Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
- Thread starter
- #41
ndio najikusanya hapa baab
asante mnoooooo una akili sana ww
- Saint umeona hii...kazi ni kwako..mpe EPA mtt
ndio najikusanya hapa baab
asante mnoooooo una akili sana ww
- Saint umeona hii...kazi ni kwako..mpe EPA mtt
umeifurahisna baab ..ngoja nimtafute weita wangu rejao akuletee kinywaji fastamhhhh makubwa utampa dhahabu au?
mwenzio kakudondokea ww unamtisha na midola acha hizo
hapa hadi kieleweke ma swagamh kazi ipo hapa
asante kwa kunipa baraka zako ..mission ndio imeanza ivoAiseeee, Saint kazi ni kwako.
duh!................utajiri huooooo. Ushosti udumu.
sijaona hii postWeye Saint!!! Si una mchumba humu tayari!? Au uchumba umeshavunjika? Angalia asikununie ...na ndoa ikavunjika
sijaona hii post
...Muu wangu Bubu Ataka Kusema ..mtoto mwenyewe ndio huyu huyu ...ndio tunaendele kuwekana sawa .nataka kwanza VISA card yangu itume kisawa sawa kwani mtoto mwenyewe matata sana na si wa kitoto ..ukimuweka ndani sio wa kumlisha dagaa huyu au kumpandisha madala dala every day.Hahahahaha lol! Haya banaaa jifanye kipofu ....baada ya wiki chache usije kuomba ushauri kule MMU kwamba mchumba wako ambaye mlikuwa mnategemea kufunga pingu za maisha hivi karibuni kaingia mitini baada ya kuusoma uzi huu ...na wewe bado unampenda sana tena sana.
umenifurahisha sana kwa kulijua hilo)))))))))))...Muu wangu Bubu Ataka Kusema ..mtoto mwenyewe ndio huyu huyu ...ndio tunaendele kuwekana sawa .nataka kwanza VISA card yangu itume kisawa sawa kwani mtoto mwenyewe matata sana na si wa kitoto ..ukimuweka ndani sio wa kumlisha dagaa huyu au kumpandisha madala dala every day.
yani hapa nazidi kukaza tena na mfungulie husninyo account ya euro ili atie sahihi barua yako ya posa la sivo itaishia njiani haitawafikia wazazi....... mana kimila zetu lazima barua iletwe na shost wa karibu la sivo haipokelewilegeza kidogo jamani ..dah!!
cmpi dhahabu ila mm ni zaidi ya dhahabumhhhh makubwa utampa dhahabu au?
mwenzio kakudondokea ww unamtisha na midola acha hizo
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa loh!ngoja nirekebishe koo ..nataka nimshukie mistari ya kufa mtu yenye ladha ya mwambao
yani hapa nazidi kukaza tena na mfungulie husninyo account ya euro ili atie sahihi barua yako ya posa la sivo itaishia njiani haitawafikia wazazi....... mana kimila zetu lazima barua iletwe na shost wa karibu la sivo haipokelewi
una manisha nn mana cjakupata mkuu
malizia hapo kwenye wanashea the same.... (malizia)
loh! hii kali sasa ya mwaka ...........yani kama ni u great thinker huo wako uko -0% sasa hadi uje kua -0.001 sio leo kiama itakua ishakujaI and D au nimekosea.
mhh..jf nayo! Ivi Afrodenzi kaishilia wapi?
jamani ni umeme ama aminata!!! uchakachuaji sio fresh bana!Mgao kama kawaida, japo umepungua!