mshauri augen
New Member
- Aug 27, 2019
- 1
- 1
pole sana njoo nipo mm
Huo ni utaratibu wa kawaida kwa sisi wanaume. Kwa mtu muelewa hakupaswa kushangaa labda kama huyo jamaa alikuwa mtu wako wa kwanza kula ngozi.
Hawezi kuuliza. Angeuliza angekosa hayo marupurupu ya nonino aliyoyapata.
,pole huenda yuko busy kweli ila ukihisi anakupotezea ,huna budi kumove on pia ,utampata mwingineKama za huyo kwenye avatar yako??povu mbona linakutoka uo ndio ukwel nywere mnakaa nazo muda mrefu kwanini isinuke
hakuna nyingine, Ariana Grande
ila sidhani kama ya kwako iko ivyo
au naongopa ?Msikilizeni huyu!
Utajua mwenyeweau naongopa ?
weka japo kapicha basiUtajua mwenyewe
Marupurupu muhimu ili kupunguza hashiki za nyege. Ni kama vile mfanyakazi anayesubiri mshahara mwisho wa mwezi likitokea rupurupu hapa katikati analala nalo ili kupunguza stress za kifedha wakati akiendelea na kazi kwa ajili ya mshahara.Sasa kwanini ayapate kama hana mpango nayo?
Mimi ni binti nina miaka 24, nilikuwa na mahusiano ya kirafiki na kaka mmoja ambaye ni mfanyakazi wa benki moja hivi, baadaye tukawa wapenzi, akaniuliza kama nampenda kwa dhati au nina mtu mwingine, nilimjibu kuwa sina mtu mwingine zaidi yake.
Siku zikapita, kuna siku moja alinipigia simu majira ya saa moja usiku na kuomba nikaonane naye, sikuwa na wasiwasi nilifunga safari hadi nyumbani kwake.
Tuliendelea na mazungumzo ya kawaida ikafika sehemu akaniambia kuwa ana hamu ya kufanya mapenzi na mimi, kwa kuwa nilimpenda sikukataa, nikamkubalia tukaingia kwenye uwanja wa masumbwi.
Lakini tangu siku hiyo nilipompa penzi langu mara moja akawa haeleweki, kila nikimtafuta anasema yuko bize hata kama nikimwambia nina hamu ya kukutana naye faragha anasema kuwa nisubiri kwanza yeye yuko bize akipata nafasi atanitafuta.
Naombeni ushauri nifanyeje
🤣MasoziiiAjaona thamani yako
Jipange dia
😂😂😂 baharia kafanya yake! Sio kila siku mtupige dafrau tuHizi ndiyo nyuzi mnazotaka kuziona baadhi ya wanaume wa JF, za wanaume kupiga na kusepa basi ndiyo mnafurahi wenyewe ila nyuzi za wanawake kutapeli nauli za wanaume hamtaki kuziona na zinawatoa mapovu.
Hizi ndiyo nyuzi mnazotaka kuziona baadhi ya wanaume wa JF, za wanaume kupiga na kusepa basi ndiyo mnafurahi wenyewe ila nyuzi za wanawake kutapeli nauli za wanaume hamtaki kuziona na zinawatoa mapovu.