ukitongoza mtu convo inaletwa groupYaani mi nakushangaa...amekupeleka kisimani unashindwa kunywa maji? Mi nifowardie namba za hao wenzake at least 10, wazuri wazuri nikuoneshe kazi...UKIONA nyoya tu, jua kaliwa we hesabu tu
Nipe namba zao mimi 0652395624HSasa nikianza kuwatongoza si ndiyo watanza kunisema ,,kama ni namba zao njoo inbox takupa zote ila uwe makini na wew wasikuaadd ,
0
Yaani mi nakushangaa...amekupeleka kisimani unashindwa kunywa maji? Mi nifowardie namba za hao wenzake at least 10, wazuri wazuri nikuoneshe kazi...UKIONA nyoya tu, jua kaliwa we hesabu tu
Fursa hiyo mjomba,we ukoje??Habari zenu wana jf
Nilikuwa na mahusiano na mdada mmoja nikaamua kumpiga kibuti,baada ya kumpiga kibuti nimeshangaa kukuta ameniadd kwenye group la wanawake wenzake waliyosomaga
Pamoja shule ya wadada watupu
Nikijitoa ananiadd tena nikimwandikia text ya kumwambia anitoe hajibu ,,,,
Sasa mimi napokea sms za wanawake tu whatsapp yani sipend sipend
Niilikuwa naomba msaada wa anayejua kujitoa kabisa whatsapp kwenye ligroup lao la wanawake au mnifanyeje huyu mdada? Maana nimechoka kupata matext ya kijinga na umbeya tuu
HahajahUache mambo ya kimama kwanza ndio maana Ana kuweka hapo ujifunze, lol
Hahajah
Jamaa hakumwelewa ex wake
Loh
Ex mbayaaaa
Ha ha ha umenichekesha asee! Ila kama wamempania hatoweza hata akiwablock maadmin cz wale maadmin wataongeza maadmin halafu hao wapya watamu add tena. Kwa hyo watakuwa wanapokezana hvohvo. Atubu tu makosa yake au awatishie atawaroga.Block no za ma-admin kwanza then exit.
Hawataweza kuku-add tena.
Nb: unatuaibisha wanaume wenzio kwa ushamba wa kushindwa kutumia simu.
Ha ha ha ha!Nyuma ya Pazia, Kuna dirisha..
mnamambo sana!m naona aliona jogoo wako hawiki ndo maana kakuweka kweny group la wadada wenzake kwa kujua huna madhara yoyote
Wakiongezeka anaendelea kuwablock tuu, wala haihitaji kugive up.Ha ha ha umenichekesha asee! Ila kama wamempania hatoweza hata akiwablock maadmin cz wale maadmin wataongeza maadmin halafu hao wapya watamu add tena. Kwa hyo watakuwa wanapokezana hvohvo. Atubu tu makosa yake au awatishie atawaroga.
Hahahah group la bedroom lipo...ila limebadili jina bana....Na ndio dawa ya wanaume wamama. Akamuunge na like group la bedroom fb, sijui bado wapo? Wanafundishana kuuunga naniliu
Hahahah group la bedroom lipo...ila limebadili jina bana....
cha maana wapige threesomeHabari zenu wana jf
Nilikuwa na mahusiano na mdada mmoja nikaamua kumpiga kibuti,baada ya kumpiga kibuti nimeshangaa kukuta ameniadd kwenye group la wanawake wenzake waliyosomaga
Pamoja shule ya wadada watupu
Nikijitoa ananiadd tena nikimwandikia text ya kumwambia anitoe hajibu ,,,,
Sasa mimi napokea sms za wanawake tu whatsapp yani sipend sipend
Niilikuwa naomba msaada wa anayejua kujitoa kabisa whatsapp kwenye ligroup lao la wanawake au mnifanyeje huyu mdada? Maana nimechoka kupata matext ya kijinga na umbeya tuu