Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
- Thread starter
- #21
naona kakimbia tayari
sijakimbia..nipo natunga mistari.
naona kakimbia tayari
naona kakimbia tayari
Napita tu...mgao wa umeme umeisha nije bongo?
hahaaaaaaaaaa
lete bank statement zako zote uwe na account mbili dollars na pounds tu plzzzzzzz ctaki shilings mm
nipatie mm sasa iko vitabu vya bank
cna shida ya house yako wala mashamba wala mifugo yako wala ma cars yako .......mana cna mda na vitu ivo kabisaaaaaaaa
una manisha nn mana cjakupata mkuuusijekuta tu Aminata na Saint Ivuga wanashea the same.........
hhaaaaaaaaaaaaaaaaaa kweli we ni papa mopaoWakianza hawa(Saint Ivuga & Aminata) ku-EPA basi wengine wataanzisha vi-EPA vyao mitaani JF!!
huyu mtoto nyie acheni tu.. Lingekuwa embe ningekula hadi majani
ucjali mama we wangu wa maisha yan shost.............anza kutembelea maduka ya gucci kuangalia CL za nguvu uko na maduka ya JLO,ZARA,MANGO mm nikipata izo vitabu vya bank cc ni kusepa tu huko mana window shopping itakua tayar ushafanya cc ni kubeba tuutajiri huooooo. Ushosti udumu.
geuka bhana unaweza ukawa kwenye kamati ya vinywajinapita. . . Hata nyuma sigeuki. Shaaa. .
huyu ndio celeb number 1 wa SI.Nae ni Celeb wa Bongo?
JF kila kukicha ni kuzimikiana na kudondokeana
ngoja nirekebishe koo ..nataka nimshukie mistari ya kufa mtu yenye ladha ya mwambaoAminata unamskia Saint Ivuga...msikilize kijana binadamu mwenzio
chauro ..hapa habakishiwi mtu ...hakuna law kama hiomle ukishiba bakishia na wengine waendelee kufaidi
hello sweeeethahaaaaaaaaaa
lete bank statement zako zote uwe na account mbili dollars na pounds tu plzzzzzzz ctaki shilings mm
nipatie mm sasa iko vitabu vya bank
cna shida ya house yako wala mashamba wala mifugo yako wala ma cars yako .......mana cna mda na vitu ivo kabisaaaaaaaa
legeza kidogo jamani ..dah!!nimemsikia na mashart nishampa........yakimshinda basiiiiiiii
dah ..unanipeperushia ndege wangu aiseeongeza tena kama ni Cheque book..iwe imeisha sainiwa wewe ni kuweka amount tu
FN ni wapi?mbona nasikia wewe mtoto wa FN.Usimtose mwanao