Care wanayotaka ni mpe fedha hata kama hajakuomba, mpe fedha hata kama na yeye anapokea mshahara wewe mpe zako tuuu, mshahara wake ni wake lakini mshahara wako ni wenu,
Mnunulie simu kali, mnunulie vocha, mnunulie gari ya kutembelea, mnunulie kila aina ya nguo mpya itakayoingia sokoni, mnunulie viatu na mapambo mengine kama vile Vito vya dhahabu, mpigie simu kila Muda mnapokuwa hampo pamoja, kwenye whatsapp yako usichat na Wengine Ila chati na yeye tuu, mbusu na kumuhagi mbele za watu,
Kama una gari basi mfungulie mlango wakati wa kupanda gari na kushuka, mfunge mkanda wa siti, mwambie I love you kila Muda,
Kubwa zaidi mkaze kweli kweli mpaka akojoe mabao ya kutosha mpaka awe hooooiii bin taaban!!
Huku ndo kucare, je unao uwezo huo?? Kama huna jipange kwanza mdogo angu!!!