Miaka 6. hapana alianza drama mbalimbali ambazo hazina sababu ya maana hasa. Alikuwa ananitafutia sababu naona, lakini ni ngumu sana kuipata kwangu. basi akaamua akaondoka, akachukua baadhi ya nguo zake akaenda kuanza new life. every after few days anakuja kwa kigezo cha kumsalimu baby. namuangalia tu.
Mume ameniacha, kaenda kupanga nyumba sehemu nyingine, ananiambia tuachane sababu hatufanani.
Mbaya ananitumia meseji kila siku usiku akiniambia jinsi gani ananimiss na kuwa ni jinsi gani moyo wake unamuuma kwa kuniacha ila inambidi aniache tu.
simjibu. Anaamini baada ya muda haya maumivu yatatuisha na tutaanza upya.
Ananiombea nipate mume mwingine and it is a strong christian marriage.
Nimeumia sana ila sasa naona moyo umeanza kuchukulia kwamba ndiyo hali halisi, ila nimefedheheka sana kujua I married a person mwenye akili za aina yake.
Nilikuwa naamini ana akili njema sana.
Sijui nani kamloga baba mtoto.
Mkuu habari. Hio avatar yako unaweza nipatia source? Its a striking image!everything happens for a reason
tehteh hata kama ni hivyo, ukiambiwa si ndiyo vizuri ili ufanyie kazi.
Mkuu habari. Hio avatar yako unaweza nipatia source? Its a striking image!
dah mkuu hii niliichukuaga facebook asee