Unavoidable Servant
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,289
- 3,278
Nakuweka sawa, kikatiba mama 2025 ndio anaanza 10 yake, akimaliza tunampa mitano ya shukrani mpaka 2040, hawa mapakashume watasubiri sana.Mama tunae mpaka 2030,akifuatiwa na Hussein Mwinyi mpaka 2040 na Mbowe au Lissu makamu ndani ya serikali mseto na katiba mpya, 2060 CHADEMA full!
Utakuwa ushapotea!
Note: nchi hii haitokabidhiwa tena kwa kichaa, Watanzania wote bila kujari vyama tumejifunza hilo.