Tzhacker 000
JF-Expert Member
- Dec 11, 2017
- 658
- 686
sio tija .point o level hiiNew member mnasumbua tangu juzi na nyuzi zenu za ajabu ajabu....
Sent using Jamii Forums mobile app
sio tija .point o level hiiNew member mnasumbua tangu juzi na nyuzi zenu za ajabu ajabu....
Huna pesa mkuuPesa sio tatizo ingekuwa shida pesa nisingeleta Uzi humu ningekuwa nimeshampata
Mtongoze kwanza huyo mtu wake akikubali mwambie huyo dada mbona mtu wake yeye kakubali wewe kwanini ukatae.
Kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi.....Mtongoze kwanza huyo mtu wake akikubali mwambie huyo dada mbona mtu wake yeye kakubali wewe kwanini ukatae.
sawa mkuuAchana nae, ukilazimisha na akakubar kuna ulakini apo, jiandaa kumegewa maana anampnda msela wake maumivu utayapata makali zaidi tafuta mwingine tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo wa kishua mkuu pesa sio shida kwaoWanaume bhana mbka hapo hana time na wewe bado unang'ang'ania tu, katafute wengne mkuu demu hajakupenda uyo au mpe pesa option 2 hizo
Sent from my iPhone using JamiiForums
mkuu ahsant kwa ushaurAchana nae, ukilazimisha na akakubar kuna ulakini apo, jiandaa kumegewa maana anampnda msela wake maumivu utayapata makali zaidi tafuta mwingine tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Natumia mbinu hiiMpaka mke wa mtu analiwa sembuse huyo freeball!!
Pesa haijawahi kuwaacha Hawa viumbe salama.
Tumia pesa!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikumuuliza lkn jibu lake mwisho ndo lilikuwa ivoKosa mnalofanya mkiw mnatongoza ni hili
"Sorry, Una mpenzi? "
"Una boyfriend or? "
"Upo single? "
"Umpendae ajambo"
Yaan mnatengeneza mazingira ya kujibiwa yupo katik mahusiano..
Ushauri.. Ww Ukiamua kutia Vocal usiulize kam and bwana.. Ww pambana na hali yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsant kwa ushaurKasema ukweli ambao ukiupuuzia kwa kigezo cha kumpenda sana baaadaye sana utakukost
Sent using Jamii Forums mobile app
Wiki ya 3 saiv mkuuUshakomaa nae kwa muda gani?