Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,287
- 10,683
Mkuu usigombee tuachie wadogo zako, wewe si umeshapata mtaji mkuu, nenda kajiajiriNDIO PANAPO UZIMA
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usigombee tuachie wadogo zako, wewe si umeshapata mtaji mkuu, nenda kajiajiriNDIO PANAPO UZIMA
Mheshimiwa unazungumziaje swala.la seriakali na chama chako kuendelea kufanya kampeni wakati watu wa vyama vingine wanazuiliwa kufanya siasa je ndio Mbeleko hii kuibeba serikali na chama chako??URAIS SIO NDOTO ZA MTU BALI NI HITAJI LA WAKATI NA HITAJI LA WATU . HIVYO HII SIO AGENDA KWA SASA. NIULIZE KUHUSU IRAMBA
Unataka akutafute wapi na ili iweje?Hilo ni Jambo AMBALO hulielewi KABISA, nitafute nikuelimishe.
Mwigulu Lameck Madelu Nchemba yuko wapi rafiki yetu mpendwa Ben Saanane? Mume mpeleka wapi? Yuko hai au amekufa? Tuna omba majibu please!Natamani kuwa, Najitahidi kuwa, nimefankkiwa kwa kipimo Gani wenzangu mnanijua zaidi
Una mpango wa kuandika kitabu, pia ukaeleza lile tukio la kuokotwa miili ya watu kwenye viroba kule Bagamoyo ukasema ni wahamiaji haramMimi ni CCM, KATIBA YA CCM NAIJUA, NA UTAMADUNI WA CCM NAUJUA, 2020 NI CHAGUA MAGUFULI, KAZI IENDELEE
Mh nisingependa kukutupia lawama wewe kama waziri as individual lakini maswali yangu yatalenga kwenye system yaani serikali nzima. Kama waziri wa Mambo ya ndani kilishindikana nini kukomesha vitendo vya mauwaji vilivyofanywa na watu wanaoitwa wasiojulikana, nawapongeza mlikomesha Mtiti wa MKIRU. Lakini huenda hili ndilo lilikiangusha??Huna taarifa hata kidogo, fuatilia upate ukweli ndio uje uandike. Kama kawaida nadhani unatamani niishi kama mbwa koko. nikuhaikikishie watafute wenye taarifa wakwambie nani aliwasaidia walipokuwa na matatizo
SIJAELEWA KABISA HAPAKwann huwa mnapenda kuomba dua ambazo haziwasaidii mkuu ,acha kulialia tafuta hela
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ni majibu mepesi mno kwa maswali magumu kama hayo. Hakika Magufuli hakukosea kuku fukuza uwaziri.HATA MOJA HUNA TAARIFA NALO, NITAFUTE ANA KWA ANA NIKUELEZEE. AU WAONE VIONGOZI WAKO WA CDM
Nitafute nikufafanulie maana inaonekana HUJUI KABISA
Muelimishe hapa hapa ...umesema utajibu maswali yote hapaHilo ni Jambo AMBALO hulielewi KABISA, nitafute nikuelimishe.
Tangu lini Mwigulu haujaacha kutamani kua waziriUWAZIRI sio agenda ya mtaani. Wewe ndio huwa unateua MAWAZIRI.? MIMI NATIMIZA MAJUKUMU YANGU KAMA MBUNGE NA KAMA KADA WA CHAMA CHANGU
msisitizo = jazbaNAONESHA MSISITIZO 😄😄😄😄😄😄
Kwa kweli na wananchi tulivyo tutawapa tena
Umesahau na umechanganya , Kwa WANANCHI kila siku Niko nao ZIARA kila mwaka KUANZIA nashukuru, kila mwaka huwa napita kila kijiji, kwani huwa nachaguliwa hapa. Hii ni moja ya forums nyingi tu ambazo kila siku nipoUmeona uchaguzi umekarbia ndo unajileta kwa wananchi. Waambie na wenzio waje tuwabanike. Halafu usiruke maswali jibu yote kwa mpangilio na mtiririko uliopo.
black city