Blackninja
JF-Expert Member
- Aug 26, 2018
- 376
- 307
- Thread starter
- #41
Sawa mkuuu ahsant kwa ushauriJe kama ana mtu wake kweli...Akubali tu sio kila unapopenda lazima upendwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuuu ahsant kwa ushauriJe kama ana mtu wake kweli...Akubali tu sio kila unapopenda lazima upendwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
acha ufala! kwaiyo amuache mtu wake wanayependana kwa ajili yako? kwani wewe una nini cha ziada?Mkuu hio mbinu nimetumia lkn inagoma kinachoniuma Nampenda kweli
Ok jitahidi ila kuomba ushauri kwa watu wenye mitazamo tofauti napo ni shida kila la kheriMkuu nampenda sana nikimpata naoa
Sasa kama unampenda na yeye hakupendi na tena ana mtu wake unafanyaje??Sio kila unachokihitaji lazima ukipate zaidi utajiumiza tu.Nampenda mkuu ndo maana nikaomba ushauri
Nimekupata mkuu sio swalaacha ufala! kwaiyo amuache mtu wake wanayependana kwa ajili yako? kwani wewe una nini cha ziada?
acha kuingilia machimbo ya watu
Ahsante kwa maoniSasa kama unampenda na yeye hakupendi na tena ana mtu wake unafanyaje??Sio kila unachokihitaji lazima ukipate zaidi utajiumiza tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante kwa ushauriOk jitahidi ila kuomba ushauri kwa watu wenye mitazamo tofauti napo ni shida kila la kheri
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaman tufike sehmu tujue kwamba so kila mwanamke anaweza kuyumbishwa wengine n wana misimamo na wanaangalia wanakoenda kwa mtu anayejitambua kama anamtu wake hata ungeonga kampuni msimamo wake uko palepale nakushauri tu kubal kwamba imeshindikana tu afu n mm hapa ko nakushaur tuliaPesa kwanza. Mm nikimpendaga dem na kumpata ni kazi, nampa wiki mbili tuu naingia chimbo kutafuta pesa. Nikirudi namwaga noti balaaaa kabisa. Wala hatathubutu kusema ana mtu wake.
Kama huna pesa tulia tuu.
Vrou van samaria give me bit of water to drink
Tena ukipata mtu ambaye amekuwa mkwel inabid umshukuru Mungu sema tatzo la wanaume wengi ukimwambia nna mtu haamini anNikiri kwanza sijawahi kupenda kabla.
Sasa nimekatika #blackninja kuna Dada nimetokea kumpenda sana tatizo ni anadai ana MTU wake.
Mabaharia mliushindaje huu mtihani?
NB: Nampenda sanaa
Aah bas anakuchora tuNahisi ivo maana story zingine zinaenda fresh shida iko hapo usipomchek unasema namsusa
Hivi kuna mtu ambaye hana mtu? Wewe komaa naye yeye au unamtaka mtu wake?Nikiri kwanza sijawahi kupenda kabla.
Sasa nimekatika #blackninja kuna Dada nimetokea kumpenda sana tatizo ni anadai ana MTU wake.
Mabaharia mliushindaje huu mtihani?
NB: Nampenda sanaa
Na atajuaje kama kweli huyo msichana ana mtu wake au kama ni zuga???Bora amekuambia mapema ana mtu wake kuliko kukupotezea muda wako na gharama unachotakiwa kufanya ni kujitahidi kumpenda mwingine.
Ushakomaa nae kwa muda gani?Nikiri kwanza sijawahi kupenda kabla.
Sasa nimekatika #blackninja kuna Dada nimetokea kumpenda sana tatizo ni anadai ana MTU wake.
Mabaharia mliushindaje huu mtihani?
NB: Nampenda sanaa