Ameniacha eti sijui ku-care

Ameniacha eti sijui ku-care

Utafiti wako umeonyesha kuwa wanawake wanapenda caring. Ndivyo hivyo tulivyo ndugu na hatutabadilika labda iwe dunia nyingine. Ishi na wanawake kwa akili..ndo hivyo mlivyoambiwa!
.
.
.
Care, caring ndo tunachotaka. Hatuwezi kufanana na nyie. Pia mna mambo yenu yanakera kama nini lakini ndio hivyo mlivyo, mmeumbwa hivyo na hatuwezi kuwabadilisha!

Si useme kuwa-care ninyi ni kuwapa pesa tu, au demi
 
Na pia pesa sio caring pekee tunayopenda. Ukiwa mume halafu kazi yako ni kutoa pesa bado kutakuwa na malalamiko. Pesa iwepo na mengine pia ufanye. Na yeye afanye pia ya kukufurahisha sio umjali yeye tu.

Sasa madem wengi wanataka umjali yeye 2 demi
 
Hivi kwann huwa mnaangaika na wanawake? Achana na attachment na wanawake..ukimpata wewe piga tembea. Hao sio watu wema sana.
 
Mazee msijiumize kichwa kuhusu hawa jinsia -ke wanataka nn, nyie pigeni paipu mengine yatajiset
 
Mia baba yangu anamcare sana mama... Akipiga chafya tu anaulizwa anataka nini!!! Mzee harudi nyumbani bila zawadi ata siku moja... Atanunua ata Fursana au pipi... Mama hajawai weka neti, akipata usingizi anajibwaga tu kitandani, baba atakuja weka neti... Yaani mwanamke kama huyu unadhani mbaba gani anaweza mdanganya? Analelewa kama mtoto na mumewe.
 
Mia baba yangu anamcare sana mama... Akipiga chafya tu anaulizwa anataka nini!!! Mzee harudi nyumbani bila zawadi ata siku moja... Atanunua ata Fursana au pipi... Mama hajawai weka neti, akipata usingizi anajibwaga tu kitandani, baba atakuja weka neti... Yaani mwanamke kama huyu unadhani mbaba gani anaweza mdanganya? Analelewa kama mtoto na mumewe.
.. ngoja nilale bila net na mimi
 
Ah...jamani mm hp naona mnazunguka saaaaaana tatzo pesa bro mtoto wa kike akiomba pesa ukajibu huna tu bc hujui kucare kuna mijanaume mingi tu naifaham haijui kubembeleza mibabe mibabe tu ila inaonekana inajua kucare sababu shida ndogo ndogo hz vilaki tatu nne hazisumbui mwenzangu na mm mtoto wa pwani nkawa kubembeleza kwingi npo nae karibu akinihitaji cjawahi mgombeza kumtukana wala kumpiga vkazi vya nyumbani ndio usiseme alikuwa km jike la nyuki nlivyomtunza na twaarab nkawa namuimbia akitaka lala na bdo nkaonekana cjui kucare tatzo nn? sikuwa vzr financially!
 
Ku-care kuna mambo Mengi sana Mkuu ila inatakiwa ufikie hata nusu.
 
Wanataka pesa tu hakuna habari ya ku care hapo.
Ukiishiwa anatafuta mwingine wa kumucare,
Wanawake wengi wako ki duka duka tu hakuna upendo hapo.
 
Mia baba yangu anamcare sana mama... Akipiga chafya tu anaulizwa anataka nini!!! Mzee harudi nyumbani bila zawadi ata siku moja... Atanunua ata Fursana au pipi... Mama hajawai weka neti, akipata usingizi anajibwaga tu kitandani, baba atakuja weka neti... Yaani mwanamke kama huyu unadhani mbaba gani anaweza mdanganya? Analelewa kama mtoto na mumewe.

Mwanamke akiamua ku-cheat ata-cheat tu, kumdekeza mwanamke cyo guarantee ya kumfanya asipigwe p*mbu nje Paprika
 
Back
Top Bottom