Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 27,367
- 51,012
Anza na kanisani unaweza imba hata kwaya hao ndo watakua watu wa krbYan just like me, marafiki zangu nlonao n wale nlomaliza nao chuo, hatunaga story Zaid ya kuview status, huku mtaani Nako Sina rafiki n mm na kazi zangu basi hata ikitokea shughuli Sina wakuongozana nae, ni tabu kweli kweli nawaza hata siku nikiwa nshughuli nani atanisaidia so sad, and I don't know how to get out this![]()