Aminata ..dah!

Aminata ..dah!

Kwa Ushauri Nasaha...mpelekee 3 Bomba au Vp..Saint
uwepo wake pale tu ni zawadi tosha ....na inabidi awepo siku ya kufunga ppingu ambapo shemasi /padri/mchungaji akituuliza ....na nataka akae benchi la mbele
 
uwepo wake pale tu ni zawadi tosha ....na inabidi awepo siku ya kufunga ppingu ambapo shemasi /padri/mchungaji akituuliza ....na nataka akae benchi la mbele​
'....

Mkuu unaonaje nikajiweka kwa Afrodenzi siku hiyo....wine ishuke vzr...unaonaje Afro?
 
heheehe! Mi navyokulov hadi nataka nihamie huko. Lol.
Mjini hakuna kung'aa sharubu. Au sio?
ucjali mm tena na ww hapa nakutayarishia kila kitu hadi sehemu unakuja kufikia .......kila kitu juu yangu mm ngoja nianze maandalizi yakukutafutia visa
 
Hahahhahaha!!!! Kumbe una mambo mazuri ivi halafu upo kimya mkuu... Ngoja niku pm ... Naanza na aminata ... .H .... Etc
hahaaaaaaaaaaaaaaaa loh! hapa hata maji marefu hawezi kuniloga wala kunitia juju sembuse huyo mzee jehanam cjui.....
 
sijasoma hapo.
mwambie short cut itamcost sana kama wanavosaini mikataba ya madini tz itabidi atoe billions za ma dollar kwa mfanya iyo short cut ili amsainie iyo letter yake ya maombi hahahhaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom