa naye.


we Ama ushauri gani huo?
 
Bado hujanionyesha ubaya zaidi ya kurudia rudia neno hayawani.

Kwa mfano ukiniuliza kuna ubaya gani kwa mwanaume wawili kuwa na uhusiano wa kingono nitakujibu kuwa hawa wataishia kutifuana sehemu za haja kubwa. Hii kisayansi ina athari kwa sababu inasababisha hajakubwa kuingia kwenye uume na kuwa kama wanainoculate bacteria kutoka kwenye kinyesi na kuipeleka kwenye uume. Pia inaleta michubuko ambayo inasababisha unwanted bacteria kupenya na kuingia kwenye damu ambapo wataproliferate sehemu wasiyotakiwa. In all muingiliano wa mwanaume na mwanaume au mwanaume kumwingilia mwanamke kinyume na maumbile unaleta infection.

Narudia tena, kuna ubaya gani mwanamke na mwanamke wanapokuwa na mahusiano ya kingono?


Hapana Ama fikiria ni kwa nini mungu aliweka mwanamke na mwanamme ?
la sivyo wangeumbwa wanaume pekee au wanawake pekee kama ndio ingekuwa kusudio lake

huu mwingine ni uchafu!
 
we Ama ushauri gani huo?


Ninachoshangaa ni huyu dada kutokuwa na maamuzi hadi aulize. Kama hataki kwa nini alishindwa kumwabia sitaki. Na kama anataka kwa nini hakumbwambia ndio? Hii inaonyesha huyo dada anayekonyezwa hajui anachokitaka au hajijui hadi aulize. Mambo madogo kama haya unashindwa kutafutia ufumbuzi hadi uombe ushauri, tena unaomba ushauri kwa mwanaume! Mtu wa hivi umshaurije Mom?
 
Bht acha tu bestlady wangu ...mie nimejaribu kumuuliza anakosa nini akadai hana feeling za kike ambazo sijui yeye anadhani ni zipi...
na anadai alianza kamchezo kachafu akiwa std seven ina maana alikuwa mtoto sana ..na anadai mmoja katika family yake sitataja alikuwa na tabia hiyo ..
mmh ati yeye anasema amerithi na anakuwa confotable zaidi akiwa na jinsia yake
cha kushangaza anawachukua watu wenye heshima zao huwezi kudhani na kuamini
Hizi si dalili njema ni hakika mwisho wa dunia u karibu..

Hapo kwenye red don't judge a book by looking on its cover...!!!
 
Hapo kwenye red don't judge a book by looking on its cover...!!!

No Brother mie huwa nashangaa kweli kabisa inakuwaje haya maswala sipati majibu..🙂kuna mtu ukimwangalia na mambo yake ni vitu viwili tofauti
 
No Brother mie huwa nashangaa kweli kabisa inakuwaje haya maswala sipati majibu..🙂kuna mtu ukimwangalia na mambo yake ni vitu viwili tofauti

FL1 mtu anaweza kuwa na heshima zote ila mambo yake ya sirini ni tofauti kabisa! Na ndio maana yanalindwa na kuta nne! Laiti kama kuta zingekuwa zinaongea, tungeshaa sana kusikia ushuhuda wa yanayotokea huko!
 
FL1 mtu anaweza kuwa na heshima zote ila mambo yake ya sirini ni tofauti kabisa! Na ndio maana yanalindwa na kuta nne! Laiti kama kuta zingekuwa zinaongea, tungeshaa sana kusikia ushuhuda wa yanayotokea huko!

thanks Masaki nashukuru sana kwa hili jibu lako
 
madada kama hawa dawa yao ni ndogo.
Mwanakijiji mwambie huyo shosti kama ana boy friend waende hadi kwa huyo dada na amtambulishe ikiwezekana huyo boy friend wake apige mkwara kidogo kuwa akisikia girl friend wake anafuata fuatwa. atamtambua.
 
Back
Top Bottom