Amenisaliti, leo 'narevenge'

Amenisaliti, leo 'narevenge'

Kwa hiyo na wewe ulikuwa unatamani hako kamchezo ukawa unaona noma kuomba? Kama hapana sikushauri hutopata faida yeyote zaidi ya hasara na madhara makubwa kisaikoloji na kiafya pia ni uchafu uliopitiliza. Chukulia kama hiyo ni neema ya kumjua mtu uliekuwa unamwamini kumbe yeye si mwaminifu na iwe funzo kwako katika maisha yako ya mbele kuwa usiamini sana mtu yeyote especially hawa dada zetu wajanja wanjanja sana.
 
Dah.., kwel una hasira!! Huu uzi usingeuleta mchana huu asee
 
Pole sana mkuu! Hakuna haja tena ya kumheshimu demu yoyote ukipata piga unavyotaka!!
 
Kwa hiyo na wewe ulikuwa unatamani hako kamchezo ukawa unaona noma kuomba? Kama hapana sikushauri hutopata faida yeyote zaidi ya hasara na madhara makubwa kisaikoloji na kiafya pia ni uchafu uliopitiliza. Chukulia kama hiyo ni neema ya kumjua mtu uliekuwa unamwamini kumbe yeye si mwaminifu na iwe funzo kwako katika maisha yako ya mbele kuwa usiamini sana mtu yeyote especially hawa dada zetu wajanja wanjanja sana.
mkuu nilikuwa namweshimu hata maiki tu hajawahi shika kumbe kuna watu wanasodomize.
 
Unaweza jiona unapanda kumbe unavunwa.

Badala ya kumkomoa kumbe ndio una mpa raha utasikia " nataka tena"
 
Ngoja niji subscribe ili niupate mrejesho nyuma
 
mkuu nilikuwa namweshimu hata maiki tu hajawahi shika kumbe kuna watu wanasodomize.
Ni kweli mkuu ila isiwe sababu ya wewe kujiingiza kwenye hako kamchezo kachafu maana wanasema ukigusa tu unanata huko huko na kuacha itakuwa shida hivyo utaweza jikuta unakuja kumwaribu wife kwa ajili ya mambo ya ajabu.Halafu huyo umegundua alimegwa bila hata ndom huogopi mkuu huyu ni wakumtema kabisa kina dada wanaojiheshimu wako wengi mno.
 
Back
Top Bottom