Ameomba msamaha

Ameomba msamaha

Wakuu mmepigaje hapo Leo...
Huku mambo ni takeu style tu.....

Mnakumbuka kuna kisa nilileta humu cha Binti mdogo ake na wife aliyekuja kwangu kujiendeleza ufundi na kutafuta maisha, nikamtimizia kila kitu baada ya miezi miwili kaanza visa eti anataka kurudi kwao akawa ana force nimpe nauli baada ya kumwambia asubiri mara bwana ake akanipigia cm akanitukana nk.

Niliamua kumpa vocha apige simu popote anapodha nia atapata nauli kwa wakati anaoutaka kweli alipga kwao wakamwambia hawana hela ye asubiri atapewa huku.

Niliamua kumnyamazia kbs nikampotezea sjui kama yupo au hayupo nikawaacha na dada ake so mi kuongea naye ikawa na salamu tu then kimya Sina habari kabisa.

Sasa Leo asubuhi nimetoka kwenda kazini akaniomba tuzungumze nikamsikiliza akaomba msamaha sn mpk analia kwamba nimsamehe kwa yote hatorudia tena.

Mimi nikamwambia staki msamaha wake ye abaki na msimamo wake asubiri hao watakaomtumia nauli hata kama ni baada ya miaka huko mi sjui ukizngatia ufundi aliacha mwenyewe akaamua kukaa home eti anataka nauli arudi kwao.

Nilipoendelea msikiliza nikamuonea huruma maana alisema ye anaomba aendelee na ufundi nikamjibu ngoja nifikirie takujibu siku nyingine.

Sasa wakuu mi huyu nataka nimtafune kabisa maana inaonekana bwana ake ndiye alikuwa anAmpotezea dira na pia upwiru ndo unamsumbua nataka nimrudishe kwenye ufundi lakini pia nianze kumtoa upwiru vilivyo Ili asije leta za kuleta Tena.

Je takuwa nakosea au?
Brother vuta picha unaanza kumla halafu mwisho wa siku dadaake anakuja kuwafuma,halafu katika kujitetea dogo akadai ulikuwa unamsumbua tangu mda ndiosababu alikuwa anataka kuondoka. Tuachane na hayo,huyo ni mdogo wa mkeo,mchukulie kama ni mdogo wako kabisaaa yani,ni kweli unaweza kumpata ukimtaka ila inakuwa sio ubinadam kwanza unamsaliti mkeo,ndoa nyingine zishavunjika kwa style hii lakin pia hapo utakuwa hujamsaidia Yan utakuwa umechukua rushwa ya ngono,yani kumtumia kisa tu yupo kwako na ww ndio father house,kama kaka mkubwa hiyo akili yako iliyokomaa msaidie huyo dogo apate fani na yy ajipate,Mungu atakulipa mbele ya safari.
 
Niamini Mimi mkuu, katika vitu hujazawadiwa ni akili,

yaani wanawake walivyojaa huku duniani mpaka wa buku bee (maoni ya wadau), ukatembee na mdogo wa mkeo unayeishi naye hapo hapo kwenye chumba kimoja na sebule..??

Hata kama akili siyo ya kutosha basi jaribu kuwa na haya, ila wanawake tuna huruma hii andazi nayo inaitwa mahali mume..!!
Acha kufananisha andazi na vitu vya ajabu, lipe heshima yake.
 
Sasa wakuu mi huyu nataka nimtafune kabisa maana inaonekana bwana ake ndiye alikuwa anAmpotezea dira na pia upwiru ndo unamsumbua nataka nimrudishe kwenye ufundi lakini pia nianze kumtoa upwiru vilivyo Ili asije leta za kuleta Tena.

Je takuwa nakosea au?

Naonza nzi anataka kufia kwenye kidonda...

Ongeza viungo na sukari, chai haijanoga vizuri...
 
Niamini Mimi mkuu, katika vitu hujazawadiwa ni akili,

yaani wanawake walivyojaa huku duniani mpaka wa buku bee (maoni ya wadau), ukatembee na mdogo wa mkeo unayeishi naye hapo hapo kwenye chumba kimoja na sebule..??

Hata kama akili siyo ya kutosha basi jaribu kuwa na haya, ila wanawake tuna huruma hii andazi nayo inaitwa mahali mume..!!
Daah! Kijana mwenzetu anatuabisha.
 
Wakuu mmepigaje hapo Leo...
Huku mambo ni takeu style tu.....

Mnakumbuka kuna kisa nilileta humu cha Binti mdogo ake na wife aliyekuja kwangu kujiendeleza ufundi na kutafuta maisha, nikamtimizia kila kitu baada ya miezi miwili kaanza visa eti anataka kurudi kwao akawa ana force nimpe nauli baada ya kumwambia asubiri mara bwana ake akanipigia cm akanitukana nk.

Niliamua kumpa vocha apige simu popote anapodha nia atapata nauli kwa wakati anaoutaka kweli alipga kwao wakamwambia hawana hela ye asubiri atapewa huku.

Niliamua kumnyamazia kbs nikampotezea sjui kama yupo au hayupo nikawaacha na dada ake so mi kuongea naye ikawa na salamu tu then kimya Sina habari kabisa.

Sasa Leo asubuhi nimetoka kwenda kazini akaniomba tuzungumze nikamsikiliza akaomba msamaha sn mpk analia kwamba nimsamehe kwa yote hatorudia tena.

Mimi nikamwambia staki msamaha wake ye abaki na msimamo wake asubiri hao watakaomtumia nauli hata kama ni baada ya miaka huko mi sjui ukizngatia ufundi aliacha mwenyewe akaamua kukaa home eti anataka nauli arudi kwao.

Nilipoendelea msikiliza nikamuonea huruma maana alisema ye anaomba aendelee na ufundi nikamjibu ngoja nifikirie takujibu siku nyingine.

Sasa wakuu mi huyu nataka nimtafune kabisa maana inaonekana bwana ake ndiye alikuwa anAmpotezea dira na pia upwiru ndo unamsumbua nataka nimrudishe kwenye ufundi lakini pia nianze kumtoa upwiru vilivyo Ili asije leta za kuleta Tena.

Je takuwa nakosea au?
UTAKOSEA SANA SANA..
Mtafutie nauli asepe. Msumbufu huyo. Atavunja ndoa yako. UTAJUTA...
 
Wakuu mmepigaje hapo Leo...
Huku mambo ni takeu style tu.....

Mnakumbuka kuna kisa nilileta humu cha Binti mdogo ake na wife aliyekuja kwangu kujiendeleza ufundi na kutafuta maisha, nikamtimizia kila kitu baada ya miezi miwili kaanza visa eti anataka kurudi kwao akawa ana force nimpe nauli baada ya kumwambia asubiri mara bwana ake akanipigia cm akanitukana nk.

Niliamua kumpa vocha apige simu popote anapodha nia atapata nauli kwa wakati anaoutaka kweli alipga kwao wakamwambia hawana hela ye asubiri atapewa huku.

Niliamua kumnyamazia kbs nikampotezea sjui kama yupo au hayupo nikawaacha na dada ake so mi kuongea naye ikawa na salamu tu then kimya Sina habari kabisa.

Sasa Leo asubuhi nimetoka kwenda kazini akaniomba tuzungumze nikamsikiliza akaomba msamaha sn mpk analia kwamba nimsamehe kwa yote hatorudia tena.

Mimi nikamwambia staki msamaha wake ye abaki na msimamo wake asubiri hao watakaomtumia nauli hata kama ni baada ya miaka huko mi sjui ukizngatia ufundi aliacha mwenyewe akaamua kukaa home eti anataka nauli arudi kwao.

Nilipoendelea msikiliza nikamuonea huruma maana alisema ye anaomba aendelee na ufundi nikamjibu ngoja nifikirie takujibu siku nyingine.

Sasa wakuu mi huyu nataka nimtafune kabisa maana inaonekana bwana ake ndiye alikuwa anAmpotezea dira na pia upwiru ndo unamsumbua nataka nimrudishe kwenye ufundi lakini pia nianze kumtoa upwiru vilivyo Ili asije leta za kuleta Tena.

Je takuwa nakosea au?
hebu soma ulichoandika mwanzo mpaka mwisho ujitafakari
 
Niamini Mimi mkuu, katika vitu hujazawadiwa ni akili,

yaani wanawake walivyojaa huku duniani mpaka wa buku bee (maoni ya wadau), ukatembee na mdogo wa mkeo unayeishi naye hapo hapo kwenye chumba kimoja na sebule..??

Hata kama akili siyo ya kutosha basi jaribu kuwa na haya, ila wanawake tuna huruma hii andazi nayo inaitwa mahali mume..!!
 
akili zishahamia kichwa cha chiniii .... kwa nia hiyo ikashindwe kabsaaa
 
Yaani usidhubutu....huo msamaha ni maelekezo dada yake huo mtego kwako....kazi unayo..usije kujaribu kumtaka shem utajutra...msamehe atatulia tu bwana atapata hapa dar mbona wajuba wengi sanaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom