Amini usiamini Marando ndo anabomoa CHADEMA

Amini usiamini Marando ndo anabomoa CHADEMA

ferre.g

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2013
Posts
2,215
Reaction score
329
Habari wana JF....
Napenda kuwajuza kuwa kuwepo kwa mtu huyu ndani ya CHADEMA ni hatari sana hata akifukuzwa leo CHADEMA wamechelewa sana.

Marando alikuwa mshauri mkuu ikulu enzi za Mwl. Nyerere na anazijua siri kubwa za ukomboz kusini mwa Africa.

Wengi mkitizama umri wake mnaweza kuuliza au kupinga hoja yangu lakn mm nafahamu kinachoendelea...
Mabere ki umri ni mkubwa sana kuliko mumdhaniavyo.

Nasema huyu ndo mbaya wa CHADEMA...

Nawasilisha.
 
Kweli wewe ni mbuzi, sasa marando amefanya nini/ ndio amenzisha ile adf nalu yenu au??!! wacha njaa
 
Kweli wewe ni mbuzi, sasa marando amefanya nini/ ndio amenzisha ile adf nalu yenu au??!! wacha njaa
Nimesema toka mwanzo kuwa mtanipinga kwa kuwa hamjui historia ilofichwa
 
Stor bila ushahidi ni facebuk kule, mbn huna heshima!! Hujui kuna watu wazima na akili zao humu? Mods na nyie mmelala sijui khaa!
 
Habari wana jf....
Napenda kuwajuza kuwa kuwepo kwa mtu huyu ndani ya cdm ni hatari sana hata akifukuzwa leo cdm wamechelewa sana.

Marando alikuwa mshauri mkuu ikulu enzi za Mwl. Nyerere na anazijua siri kubwa za ukomboz kusini mwa Africa.

Wengi mkitizama umri wake mnaweza kuuliza au kupinga hoja yangu lakn mm nafahamu kinachoendelea...
Mabere ki umri ni mkubwa sana kuliko mdhanivo.

Nasema huyu ndo mbaya wa cdm...

Nawasilisha.
Mara yako ya
mwisho kupima malaria ilikua lini mkuu?
 
Naunga mkono hoja. Alishasema kwa kinywa chake mwenyewe kuwa yeye ni shushushu ie usalama wa taifa na ile kazi huwa haiachwi, ni ya maisha, hawafukuzwi.
 
hujaonyesha kuwa anaiuaje, inabaki kuwa ni uzushi tu ambao mods bado hawajauona
 
unadhani wewe umewazidi ujuzi wa mambo watu wote pale cdm?mpaka wewe ukaliona ilo na wao wote wakawa awalijui? ni mtazamo wangu tu lakini
 
Stor bila ushahidi ni facebuk kule, mbn huna heshima!! Hujui kuna watu wazima na akili zao humu? Mods na nyie mmelala sijui khaa!
Sijui km umesoma nilichoandika... asante
 
Hata mm naweza kuungana nawe, huyu jamaa kafanya usalama wa Taifa. Pia kitendo cha CDM kumteua TINDU LISSU kuwa mwanasheria mkuu wa cdm na kuwa acha safari na Marando nika hisi kuna jambo nyuma. Afu kuna yule MM, M1 ;mmoja hakujulikana, huenda akawa yy ila cdhan ki urahisi hivyo!! Uchunguzi wa kina unahitajika.
 
Join Date : 3rd January 2014
Posts : 225Rep Power : 354Likes Received26Likes Given0
 
Back
Top Bottom