Ameniacha eti sijui ku-care

Ameniacha eti sijui ku-care

Kaka umemaliza! sitaki kuuliza tena swali lingine umemaliza mkuu. Kama ni mithani nahisi ungepata 100% japo nilikuwa sina majibu. HII NDIYO KU-CARE WANAYOTAKA KWELI. Aisee ngoja nianze kujenga ile nyumba yangu kwa 7M kama nilivyouliza jana , aksante kwa majibu mzuri
Hiyo 7M bora umpe mtoto mzuri...
 
Care wanayotaka ni mpe fedha hata kama hajakuomba, mpe fedha hata kama na yeye anapokea mshahara wewe mpe zako tuuu, mshahara wake ni wake lakini mshahara wako ni wenu,

Mnunulie simu kali, mnunulie vocha, mnunulie gari ya kutembelea, mnunulie kila aina ya nguo mpya itakayoingia sokoni, mnunulie viatu na mapambo mengine kama vile Vito vya dhahabu, mpigie simu kila Muda mnapokuwa hampo pamoja, kwenye whatsapp yako usichat na Wengine Ila chati na yeye tuu, mbusu na kumuhagi mbele za watu,

Kama una gari basi mfungulie mlango wakati wa kupanda gari na kushuka, mfunge mkanda wa siti, mwambie I love you kila Muda,

Kubwa zaidi mkaze kweli kweli mpaka akojoe mabao ya kutosha mpaka awe hooooiii bin taaban!!

Huku ndo kucare, je unao uwezo huo?? Kama huna jipange kwanza mdogo angu!!!
Umesema vyema
 
Hao wanawake ni washamba tu, Ku care sio kupigiwa simu Mara kwa Mara au kuchat chat hovyo au kuomba ela na kupewa No! Kwanza watu wa namna hiyo ni rahisi sana kugombana maana yaweza kua mnachat kila wakati within chatting mwenzio akakosa cha kuongea/kuandika akajikuta ameteleza na kukukwaza,
Kwangu Mimi Ku Care ni
*kubadili neno nakupenda kuwa matendo yaani anilinde aniheshimu na asiwe tayari kuniacha nikwazike (namaana akinikosea basi ajishushe badala ya Ku play ego)
*kunihamasisha kufikia malengo yangu, yaani MTU anaye ni inspire Mimi kufikia jambo au kitu Fulani hua namuhesabia kua ananijali sana(whether awe mpenzi au rafiki)
*mtu anayenihakikishia furaha na surprise za kumwaga hahaha huyu kwangu Mimi namuona ananijali, yaani akipita k/koo akiziona hereni nzuri au saa ananinunulia na kuniletea bila ya hata kumuomba na kama ni fedha kila mwanaume anajua mwanamke anaahitaji hivyo anipe pesa "mama chukua hii tufanye shopping yako ya vitu vidogo vidogo" . hiyo kwangu ndio Care ness
*mtu/Mwanaume anayelia na Mimi pale ninapolia ,huyu kwangu ni wa muhimu sana na ni uthibitisho wa kunijali sana sana sana
* mwanaume anayeniweka Mbele katika kila jambo lake na hata langu pia, sijisifu ila ukweli ikitokea tumekwenda kwenye mikusanyiko ya watu wengi iwe msiba au harusi , kwao au kwetu mume wangu kabla hajala yeye u hakikisha kwamba Mimi na watoto tumepata chakula, na baada ya hapo na yeye ndio huenda kula .Huko ndio Ku care kwangu Mimi
N.k n.k n.k
 
Too much caring ni ujinga lazima mpeane nafasi kupigiwa pigiwa simu kila wakati haimaanishi kua mwenzi wako anakupenda, mmetoka kuonana asubuhi unataka muda wa chai mchati, muda wa chakula cha mchana mchat muda wa kurudi nyumbani mchat sasa si upuuzi, huo!! Mimi nikitoka nyumbani ukiona nampigia simu mume wangu basi kuna maelekezo au kuna kitu namkumbusha otherwise tuonane jioni
Swadakta kabisa, na hii inasaidia sana kum-miss mke au mume wako.
 
fcd9d1d2c648c42f85fbb5e3c6285536.jpg


Usipoteze muda wako mkuu!
 
Ndo maana EX wangu wananiambiaga "I will never regret having you"
Asante Mungu kwa kunipatia moyo ya kujali wenzangu kama ninavyo jijali...

(Mpende jirani yako kama nafsi yako) - Hata hii inasaidia
 
Mm huwa nina rules zangu. Nita provide care kama mwanamke anaonyesha mapenz. Lakin kama una provide care wala yeye ashughuliki na ww... anataka ww ndio umtumikie. Tupa kuleeeeeeeee
 
Pole sana...

Mwanamke hana formula... just be yourself, live your life... usiumize sana kichwa... there is no straight formula za kumteka mwanamke...
Ingawa mimi na mahondaw wangu tunapendana sana.. lakini kuna muda anasemaga i don't care enough...

though i love her so much...

cc: mahondaw
 
Wanataka mapenzi ya kwenye Tamthilia za kifilipino!!!
 
KWA MAELEZO YA WADADA WENGI HUMU HASA LADY AJ BASI KU-CARE NI JAMBO LINALOWEZA KUFANYWA NA WATU WENYE WENYE SIFA KUU ZIFUATAZO HAPO
1. UWE NA KIPATO KIZURI
2. UWE NA ASILI YA WATU WA PWANI AU MIKOA ISIYO YA KANDA YA ZIWA
3. UWEKEZE MUDA NA AKILI ZAKO KWA HUYO MSICHANA WAKO
4. UWE BWEGE FULANI HIVI AMAZING
5. USIWE NA WAZAZI WALA NDUGU WENGINE ILI KUPATA MUDA WA KUTOSHA KUSHUGULIKA NA MAMBO YAKE


AKSANTENI WADADA NAWATAKIA KILA LA HERI KATIKA KUSAKA HAO WANAOJUA KUCARE NGOJA NITAFUTE MASHILINGI NA MADOLARI ZAIDI NIWEKEZE KWENYE MAOMBI NA MATOLEO
 
Caring bhn inapendeza kama huwez kucare utaachwa tu amna mwanamke asiependa caring upo apo mtucareee mpoje
 
Pole sana...

Mwanamke hana formula... just be yourself, live your life... usiumize sana kichwa... there is no straight formula za kumteka mwanamke...
Ingawa mimi na mahondaw wangu tunapendana sana.. lakini kuna muda anasemaga i don't care enough...

though i love her so much...

cc: mahondaw

I love you more Smart911 wangu

Thank you so much for the love care and happiness you are giving ka mahondaw Kako
God bless you Smart911 sweetheart


Bakinamimi
baby
 
Back
Top Bottom