Amenisaliti, leo 'narevenge'

Amenisaliti, leo 'narevenge'

AMEEEEEEEEEEN,lakini siri ya mtungi aijua kata au vipi? kwani shemeji yetu hujawahi kumzawadia pete?
sijawahi/ sifanyaji vitu vya kijinga
siwezi kuimbia backstage wakati mimi ni msanii mkubwa!!!!
 
utakausha mazao huko kwenu kwa upuuzi wa mwingine mxiuuuuuu si umuache tu kuliko kukupa dhambi
 
sijawahi/ sifanyaji vitu vya kijinga
siwezi kuimbia backstage wakati mimi ni msanii mkubwa!!!!
Nani kakwambia ni vitu vya kijinga?, basi ujue ili uwe msanii muimbaji mkubwa lazima ujue KUPIGA ZUMARI ili utoe sauti ya MIRINDIMO ambayo hutolewa na chura katika bwawa la matope,baasi hapo utatunukiwa OSCAR.
 
Nani kakwambia ni vitu vya kijinga?, basi ujue ili uwe msanii muimbaji mkubwa lazima ujue KUPIGA ZUMARI ili utoe sauti ya MIRINDIMO ambayo hutolewa na chura katika bwawa la matope,baasi hapo utatunukiwa OSCAR.
si una mpenzi?
 
Duuuh Amaizing? au mungine? sasa unataka kusikia mrejesho jinsi tractor lilivyotifua matope?
Aje alete mrejesho wa hicho anachotaka kufanya

Kwa busara ya kawaida ilibidi aachane na huyo binti ,ila kwa kuwa ameshafanya uamuzi anaoona ni sahihi, basi tumuache afanye kile rohi inataka
 
0713..., kuruka ukuta, kula jicho, Mombasa route, kula kisamvu, kufukua mbolea,....... Imepewa majina mengi. Sipendi kabisa huo mchezo, nafikiri ndani ya shuka/chumba harufu yake itakuwa ni kama ofisi kuu,tena cha shimo. Sehemu za hisia kwa mwanamke viko kwenye uke,tena nje nje, kwenye utumbo mpana wanafurahia ni ni?
Sasa utajuaje kama hutaki kujaribu? pale ni BARMUDA TRIANGLE au vipi? jaribu kama hujanasa baby?
 
Habarini wapendwa,

Mwanamke wangu ninayempenda juzi aliniletea laptop yake nimrekebishie ilizima ghafla wakati anatumia.

Leo nimefanikiwa kuitengeneza katika kutumia nikaiingia kwenye acc ya Fb alikua hajalogout kipindi inazima, madudu niliyoyakuta huko kuna mwanaume ana maahusiano naye.

Tena inaonyesha hata kale kamchezo kabaya wanafanya kuna meseji yule mwanaume anaandika;

Jamaa: "kwanini siku ile uliamua tufanye vile"

Yeye: nilikuwa kwenye siku hatari

Jamaa: si tungetumia nd.mu

Yeye: nd.m sipendi inaniumiza

Ukicheki text hizo kuna kitu kisicho cha kawaida walifanya sasa leo nimeamua akija kuchukua laptop tutafanya hayo yote ndipo nimwache nilikuwa namweshimu kumbe wenzangu wanaenda extra mile.

Nimeandika kupunguza hasira, nitakieni kisasi chema.

Usipite nyuma ya mlango lkn
 
Aje alete mrejesho wa hicho anachotaka kufanya

Kwa busara ya kawaida ilibidi aachane na huyo binti ,ila kwa kuwa ameshafanya uamuzi anaoona ni sahihi, basi tumuache afanye kile rohi inataka
Tatizo atanasa jumla na hatomuwacha huyo mamii coz akiingia tu mle ndani atakuwa kaunaganika nae kama gari la tela.
 
Hahahhaha nimekumbuka clip moja ya kibongo ya porn kwenye web moja jamaaa anamsifia demu kuwa wingi wa shanga ndio ukubwa wa shughuli nilicheka sana. Sasa ata ukute wife wako alikuwa ni victim.
 
Back
Top Bottom