Amelipa mahari milioni 4!

Amelipa mahari milioni 4!

Kwa usawa huu hata milioni yenyewe haikuwa fear
 
Hivi wakuu inakuaje,mfano MTU kalipa mahari then mwanamke anakaa miez 7 anarud kwao na wazaz wake wanampokea na kumfungulia duka na mahari ilikua million mbili,,ni ushauri wa kitaalam ndo unatakiwa.
 
Hapo wanaume wanajisikiakamawananunua ng'ombe.

Halafu wanawake bado watadai usawa wa binadamu?
 
bed6c7a16111f5bcb908cf630e232196.jpg
 
Jamaa katoka nje analalamika
Sasa najua ulichokiongea n uwongo,
Na hujui taratibu za kulipa mahari iwaje
Alitajiwa mahar ml 5 akaomba akapunguziwa mpka mil 4 (hata kununua gar kunautaratibu wake mkuu)
Sina haja ya kuandika mengi tafuta mtu mzima akupe utaratib wa kulipa mahari mana haiwezekan atoke nje akilalamika wakat tayar alikuwa ashajua mahar kitambo na akakubali kuilipa na ndio mana alibeba cash yote hyo anacholalamika huy hayawani ni nini??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom