An ex can be friend?

An ex can be friend?

mmu inatumiwa na watu wa aina tofauti hivyo jaribu kutumia lugha y taif ili ueleweke zaidi
mpenzi wako wazaman anaeza kua rafk ako inatwgemeana na makubaliano yenu
 
If two past lovers can remain friends its either they are still in Love or they never were!!! - Annie
 
Last edited by a moderator:
mmu inatumiwa na watu wa aina tofauti hivyo jaribu kutumia lugha y taif ili ueleweke zaidi
mpenzi wako wazaman anaeza kua rafk ako inategemeana na makubaliano yenu
 
Wakati mwingine kwenye mapenzi u have that clear picture that man or woman is not yours lakini cha kushangaza there is that another side of your heart that keeps you holding on one more second and more seconds.
Hapo ushapiga simu na kuambiwa bado wanamahusiano ila bado unaona ni wako tu

tena wanawake ndo wahanga sana wa hiyo another side
 
shosti hapo mwanaume huna isitoshe ukute kwa hao watu wake na wewe anakutambulisha kama ex, manake kwa maelezo yako hakuna hata cha tofauti kati yao na wewe kama picha zao anazo, mawasiliano bado yapo na huyo mwingine ndo umeambiwa kabisaaa usimguse usije muumiza sasa hapo utaniambia kweli uko kwenye mahusiano? my dear u r in love alone mwenzio wala hayuko na wewe, tena nahisi huyo uliyoambiwa usimguse ndo alieteuliwa kuwa mwenye mali halali nyinyi wengine anamalizia ujana wake kwenu
 
...Kama ndio mahusiano ya kwanza, ni ngumu ku maintain urafiki, kwa sababu hata mara nyingi mnaachana kwa chuki na malumbano.

Ila endapo ushatembea na wanaume/wanawake wengi, mnaweza kuwa marafiki bila shida. Binafsi sipendi kujiweka karibu na ex, coz najua hayataisha, utachombeza, mtaongelea mambo hayo tu na mwisho wa siku mtataka mlalane tena.
 
Haaaalllooowww MMU members,

I have something I need u guys to help me,to be honest I am in deep love kwa huyu boyfriend wangu but tatizo simuelewi .Yupo na picha nyingi za 3 different girls bt zipo kwenye pozi tata nilipomuuliza akanambia ni just ex's wake hakuna shida kubaki na kumbukumbu zao,but still anafanya nao contact,sikumuamin nilifanya contact na two girls among those 3 girls, wote walinambia still wapo kwenye relation na my boyfriend, but huyu mwanaume ananambia they are just friends.

Hivi can u be real friend with some one u dated?even if she knows u better than any one else?do any great or even average romance ever end by sagueing into a strong friendship?

What i believe is giving an ex the 2nd chance as a friend is like giving someone bullet because they missed you with their 1st shot.

Ambacho kinanipa shaka zaidi he told me naweza kufanya contact na girls wote ambao nahisi ana mahusiano nao,but kuna girl mmoja kaniambia nisithubutu kufanya nae contact coz tutagombana ,yaani nisimsumbue kabisa huyo mwanamke,kisa ni ex wake ambaye waliachana but anajua still huyo mwanamke anampenda,kwahivo nikimwambia chochote ataumia,does it make sense friends?

Nipo njia panda,nahitaji ushauri wako please.

kumbe wewe mwanamke? inabidi mods watuwekee kitufe cha jinsia
 
Haupo njia panda bali kwenye mchepuko.....
 
Asikwambie mtu hao Ma-X watamu kichizi...huwa inaitwa kukumbushia enzi.
Haupo njia panda bali upo kwenye mchepuko
 
ok kwa kifupi na lugha nyepesi.. he is still screwing those x and huyo umepewa onyo juu yake he still have plans to go bak or anampenda tena sana...na wewe ni kipoozeo tu..so chagua kusuka au konyoa mama.. unless kama na yy he is just a f**kmate kwako endele kaa na usimfatilie nyendo zake...siku ukiwa high make a call.. or kama wataka serious r.ship honestly I don't see tht btn u 2 frm the story...
 
Find yo way outta tht congestion yung sissy..he aint lovin yu lyk he loved his exs
 
Hili suala mbona liko wazi kabisa!!
Ni kwamba moyo hautaki kukubali kuwa huo ndo ukweli wa mambo
 
Haaaalllooowww MMU members,

I have something I need u guys to help me,to be honest I am in deep love kwa huyu boyfriend wangu but tatizo simuelewi .Yupo na picha nyingi za 3 different girls bt zipo kwenye pozi tata nilipomuuliza akanambia ni just ex's wake hakuna shida kubaki na kumbukumbu zao,but still anafanya nao contact,sikumuamin nilifanya contact na two girls among those 3 girls, wote walinambia still wapo kwenye relation na my boyfriend, but huyu mwanaume ananambia they are just friends.

Hivi can u be real friend with some one u dated?even if she knows u better than any one else?do any great or even average romance ever end by sagueing into a strong friendship?

What i believe is giving an ex the 2nd chance as a friend is like giving someone bullet because they missed you with their 1st shot.

Ambacho kinanipa shaka zaidi he told me naweza kufanya contact na girls wote ambao nahisi ana mahusiano nao,but kuna girl mmoja kaniambia nisithubutu kufanya nae contact coz tutagombana ,yaani nisimsumbue kabisa huyo mwanamke,kisa ni ex wake ambaye waliachana but anajua still huyo mwanamke anampenda,kwahivo nikimwambia chochote ataumia,does it make sense friends?

Nipo njia panda,nahitaji ushauri wako please.
An ex can be a friend BUT with benefit! But for ur case. .honey. .Therez no friendship .He is a cheater. He is not a man enough darling.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom