FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,373
Hitimisho langu kwa huyu sister anayekonyezwa..
Ni kama vile mwanamme anapokutongoza ..una hiari ya kukataa au kukubali
Vivyo hivyo kwa huyo mwanamke ambaye anaamini homoni zake ndio zinamtuma kukukonyesha .una hiari yako ya kumwambia hukubaliani na matakwa yake .na umuombe asirudie kukukonyeza kwani kitendo hicho kinakukera na kukukosesha amani ..
Utakapokaa kimya ataamini unamfikiria
utakapo kaa kimya ataamini iko siku utakubaliana na matakwa yake ya kisagaji ..
na ataamini unafurahia pale anapokutongoza kwa kukukonyeza
Sisy be straight katika maamuzi yako...
FL1
Ni kama vile mwanamme anapokutongoza ..una hiari ya kukataa au kukubali
Vivyo hivyo kwa huyo mwanamke ambaye anaamini homoni zake ndio zinamtuma kukukonyesha .una hiari yako ya kumwambia hukubaliani na matakwa yake .na umuombe asirudie kukukonyeza kwani kitendo hicho kinakukera na kukukosesha amani ..
Utakapokaa kimya ataamini unamfikiria
utakapo kaa kimya ataamini iko siku utakubaliana na matakwa yake ya kisagaji ..
na ataamini unafurahia pale anapokutongoza kwa kukukonyeza
Sisy be straight katika maamuzi yako...
FL1