Amenisaliti, leo 'narevenge'

Amenisaliti, leo 'narevenge'

Haya bwana jitaidi ufanye kisasi cha maana ili kesho ukimuona na huyo jamaa usiwe na wivu nae..
 
Mmhh huwachi enjoy movie Valentina. Hajui maana ya hasira hasara huyu, kishasema demu hapendi nd*mu halafu anataka akalipe kisasi kwa tundu ya huzuni. Mrejesho wake huyu unamuhitaji doctor hakuna namna kisamvu lazima kigande kwenye tundu ya dushe lake
Mwambie tu ahairishe hiyo mambo mwenzio
 
Habarini wapendwa,

Mwanamke wangu ninayempenda juzi aliniletea laptop yake nimrekebishie ilizima ghafla wakati anatumia.

Leo nimefanikiwa kuitengeneza katika kutumia nikaiingia kwenye acc ya Fb alikua hajalogout kipindi inazima, madudu niliyoyakuta huko kuna mwanaume ana maahusiano naye.

Tena inaonyesha hata kale kamchezo kabaya wanafanya kuna meseji yule mwanaume anaandika;

Jamaa: "kwanini siku ile uliamua tufanye vile"

Yeye: nilikuwa kwenye siku hatari

Jamaa: si tungetumia nd.mu

Yeye: nd.m sipendi inaniumiza

Ukicheki text hizo kuna kitu kisicho cha kawaida walifanya sasa leo nimeamua akija kuchukua laptop tutafanya hayo yote ndipo nimwache nilikuwa namweshimu kumbe wenzangu wanaenda extra mile.

Nimeandika kupunguza hasira, nitakieni kisasi chema.


!
!
Mimi binafsi nangojea mrejesho kwa spidi ya mwendokasi
 
ANXIOUSLY WAITING FOR MREJESHOOO...

AU KAMA VIP MKUU NIPE LOCATION NIIBUKE KUPIGA CHAPO...UJUWE KUSIMULIWA HAINOGI KAMA KUONA LAIVUU...

AHAHAHAHAHA..DADA MUHESHIMIWA KUMBE HOVYOOOO...LEO ANALIWA KIBOGAAAAAA...AHAHAHAHAHA
mkuu usijal mrejesho unakuja..
 
Ngoja na mimi nikamchunguze wa kwangu kwa maana naweza kuta wagagagigikoko wameshafanya yao
 
kama unampenda kweli kabisaa!
akija utampa laptop yake unampotezea mazima!
sitaki kuamini kama unampenda unaweza kumfanya kitu cha kuzidi kumharibia maisha
hta kama anafanya mambo hayo...
ila wewe kama unampenda kwa dhati kabisaaa, huwezi kuthubutu!!!

usiseme unampenda
sema mwanammke nilie naye kwenye mahusiano kwa sasa!!!!
 
Habarini wapendwa,

Mwanamke wangu ninayempenda juzi aliniletea laptop yake nimrekebishie ilizima ghafla wakati anatumia.

Leo nimefanikiwa kuitengeneza katika kutumia nikaiingia kwenye acc ya Fb alikua hajalogout kipindi inazima, madudu niliyoyakuta huko kuna mwanaume ana maahusiano naye.

Tena inaonyesha hata kale kamchezo kabaya wanafanya kuna meseji yule mwanaume anaandika;

Jamaa: "kwanini siku ile uliamua tufanye vile"

Yeye: nilikuwa kwenye siku hatari

Jamaa: si tungetumia nd.mu

Yeye: nd.m sipendi inaniumiza

Ukicheki text hizo kuna kitu kisicho cha kawaida walifanya sasa leo nimeamua akija kuchukua laptop tutafanya hayo yote ndipo nimwache nilikuwa namweshimu kumbe wenzangu wanaenda extra mile.

Nimeandika kupunguza hasira, nitakieni kisasi chema.
Kwa hiyo unataka kulima tigo mpaka usikie mvua na ngurumo au vipi? basi usisahau mwamvuli.
 
0713..., kuruka ukuta, kula jicho, Mombasa route, kula kisamvu, kufukua mbolea,....... Imepewa majina mengi. Sipendi kabisa huo mchezo, nafikiri ndani ya shuka/chumba harufu yake itakuwa ni kama ofisi kuu,tena cha shimo. Sehemu za hisia kwa mwanamke viko kwenye uke,tena nje nje, kwenye utumbo mpana wanafurahia ni ni?
 
kama unampenda kweli kabisaa!
akija utampa laptop yake unampotezea mazima!
sitaki kuamini kama unampenda unaweza kumfanya kitu cha kuzidi kumharibia maisha
hta kama anafanya mambo hayo...
ila wewe kama unampenda kwa dhati kabisaaa, huwezi kuthubutu!!!

usiseme unampenda
sema mwanammke nilie naye kwenye mahusiano kwa sasa!!!!
Hapana hiyo pachanga haiwezi kumharibia bibie maisha bhana,ila itamrudishia jamaa mapenzi mazito kabisa,huyo jamaa anasema anaenda kupakua kisamvu halafu anamfukuza mazima, kumbe hajui akila kisamvu cha karanga baaasi atanaswa jumla na hata demu akiliwa kisamvu na wahuni mbele yake ,yeye atona taamu tu .
 
Hapana hiyo pachanga haiwezi kumharibia bibie maisha bhana,ila itamrudishia jamaa mapenzi mazito kabisa,huyo jamaa anasema anaenda kupakua kisamvu halafu anamfukuza mazima, kumbe hajui akila kisamvu cha karanga baaasi atanaswa jumla na hata demu akiliwa kisamvu na wahuni mbele yake ,yeye atona taamu tu .
Mwenyezi Mungu awasimamie katika mwezi Mtukufu wa Ramadhan
 
Back
Top Bottom