The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,890
- 4,865
- Thread starter
- #121
Sana Yan Hadi anaboaYaani utoto mwingiii
Sana Yan Hadi anaboaYaani utoto mwingiii
PoaaNidm jina lake
Poa na namba ya simu kama vipiPoaa
Aaaaah wapi huko misri nshatokaPiga nyeto kaka pigaaaaa kaka![]()
Namba ya simu hapana mkuu,uje useme nilivomla mtu fulan, utaikuta kwa bio yakePoa na namba ya simu kama vipi
Umeongea point sana kaka, shukraniMkuu misimamo yenu haieleweki! Hivyo ni ngumu kukupa ushauri as far hueleweki nini unataka/utaki kutoka kwa bimdada huyo!
Lakini kama kweli una mapenzi na nia thabiti ya kuja kuishi nae, basi epuka kumtolea kauli zinazomkwaza ili msiwe watu wa kuishi kama mawimbi ya bahari, kwamba hapa unapanda, pale unashuka!
Kuwa makini sana, tambua kuwa mwanamke hawezikaa bila huduma. Mfano kama alikuwa anakuomba hadi pesa ya sadaka kanisani na gharama nyingine kama za vifurushi na umeshamchunia ila bado anapatikana mtandaoni, hapo jua kuna mhisani mwingine zinakotoka!
Hivyo basi mpaka siku hizo sarakasi zenu zitakapotulia, tayari utakuwa ushapata waume wenza kibao na ndo mwanzo wa kuwapangisheni foleni!
🤣🤣Tatizo kana ujeuri mwingi sana![]()
Ningefanya wanavyofanya ma-legendary.Mkuu we ungefanyajee
Merci bēllēKwanini bado unamfatulia!!!!??? Fanya yako Achana nae.... Ikiwezekana mblock tu
What if anatest uvumilivu wanguNingefanya wanavyofanya ma-legendary.
Kukaa unapopendwa. Basi!

Mpka umefungua uzi hakusumbui?I wish ungekuwa waona jinsi nilivo relax mkuu.
Dogo hanisumbuiii kabisaaa
Sasa mkikaa wakubwa tu, futuhi kama hizi mtazipata wapiNlikua naambiwa JF kuna watoto nakataa leo nmejionea mwenyewe
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Ndiyo hanisumbui
Unamfatilia mkuu ni ishara unampenda,kuwa mkweli na nafsi yako oa mtoto huyo mkaimbe kwaya pamoja.
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app




