Amenisaliti, leo 'narevenge'

Amenisaliti, leo 'narevenge'

Mauvivu ya kichwa huanza pole pole lakini Maumivu zakizidi Muone Dr....akupe 4G
 
si laaana tu kwenda kwenye mitope kule vima yenyewe tu siku yakiwa magumu shughuli je hilo dyudyu mhmhmhmh mjiulumiege jaman
Hapana ni kazi na dawa baby,yaani kuna kilainishi kinaitwa KY,yaani hapo hata yakiwa magumu kama zege chuma kinapitiliza kama risasi ndi ndi ndi.
 
Kwahiyo unataka kumfir.a??
Ebu acha hizo bana...
Hapana ni mapenzi tuu tena ya dhati,yaani mpe mpenzio kitu roho yake inatamani,mapenzi sio kunyimana ni kupeana au wewe unatokea Chato nini? maana kule bila mieleka hujaona kisimani dadadekiiiiii marabuuk.maregeaaa.
 
Kwa hiyo na wewe ulikuwa unatamani hako kamchezo ukawa unaona noma kuomba? Kama hapana sikushauri hutopata faida yeyote zaidi ya hasara na madhara makubwa kisaikoloji na kiafya pia ni uchafu uliopitiliza. Chukulia kama hiyo ni neema ya kumjua mtu uliekuwa unamwamini kumbe yeye si mwaminifu na iwe funzo kwako katika maisha yako ya mbele kuwa usiamini sana mtu yeyote especially hawa dada zetu wajanja wanjanja sana.
Mkuu una akili nyingi sana km mm tu,good gooder goodest
 
Msamehe mimi ni kaka yake nilikua nachat nae siku hiyo🙄😵
 
Halaf ww ukiomba mjengo unaambiwa, baby wewe ni mume wangu, sipendi na siwez kufanya hivyo
 
Habarini wapendwa,

Mwanamke wangu ninayempenda juzi aliniletea laptop yake nimrekebishie ilizima ghafla wakati anatumia.

Leo nimefanikiwa kuitengeneza katika kutumia nikaiingia kwenye acc ya Fb alikua hajalogout kipindi inazima, madudu niliyoyakuta huko kuna mwanaume ana maahusiano naye.

Tena inaonyesha hata kale kamchezo kabaya wanafanya kuna meseji yule mwanaume anaandika;

Jamaa: "kwanini siku ile uliamua tufanye vile"

Yeye: nilikuwa kwenye siku hatari

Jamaa: si tungetumia nd.mu

Yeye: nd.m sipendi inaniumiza

Ukicheki text hizo kuna kitu kisicho cha kawaida walifanya sasa leo nimeamua akija kuchukua laptop tutafanya hayo yote ndipo nimwache nilikuwa namweshimu kumbe wenzangu wanaenda extra mile.

Nimeandika kupunguza hasira, nitakieni kisasi chema.

UPDATE
Amefika home tayari mrejesho utakuja kuanzia sa3/4


Wewe Ni Muongo!
 
Mkuu jiuluze jambo hili,baada ya ww kumlipizia kisasi utakuwa umebadiri nn,
Na baada ya kufanya hivo nini kitabadirika ama kufuata baada ya hapo,la msingi mwoneshe hzo msg zake,na km unaweza msamehe na usimuuluze kitu,acha liwe donda moyoni mwake milele,au ukishindwa kuvumulia achana nae maana utaishi kwa maumivu sana,wake za watu wing sn wanazitumikisha hzo makitu nje,ndo maana kwa dunia hii its better to be alone and be happy than be wit some body an be happy,hongera wanawake mnaojitambua na mnaojua kumpa heshima mume ni amri ya MUNGU
 
Back
Top Bottom