Kwani nawe huna maex umrushe roho?
Kwa hiyo wewe ni mshika pembe tu humu Jf?
R.I.P me 🙁
Inabidi uwe wewe ili umrushe huyo mtu!!
Basi msaidie dada yako huyo, si unaona wanaume hatusomeki sana?
Heeee!!!!!!
Hivi kumbe kuna maisha ya JF .......
Sikua najua hili!
Maneno yameniiishaa miee labda unisaidiee
R.I.P???? Yaani mimi ndio unaniambia R.I.P?? Nimekufa?