Amebadilika baada ya kumpa penzi

Amebadilika baada ya kumpa penzi

Mabaharia huwa tunasema hivi,Maisha sio Mama ako wala Baba ako ukikaa kizembe tu tunaruka na wewe.
 
Hamna mwanaume anaekataa papuchi tena na tena na tena... kuna shida mahali.
 
Pole sana. Umejichunguza vizuri?
Huenda una tatizo mahali hujaligundua.
Alivyokudhania kakuta sivyo.

Sio lazima yeye awe na tatizo, inawezekana jamaa kamuona fundi sana Agness kwa umri wake sasa ana mgwaya. Agness wewe endelea na mambo yako huyo bank teller achana nae wanakuwaga wachovu kwa kazi zao za kuhesabu hela za watu, kaogopa mizinga.
 
Sio lazima yeye awe na tatizo, inawezekana jamaa kamuona fundi sana Agness kwa umri wake sasa ana mgwaya. Agness wewe endelea na mambo yako huyo bank teller achana nae wanakuwaga wachovu kwa kazi zao za kuhesabu hela za watu, kaogopa mizinga.

Asante kwa ushauri
 
ulimpa mambo au ulijitazama kwe kioo ukajua lazima anase.......umetoa uchi kirahisi sana ndio maana keshakukimbia.....ila umejifunza kitu.......nna hakika..
 
Pole dada tatizo ulikurupuka na ukazuzuliwa na kazi ya jamaa sijui uliona ukimkubali harakaharaka utakuwa unaenda kuchota tu pesa benki!
BTW kama ameona we hufai baada ya kufaidi tunda lako bs mpotezee, achana nae kwan mwanaume n yeye tu? Mbna mnapenda kujipa stress sana?
Yawezekana kuna mwamba alishakufukuzia sana lakn kutokana na kwamba hakuwa mfanyakaz wa benki ulimchomolea!
Mimi ni binti nina miaka 24, nilikuwa na mahusiano ya kirafiki na kaka mmoja ambaye ni mfanyakazi wa benki moja hivi, baadaye tukawa wapenzi, akaniuliza kama nampenda kwa dhati au nina mtu mwingine, nilimjibu kuwa sina mtu mwingine zaidi yake.

Siku zikapita, kuna siku moja alinipigia simu majira ya saa moja usiku na kuomba nikaonane naye, sikuwa na wasiwasi nilifunga safari hadi nyumbani kwake.

Tuliendelea na mazungumzo ya kawaida ikafika sehemu akaniambia kuwa ana hamu ya kufanya mapenzi na mimi, kwa kuwa nilimpenda sikukataa, nikamkubalia tukaingia kwenye uwanja wa masumbwi.

Lakini tangu siku hiyo nilipompa penzi langu mara moja akawa haeleweki, kila nikimtafuta anasema yuko bize hata kama nikimwambia nina hamu ya kukutana naye faragha anasema kuwa nisubiri kwanza yeye yuko bize akipata nafasi atanitafuta.

Naombeni ushauri nifanyeje
 
Wasikudanganye ,jamaa alikuwa na mtu ake tyr ,chunguza lzm atakuwa kwny mahusiano alikuficha tu,nia yake ilikuwa kukujua uko je basi.
Habari za kuwa eti ww si mtamu achana nazo,tulia utampata akupendae kwa dhati ,and gain kuwa makini na vipanga ni wengi mjini ,wazee wa tamaa.
 
Hapana ila ninataka kusema kwamba wanaume muache unafiki wa kubashia maovu ya wanawake tu halafu ya kwenu mnayaacha
Hatufanani mkuu na haitokaa iwe hvyo, kwahiyo kwa hali kama hii unataka kuhalalisha uovu uendelee? Haiwez kuwa hvyo kwa sababu ya wachache.
 
Kwahiyo wanaume wote wanawakimbia wanawake kwa sababu hiyo tu hakuna nyingine?
trust me. KUM+MA yako INANUKA , au mdomo, nishawai mpotezea dem kwa sababu iyoiyo,

angalia ku ma yako vizuri

huo ndo ukweli

na iyo harufu haitamuondoka kichwani mwake mpaka ipite miezi 6
 
Kuwa mvumilivu uzidi kumsikilizia Inawezekana ikawa Kweli yupo busy
 
Back
Top Bottom