Ameondoka nyumbani

Ameondoka nyumbani

nakubaliana na wewe, lakini this is a christian marriage, nataka niwe kwenye position nzuri ili hata nikitaka kuquit natoka bila lawama yoyote, and if nikitaka kufanya maamuzi mengine ya mapenzi nisifungwe na kanisa. wazazi, wadhamini wanajua lakini naona wote wamepigwa na butwaa.mchungaji anajua pia nadhani atachukua hatua.ila sijui.. Ukimwi mmmh atajiuguza alipoupata and i wont share his viruses.

Unataka mwanaume mwingine?
 
du, tunasikia upande mmoja tu wa shilingi, nashindwa kutoa ushauri.
 
Ndoa za siku izi zina kazi sana ..... mbona zamani akukua ivi? Ni kwamba watu wanaoana bila kuchunguzana au imetokea baati mbaya au wamelazimishana au nn chanzo?

Tulia dada maisha yanaendelea. Songa mbele usiwaze tena ndoa. Kama una watoto endelea kuwalea mbeleni kitaeleweka.

Usijaribu kutafuta suluisho la kurudiana mana atakusumbua sana.
 
nakubaliana na wewe, lakini this is a christian marriage, nataka niwe kwenye position nzuri ili hata nikitaka kuquit natoka bila lawama yoyote, and if nikitaka kufanya maamuzi mengine ya mapenzi nisifungwe na kanisa. wazazi, wadhamini wanajua lakini naona wote wamepigwa na butwaa.mchungaji anajua pia nadhani atachukua hatua.ila sijui.. Ukimwi mmmh atajiuguza alipoupata and i wont share his viruses.

........
naaanza kuona sababu ilomtoa hom...kumbe kachanganyikiwa na matadhi nawe badala umkumbatie na kumpa faraja unamuangalia tu mwenzako anatanga na dunia......sio lazma mshiriki penz bt waweza mpa faraja
 
nakubaliana na wewe, lakini this is a christian marriage, nataka niwe kwenye position nzuri ili hata nikitaka kuquit natoka bila lawama yoyote, and if nikitaka kufanya maamuzi mengine ya mapenzi nisifungwe na kanisa. wazazi, wadhamini wanajua lakini naona wote wamepigwa na butwaa.mchungaji anajua pia nadhani atachukua hatua.ila sijui.. Ukimwi mmmh atajiuguza alipoupata and i wont share his viruses.
Ana ukimwi?hebu kuwa specific…
Cc The Boss
 
Last edited by a moderator:
^^
Katika mapenzi, kuna wapenzi wanaitwa rebels! Hawa hawapendi kunyimwa uhuru wao, hawapendi kurudia mambo yale yale nyakati zote, ni wavumilivu wa tabia zinazobadilika. Inapotokea hawaoni mabadiliko kwa wenza wao, huamua kuasi. Huondoka. Huutafuta uhuru wao uliopotea, na huaga! Hilo ndilo lililokupata mleta mada. Kifupi, kwa hulka na silika zao, si rahisi kurudiana. Tafuta mwingine.

Naona kama vile umepatia sana. natamani kujua zaidi kuhusu unachosema. ni mtu wa dizaini hii. hata kwa watu wake wengine wa karibu.
 
Mume ameniacha, kaenda kupanga nyumba sehemu nyingine, ananiambia tuachane sababu hatufanani.

Mbaya ananitumia meseji kila siku usiku akiniambia jinsi gani ananimiss na kuwa ni jinsi gani moyo wake unamuuma kwa kuniacha ila inambidi aniache tu.

simjibu. Anaamini baada ya muda haya maumivu yatatuisha na tutaanza upya.

Ananiombea nipate mume mwingine and it is a strong christian marriage.

Nimeumia sana ila sasa naona moyo umeanza kuchukulia kwamba ndiyo hali halisi, ila nimefedheheka sana kujua I married a person mwenye akili za aina yake.

Nilikuwa naamini ana akili njema sana.

Sijui nani kamloga baba mtoto.

si rahisi mwanaume hasa wa kikristo kuhama nyumba yake , anaweza hama chumba na siyo nyumba, lazima kuna kauli mbovu kupitiliza imepita hapo, labda baada ya kupanda ngazi kazini umeona hana tena thamani , au unasingizia vikao visivyo isha hadi usiku mnene. chukua kioo jiangalie kwanza, halafu chukua hatua ya kumaliza tatizo hili.
funga siku tano, mwombe Mola akurejeshee mume wako tena mapema zaidi , chini ya hapo jina litabadilika na kuitwa manungayembe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kwa kweli zombie ana hasara, siwezi ng'ang'aniza ndoa kabisa. SIjui kwenda kwa mchungaji au baraza la usuluhishi? Ataenda yeye not me.

Akihama tu, nabadili na vitasa, mlinzi na mbwa wapya!

Nenda kwa paroko au mchungaji aliewafungisha ndoa,aitwe,aulizwe,wape taarifa wasimamizi wa ndoa na wazazi,kama atagoma kuwaskiliza,dai talaka yako,iwemahakamani au vyovyote,mkishaachana piga moyo konde anza maisha upya,ili yakimshinda huko,au akiokota magonjwa kwaoooooo na sio kwako,asipokupa talaka akiokota ukimwi wake atarudi kwa mke wake ili umuuguze,kataa hyo kitu mapema,c kakuona hufai atakukumbuka!
 
Wanawake zamani walivumilia, kwa nini? hakuwa na nguvu kiuchumi, kielimu, kimaamuzi, ki uthubutu.


Lakini, ndoa za zamani zilikuwa na furaha(ridhiko) kuliko za sasa? Linahitaji utafiti zaidi.

Ndoa za siku izi zina kazi sana ..... mbona zamani akukua ivi? Ni kwamba watu wanaoana bila kuchunguzana au imetokea baati mbaya au wamelazimishana au nn chanzo?

Tulia dada maisha yanaendelea. Songa mbele usiwaze tena ndoa. Kama una watoto endelea kuwalea mbeleni kitaeleweka.

Usijaribu kutafuta suluisho la kurudiana mana atakusumbua sana.
 
Mume ameniacha, kaenda kupanga nyumba sehemu nyingine, ananiambia tuachane sababu hatufanani.

Mbaya ananitumia meseji kila siku usiku akiniambia jinsi gani ananimiss na kuwa ni jinsi gani moyo wake unamuuma kwa kuniacha ila inambidi aniache tu.

simjibu. Anaamini baada ya muda haya maumivu yatatuisha na tutaanza upya.

Ananiombea nipate mume mwingine and it is a strong christian marriage.

Nimeumia sana ila sasa naona moyo umeanza kuchukulia kwamba ndiyo hali halisi, ila nimefedheheka sana kujua I married a person mwenye akili za aina yake.

Nilikuwa naamini ana akili njema sana.

Sijui nani kamloga baba mtoto.

Huyo mmeo mlikuwa mnaishi pamoja au mlifunga ndoa?
 
Linaweza kuwa ni suala la muda tu. Muda ni mwalimu mzuri sana. Jipe muda wa kutosha kutafakari yaliyotokea. Naamini hata yete atakuwa anafanya hivyo. Je umewasiliana na ndugu zake au mshenga? Wana maoni gani?
 
Hii haijakaa sawa,kuna kitu nyuma ya mlango,hebu kitoe,always najua watu mkiwa mnakosana lazima mnaambiana ukweli hata kwa kashifa na mateke lakini ujumbe unafika..

Doesnt make a sense mtu aamke na kuondoka tu,et.....sema ukweli kabla sijapoteza pole yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom