Ameondoka nyumbani

Ameondoka nyumbani

Lazma kuna kiboko haramu kimemteka mmeo
siku pakimchachia huko atarudi tu, pole...
 
Joda hakuna cha mchawi hapa wala nini, ni mawazo yako tu. Ameumia sana, ameteseka sana, amefadhaika sana kwa tabia ambayo wewe umekuwa ukiionyesha bila wewe mwenyewe kujua. Mfariji, mwambie afunguke aongee, wakati wote mwambie akuambie umekosea nini ili ujirekebishe, na vile vile mwambie kuwa bado unampenda, na unamsamehe kwa lolote lile alilofanya, mpe moyo wa matumaini ili asijinyonge na tai. Kumbuka ni wewe tu unayeweza kumsaidia mtu huyu kwa sababu wanaume wengi hawaongei sana mambo yao ya ndani kama mlivyo nyinyi wanawake, ona umelirusha hapa JF ili upate ahueni

Hivi jamani ss wanawake tunavumilia mangapi mnayotenda nyie wanaume? Au na sie tukiwachoka tukimbie nyumba? Mi nafikiria maisha ni kuvumiliana pande zote mbili kukiwa na tatizo linaongelewa na kisha linasolvia but arghhhh!! Mara nyingi lawama tunatupiwa sie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom