Vitaimana
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 3,531
- 1,566
Mnatumiaga Rambo au?
rambo asingekuwa na presha!
Mnatumiaga Rambo au?
Mwambie ungependa mwende mkapime wote tena kile kipimo kikubwa, akikataa we nenda kapime na usimpe "imana" mpaka akushirikishe kwenye vipimo vyake, umesikia mwanangu?
Jamaa alikusaliti toka muda mrefu sasa aliekusaliti nae hasemwi vizuri hivyo anataka ukapime ili apate majibu, nenda kapime kwanza kwa sababu naamini uko poa kabisa lakini jamaa yako pia apime baada ya hapo utachagua kusuka ama kunyoa maana amewasha taa nyekundu tayari kua makini kwani hakuna nayepata ukimwi akabaki na furaha yake ya awali
Wanaumwe hawapatagi UTI kutokana na maumbile yao....pia haiambukizi kwa njia ya sex........ninacho hisi hapo....atakuwa ametembea na mwanamke mwenye gonjwa na zinaa....ametibiwa ila ana wasiwasi asije akawa amekanyaga moto.....sasa kwa vile anasex na wewe kavu.......anataka kukutumia wewe kama chambo ili ukipima wewe udetermine status yake ya afya........
Inaonekana anataka kujua afya yake kupitia kwako.
Nenda kapime afu ukirudi piga kimya. Na kama utakuta upo vizuri mpandishe kisukari alichokupandisha
Kama angekuwa mpenzi wa ukweli angekuambia muende wote.
Happo akili kichwani.
Binadamu hupata magonjwa, tofauti ni attitude ya kupokea hali.
Bora upime ujipange kama mtaendelea au vipi.
Jikaze ukapime mana hofu ni mbaya zaidi bora uujue ukweli.Hapo stresss na hofu vitakusumbua sana its better uujue ukweli mana unaweza ukajikuta kazi haziend.
Mmmmmh wapenz wetu hawa majanga
Kwanini majanga
Usihofu dada, huyo alipata gono hapo anashindwa kukueleza, we kapime tu, maana kama ni gono litakuumbua mda si mrefu.
Wengi wao co waaminifu kabisa mwenzio Leo yamenikuta nimeenda home kwake nimekuta mwenzangu anakanga moja ikanibidi niombe samahani kuwaingilia pia ikabidi niondoke asaiv anapika cm uyo imebidi nimblock maana Hana chakujitetea so kapime tu