Wakati mwingine kwenye mapenzi u have that clear picture that man or woman is not yours lakini cha kushangaza there is that another side of your heart that keeps you holding on one more second and more seconds.
Hapo ushapiga simu na kuambiwa bado wanamahusiano ila bado unaona ni wako tu
mapenzi upofu, ila huyu macho yake ya bandia....
Haaaalllooowww MMU members,
I have something I need u guys to help me,to be honest I am in deep love kwa huyu boyfriend wangu but tatizo simuelewi .Yupo na picha nyingi za 3 different girls bt zipo kwenye pozi tata nilipomuuliza akanambia ni just ex's wake hakuna shida kubaki na kumbukumbu zao,but still anafanya nao contact,sikumuamin nilifanya contact na two girls among those 3 girls, wote walinambia still wapo kwenye relation na my boyfriend, but huyu mwanaume ananambia they are just friends.
Hivi can u be real friend with some one u dated?even if she knows u better than any one else?do any great or even average romance ever end by sagueing into a strong friendship?
What i believe is giving an ex the 2nd chance as a friend is like giving someone bullet because they missed you with their 1st shot.
Ambacho kinanipa shaka zaidi he told me naweza kufanya contact na girls wote ambao nahisi ana mahusiano nao,but kuna girl mmoja kaniambia nisithubutu kufanya nae contact coz tutagombana ,yaani nisimsumbue kabisa huyo mwanamke,kisa ni ex wake ambaye waliachana but anajua still huyo mwanamke anampenda,kwahivo nikimwambia chochote ataumia,does it make sense friends?
Nipo njia panda,nahitaji ushauri wako please.
Hilo nalo neno best,kumshauri ni kutwanga maji kwenye kinu tu!
uzuri shemeji mwenyewe yupo hapa hapa patamu hapooooo
tena wanawake ndo wahanga sana wa hiyo another side
An ex can be a friend BUT with benefit! But for ur case. .honey. .Therez no friendship .He is a cheater. He is not a man enough darling.Haaaalllooowww MMU members,
I have something I need u guys to help me,to be honest I am in deep love kwa huyu boyfriend wangu but tatizo simuelewi .Yupo na picha nyingi za 3 different girls bt zipo kwenye pozi tata nilipomuuliza akanambia ni just ex's wake hakuna shida kubaki na kumbukumbu zao,but still anafanya nao contact,sikumuamin nilifanya contact na two girls among those 3 girls, wote walinambia still wapo kwenye relation na my boyfriend, but huyu mwanaume ananambia they are just friends.
Hivi can u be real friend with some one u dated?even if she knows u better than any one else?do any great or even average romance ever end by sagueing into a strong friendship?
What i believe is giving an ex the 2nd chance as a friend is like giving someone bullet because they missed you with their 1st shot.
Ambacho kinanipa shaka zaidi he told me naweza kufanya contact na girls wote ambao nahisi ana mahusiano nao,but kuna girl mmoja kaniambia nisithubutu kufanya nae contact coz tutagombana ,yaani nisimsumbue kabisa huyo mwanamke,kisa ni ex wake ambaye waliachana but anajua still huyo mwanamke anampenda,kwahivo nikimwambia chochote ataumia,does it make sense friends?
Nipo njia panda,nahitaji ushauri wako please.