Haaaalllooowww MMU members,
I have something I need u guys to help me,to be honest I am in deep love kwa huyu boyfriend wangu but tatizo simuelewi .Yupo na picha nyingi za 3 different girls bt zipo kwenye pozi tata nilipomuuliza akanambia ni just ex's wake hakuna shida kubaki na kumbukumbu zao,but still anafanya nao contact,sikumuamin nilifanya contact na two girls among those 3 girls, wote walinambia still wapo kwenye relation na my boyfriend, but huyu mwanaume ananambia they are just friends.
Hivi can u be real friend with some one u dated?even if she knows u better than any one else?do any great or even average romance ever end by sagueing into a strong friendship?
What i believe is giving an ex the 2nd chance as a friend is like giving someone bullet because they missed you with their 1st shot.
Ambacho kinanipa shaka zaidi he told me naweza kufanya contact na girls wote ambao nahisi ana mahusiano nao,but kuna girl mmoja kaniambia nisithubutu kufanya nae contact coz tutagombana ,yaani nisimsumbue kabisa huyo mwanamke,kisa ni ex wake ambaye waliachana but anajua still huyo mwanamke anampenda,kwahivo nikimwambia chochote ataumia,does it make sense friends?
Nipo njia panda,nahitaji ushauri wako please.