Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,091
- 111,711
Maana nini? Au wataka kusema mimi mbishi kuliko weweHapana sijaelewa ila nimeitikia tu ili yaishe maana.....
Maana nini? Au wataka kusema mimi mbishi kuliko weweHapana sijaelewa ila nimeitikia tu ili yaishe maana.....
Sio wavulana mabaharia haoNdiyo, kwa mujibu wa wavulana lakini.
😎😎
si ushasikia kwa Diamond,ifinyie kwa ndani??basi ana maana ukiona maumbile yako ni makubwa wakati wa ku do unabana na kuachia kibibi kama wanavyofanya kwenye kegel exercise (Google)...lol...
Hapa sjakuelewa mkuuKweli wewe ni mtu ambaye dah unawapa watu matumaini .
Akiwemo Sakayo
Hahahaaa
Tunakubali?? Hebu rekebisha hiyo kauli!!
Sio wavulana mabaharia hao
Kama tukiwakubali mnatuona mafala kwanini mtuombe??Sasa kama hamkubali mngekuwa mnapigwa?
Si mnakubali wenyewe kwa mioyo yenu isiyokuwa mikunjufu kuingiziwa nyama au?
Kama tukiwakubali mnatuona mafala kwanini mtuombe??
Binafsi mimi ukinikubali siwezi kukuona fala, sema muendelezo wa mahusiano yetu ndio utanionesha kuwa wewe ni fara au sio fara!
Kapime kwanza HIV ndio mjadala uendeleeMimi ni binti nina miaka 24, nilikuwa na mahusiano ya kirafiki na kaka mmoja ambaye ni mfanyakazi wa benki moja hivi, baadaye tukawa wapenzi, akaniuliza kama nampenda kwa dhati au nina mtu mwingine, nilimjibu kuwa sina mtu mwingine zaidi yake.
Siku zikapita, kuna siku moja alinipigia simu majira ya saa moja usiku na kuomba nikaonane naye, sikuwa na wasiwasi nilifunga safari hadi nyumbani kwake.
Tuliendelea na mazungumzo ya kawaida ikafika sehemu akaniambia kuwa ana hamu ya kufanya mapenzi na mimi, kwa kuwa nilimpenda sikukataa, nikamkubalia tukaingia kwenye uwanja wa masumbwi.
Lakini tangu siku hiyo nilipompa penzi langu mara moja akawa haeleweki, kila nikimtafuta anasema yuko bize hata kama nikimwambia nina hamu ya kukutana naye faragha anasema kuwa nisubiri kwanza yeye yuko bize akipata nafasi atanitafuta.
Naombeni ushauri nifanyeje
Tayari yamebaki manyoya!!!