nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 6,474
- 8,139
Umemaliza mkuu. Sitii neno hapaHawa viumbe huwa ni wa ajabu sana , wanalazimisha kuwa cared wakati wao wengi wao hawajui ku care...ndio maana warembo wa Tanga wao mara nyingi wapo sokoni....
Umemaliza mkuu. Sitii neno hapaHawa viumbe huwa ni wa ajabu sana , wanalazimisha kuwa cared wakati wao wengi wao hawajui ku care...ndio maana warembo wa Tanga wao mara nyingi wapo sokoni....
Mimi namcare mwanamke mwenye msimamo na anayenishauri namna ya kuzitatua changamoto zilizopo sasa ili zisijitokeze miaka mitano ijayo.Care inategemea mtu na mtu. Care ninayoitaka mimi haiwezi kufanana na hiyo anayoitaka huyo wako. Ukimpenda mtu utamjali kama anavyopenda. Na yeye pia akujali kama unavyopenda.
.
.
Pesa pia ni moja ya caring lakini iangalie kipato. MAPENZI NI PESA (huu ni ukweli lakini ni mchungu mno kwa baadhi ya watu). Toa bila shurti usipende kuombwaombwa kila siku.
.
.
NO ROMANCE WITHOUT FINANCE
.
.
Na kama mpenzi wako kazidi kuomba hata bila sababu ya msingi basi muweke chini mueleze wazi kuwa huwezi kumpa hela hovyo hovyo bali kwa utaratibu unaoeleweka. Kama anakupenda atakuelewa, asipokuelewa basi ndio ujue yupo after money piga chini kabla hajakupiga chini.
Sawa mkuu. Naheshimu mtazamo wako!Mimi namcare mwanamke mwenye msimamo na anayenishauri namna ya kuzitatua changamoto zilizopo sasa ili zisijitokeze miaka mitano ijayo.
Simpendi mwanamke mwenye kuiga mwenendo wa kidunia
Kuhusu pesa, ni bora kila mtu akatafuta zake.
Mnaodhani mapenzi ni pesa, ndio mnaoishia kuchapwa na kuachwa
Care is everything kwenye mahusiano bro. Ila inagusa pande zote.Umofia kwenu wana jukwaa!
Wadada badilikeni na jifunzeni kujua hakuna mwanaume aliyekamilika, msijifanye too complex kuliko uhalisia, acheni kuiga uzungu. Kuna binti nikiwa form six yeye alikuwa five shule moja huko Kilimanjaro. Tukiwa kule shule sikuwahi kuongea naye labda salamu kwa nadra, nilipomaliza zangu chuo huko Moro nikarudi zangu mjini wakati huo yeye akiwa DUCE basi tukaingia kwenye mahusiano.
Kiufupi tulikuwa kwenye hali ya juu sana ya mapenzi nilimpenda sana yule binti na mwenyewe niliona napendwa. Bahati mbaya naona alizidisha hulka ya uzungu kwenye kitu kinaitwa CARE. Alitaka kila wakati niwe nafanya mambo ambayo mwenyewe yangempa uhakika kwamba nacare. Sijui yeye alidefine vipi neno kucare maana nilifanya mengi ila hakuridhika. Basi hatimaye tuliachana anatafuta mtu anayejua kucare.
Lakini si mimi tu yuko rafiki yangu wa karibu jamaa wa Kilimanjaro huko naye alikuwa na demu wake hapa mjini , basi demu kila wakati anataka apigiwe simu, akiomba hela apewe immediately, akisema anaumwa anataka jamaa afike haraka iwezekanavyo, kwakweli rafiki yangu huyu naye yalimshinda wakatemana na binti bado anatafuta mwanaume anayejua ku care.
Humu JF kuna nyuzi kibao zinazoanzishwa na wadada au wake za watu kuelezwa jinsi ambavyo wameolewa na wanaishi vizuri, mara wana nyumba na kila moja ana gari ila kavutiwa na jamaa fulani anayejua kucare. Yaani unakaa unasoma maelezo ya mtu unashindwa kujua huyu mwanamke ni kahaba au anatafuta kitu kwa mume wake.
Hivi shida ni nini nyie dada zetu mnataka tuwafanyie nini mridhike?
JE MAMA ZENU WALIKUWA NA HAYA KWELI AU MALEZI NDIYO HAMKUPEWA VIZURI AU NDIYO KUSOMA HUKO?
AU NISAIDIENI WADADA ZANGU, NINI MAANA YA KU-CARE?
Hahaha,Duuh! Sasa huyo mmama uvivu huo sasa! Hadi anawekewa neti! Bado kutandikiwa shuka![emoji134]Mia baba yangu anamcare sana mama... Akipiga chafya tu anaulizwa anataka nini!!! Mzee harudi nyumbani bila zawadi ata siku moja... Atanunua ata Fursana au pipi... Mama hajawai weka neti, akipata usingizi anajibwaga tu kitandani, baba atakuja weka neti... Yaani mwanamke kama huyu unadhani mbaba gani anaweza mdanganya? Analelewa kama mtoto na mumewe.
Mkuu ukihangaika kumridhisha mwanMke kwa gharama hizi ujue kuna mtu anaumia wew au wazaz wako! Tafuta mwanamke mwenye akili ya maisha na upendo wa dhat mimi zaman nimegharamia sana lakin huwez amin niliishia kuwaridhisha wao wengewe! Now nimekuwa mchumi kwel kwel niko radhi nikae mwaka mzm bila ya kula papuchi ila nijikijikamue kwenda uchumi wa kati otherwise wataishia kukucheka uzeeni ni bora niwe na roho mbaya! TuUmofia kwenu wana jukwaa!
Wadada badilikeni na jifunzeni kujua hakuna mwanaume aliyekamilika, msijifanye too complex kuliko uhalisia, acheni kuiga uzungu. Kuna binti nikiwa form six yeye alikuwa five shule moja huko Kilimanjaro. Tukiwa kule shule sikuwahi kuongea naye labda salamu kwa nadra, nilipomaliza zangu chuo huko Moro nikarudi zangu mjini wakati huo yeye akiwa DUCE basi tukaingia kwenye mahusiano.
Kiufupi tulikuwa kwenye hali ya juu sana ya mapenzi nilimpenda sana yule binti na mwenyewe niliona napendwa. Bahati mbaya naona alizidisha hulka ya uzungu kwenye kitu kinaitwa CARE. Alitaka kila wakati niwe nafanya mambo ambayo mwenyewe yangempa uhakika kwamba nacare. Sijui yeye alidefine vipi neno kucare maana nilifanya mengi ila hakuridhika. Basi hatimaye tuliachana anatafuta mtu anayejua kucare.
Lakini si mimi tu yuko rafiki yangu wa karibu jamaa wa Kilimanjaro huko naye alikuwa na demu wake hapa mjini , basi demu kila wakati anataka apigiwe simu, akiomba hela apewe immediately, akisema anaumwa anataka jamaa afike haraka iwezekanavyo, kwakweli rafiki yangu huyu naye yalimshinda wakatemana na binti bado anatafuta mwanaume anayejua ku care.
Humu JF kuna nyuzi kibao zinazoanzishwa na wadada au wake za watu kuelezwa jinsi ambavyo wameolewa na wanaishi vizuri, mara wana nyumba na kila moja ana gari ila kavutiwa na jamaa fulani anayejua kucare. Yaani unakaa unasoma maelezo ya mtu unashindwa kujua huyu mwanamke ni kahaba au anatafuta kitu kwa mume wake.
Hivi shida ni nini nyie dada zetu mnataka tuwafanyie nini mridhike?
JE MAMA ZENU WALIKUWA NA HAYA KWELI AU MALEZI NDIYO HAMKUPEWA VIZURI AU NDIYO KUSOMA HUKO?
AU NISAIDIENI WADADA ZANGU, NINI MAANA YA KU-CARE?
Sio uvivu... Ndo kashazoeshwa hivo... Mahaba hayooo...Hahaha,Duuh! Sasa huyo mmama uvivu huo sasa! Hadi anawekewa neti! Bado kutandikiwa shuka![emoji134]
Duuuh! Bhas sawa.Sio uvivu... Ndo kashazoeshwa hivo... Mahaba hayooo...
Naona umetaja ya watu kwenye koment.....
Juzi ulosababishia watu ban