mafisadi, wauza ngada, vyeti feki povu litaendelea kuwatoka daima mkilisikia jina la JPMNyerere huwezikumlingg
Huwezi kumlinganisha Nyerere na shetani, mwizi, muuaji, mbinafsi na katili Magufuli. Huenda huwajui wote wawili
mafisadi, wauza ngada, vyeti feki povu litaendelea kuwatoka daima mkilisikia jina la JPMNyerere huwezikumlingg
Huwezi kumlinganisha Nyerere na shetani, mwizi, muuaji, mbinafsi na katili Magufuli. Huenda huwajui wote wawili
Utamuogopaje mtu alieoza tayari?CHADEMA wakiona jina la Jiwe tumbo la kuhara linawashika wanakimbilia kupambana na Uzi.
Na aliwaweza kutoka kuwa na wabunge lukuki mpaka mmoja🤣🤣🤣
ukiona mtu unamfanyia propaganda ya kumchafua alafu anaendelea kupendwa jishtukie, laiti propaganda ingekua inasaidia nadhani magufuli ndo angekua binadam anaechukiwa zaidi tanzania maana kampeni kubwa ya kumchafua ilofanywa na mafisadi, wauza ngada,wakwepa kodi, vyeti feki mpaka sasa imeangukia pua vibaya mno.Acheni kumfananisha Nyerere na huyo mungu wenu Ibilisi.
Tumeshaanikia maovu yake hapa Kila siku bado mnaendelea kumwabudu tu.
Haya kama una ubavu nenda TANROADS omba structure ya kipande cha barabara wakati wa upembuzi yakinifu kisha baada ya kwisha nenda kapime upana wa hiyo barabara utaona mita moja kutoka kila upande ilivyoibwa na huyo mungu wenu.
Halafu jamaa alipokuwa nyapara wa mabarabara mkandarasi kama hujampa chake kama shukrani lazima akuwekee kiwingu unyimwe tenda nyingine
Awali ya yote huwezi kulinganisha kichaa na mtu timamu.
Ivyo walitofautiana saaana,Nyerere alikuwa ni binadamu na Magufuli alikuwa ni shetani.
The ugly/beast and the beautiful are different.
ACHA KUMDHALILISHA NYERERE !!
ukiona mtu unamfanyia propaganda ya kumchafua alafu anaendelea kupendwa jishtukie, laiti propaganda ingekua inasaidia nadhani magufuli ndo angekua binadam anaechukiwa zaidi tanzania maana kampeni kubwa ya kumchafua ilofanywa na mafisadi, wauza ngada,wakwepa kodi, vyeti feki mpaka sasa imeangukia pua vibaya mno.
1. Nyerere hakuwa muuaji,Kesho tarehe 14/10/2021 ni kumbukizi ya Miaka 22, tangia kuondokewa na Baba wa Taifa letu, Mwl. Julius Kambarage Nyerere.
Vijana wengi wa sasa hatukubahatika kumuona Mwl. Nyerere Bali tunamsoma tu vitabuni na kuskia masimulizi kumhusu.
Mfano:
1. Kwamba Mwl. Nyerere alipigania Uhuru wa Taifa letu
2. Kwamba Mwl. Nyerere hakutaka wazungu watuibie madini yetu na rasilimali zinginezo
3. Kwamba Mwl. Nyerere alitoa Elimu bure kwa watanzania kuanzia msingi hadi sekondari
4. Kwamba Mwl. Nyerere alijenga miundo mbinu ya reli, bandari na Barabara
5. Kwamba Mwl. Nyerere alianzisha mashirika ya Umma kama Air Tanzania, TRC, Tazara n.k
6. Kwamba Mwalimu Nyerere hakuwa na aibu kwa mafisadi wala wahujumu uchumi wa Taifa hili
7. Kwamba Mwl. Nyerere hakuwa tayari kutii maagizo ya Mabeberu.
8. Kwamba Mwalimu Nyerere ni Mzalendo aliyekuwa tayari kufa kwaajili ya Taifa lake.
Mambo hayo mazito, kuna vijana wanaodhani kwamba ni porojo, hayakufanyika na hakuna Mtanzania awezaye kuwatenda.
Tunapoadhimisha miaka 22 tangia kumpoteza Mzalendo wetu, ni dhahiri kwamba Mheshimiwa Hayati JPM ndiye Nyerere wa zama zetu.
Kama JPM ameweza kufufua mashirika ya umma, kukomesha wizi wa madini, kupitia upya mikataba ya madini, kuzuia hujuma ktk miradi ya umeme, kuhuisha reli ya kati na Tazara, kununua meli mpya, vivuko na ndege, kukomesha ujangili wa tembo, kutumbua mafisadi, kukataa maagizo ya mabeberu.
Ni Faraja kwamba Matendo ya Nyerere na Magufuli ni fundisho kwetu kuwa wazalendo, wachapa kazi na kuutetea Uhuru na kulinda rasilimali za Taifa.
Nawatakia Kumbukizi njema yenye Tafakuri kwetu
Umejitafutia Chaka la kujificha!
magufuli ni zaidi ya shujaa, kwa siasa za afrika ukiweza kuwakabili mabeberu na ukawashinda we ni zaidi ya shujaa, nyerere aliwakabili bt walipombana sana akaamua akang'atuka ili kulinda heshima yake.Magufuli alikuwa shujaaa
Ameyatimiza matakwa ya utumishi
kama huzijui siasa za tanzania ni bora ukakaa kimya kuliko kujiaibisha namna hii1. Nyerere hakuwa muuaji,
2. Nyerere hakuweka ndugu zake
3. Nyrere hakuwa katili
4. Nyerere hakumpiga Lisu risasi 32
inatosha
Hakuna anayefanya kampeni ya kumchafua, sema alivitumia vyombo vyote vya habari nchini kujinadi kwa gharama kubwa huku akiviazibu vile vilivyojaribu kusema ukweli.ukiona mtu unamfanyia propaganda ya kumchafua alafu anaendelea kupendwa jishtukie, laiti propaganda ingekua inasaidia nadhani magufuli ndo angekua binadam anaechukiwa zaidi tanzania maana kampeni kubwa ya kumchafua ilofanywa na mafisadi, wauza ngada,wakwepa kodi, vyeti feki mpaka sasa imeangukia pua vibaya mno.
Jizi, jinga lipenda sifamafisadi, wauza ngada, vyeti feki povu litaendelea kuwatoka daima mkilisikia jina la JPM
Wewe ni polisi div IVLisu alikuwa muasi ALIKUWA ANATUMIWA NA MABEBERU
ALIDILIKI KUSHIRIKI KUSAIDIA NDEGE YETU IKAMATWE NA WAZUNGU
ALISEMA WAZUNGU TUKIWAVUNJA MIKATABA TUTAFUNGWA TUTAWALIPA ALIHONGWA ILI ALITOPOTEZE TAIFA
MIMI SIKUONA KUWA MAWAZO YAKE YALIKUWA SAHIHI KUSAIDIA WAZUNGU ILI KUTUNYANYASA NDIO MAANA ALIKIMBILIA KULE
Magufuli ni next to Lucifer. That's it.magufuli ni zaidi ya shujaa, kwa siasa za afrika ukiweza kuwakabili mabeberu na ukawashinda we ni zaidi ya shujaa, nyerere aliwakabili bt walipombana sana akaamua akang'atuka ili kulinda heshima yake.
Kila muuaji hana uzima ndani yake, Magufuli alikuwa muuaji, yuko jehanumWewe ukiwa malaika ni kweli lakini wewe ukiwa shetani yeye ni opposite yake...He has a different spirit from yours.....Ufisadi haulipi just a while tutafika tu!
Hapo anafananishwa malaika na shetani.Kesho tarehe 14/10/2021 ni kumbukizi ya Miaka 22, tangia kuondokewa na Baba wa Taifa letu, Mwl. Julius Kambarage Nyerere.
Vijana wengi wa sasa hatukubahatika kumuona Mwl. Nyerere Bali tunamsoma tu vitabuni na kuskia masimulizi kumhusu.
Mfano:
1. Kwamba Mwl. Nyerere alipigania Uhuru wa Taifa letu
2. Kwamba Mwl. Nyerere hakutaka wazungu watuibie madini yetu na rasilimali zinginezo
3. Kwamba Mwl. Nyerere alitoa Elimu bure kwa watanzania kuanzia msingi hadi sekondari
4. Kwamba Mwl. Nyerere alijenga miundo mbinu ya reli, bandari na Barabara
5. Kwamba Mwl. Nyerere alianzisha mashirika ya Umma kama Air Tanzania, TRC, Tazara n.k
6. Kwamba Mwalimu Nyerere hakuwa na aibu kwa mafisadi wala wahujumu uchumi wa Taifa hili
7. Kwamba Mwl. Nyerere hakuwa tayari kutii maagizo ya Mabeberu.
8. Kwamba Mwalimu Nyerere ni Mzalendo aliyekuwa tayari kufa kwaajili ya Taifa lake.
Mambo hayo mazito, kuna vijana wanaodhani kwamba ni porojo, hayakufanyika na hakuna Mtanzania awezaye kuwatenda.
Tunapoadhimisha miaka 22 tangia kumpoteza Mzalendo wetu, ni dhahiri kwamba Mheshimiwa Hayati JPM ndiye Nyerere wa zama zetu.
Kama JPM ameweza kufufua mashirika ya umma, kukomesha wizi wa madini, kupitia upya mikataba ya madini, kuzuia hujuma ktk miradi ya umeme, kuhuisha reli ya kati na Tazara, kununua meli mpya, vivuko na ndege, kukomesha ujangili wa tembo, kutumbua mafisadi, kukataa maagizo ya mabeberu.
Ni Faraja kwamba Matendo ya Nyerere na Magufuli ni fundisho kwetu kuwa wazalendo, wachapa kazi na kuutetea Uhuru na kulinda rasilimali za Taifa.
Nawatakia Kumbukizi njema yenye Tafakuri kwetu
mshindwe kuwa mashetani nyie wauza unga, wauza raslimali za taifa hovyo alafu alieyadhibiti hayo ndo awe shetani? endeleeni kujifariji.Hakuna anayefanya kampeni ya kumchafua, sema alivitumia vyombo vyote vya habari nchini kujinadi kwa gharama kubwa huku akiviazibu vile vilivyojaribu kusema ukweli.
Magufuli ni shetani kabisa
Mzee mzima ungetengeneza timu yako kwanza ya kukusaidia dhidi ya hizi hoja. Sasa naona unashindwa hata uanzie wapiKesho tarehe 14/10/2021 ni kumbukizi ya Miaka 22, tangia kuondokewa na Baba wa Taifa letu, Mwl. Julius Kambarage Nyerere.
Vijana wengi wa sasa hatukubahatika kumuona Mwl. Nyerere Bali tunamsoma tu vitabuni na kuskia masimulizi kumhusu.
Mfano:
1. Kwamba Mwl. Nyerere alipigania Uhuru wa Taifa letu
2. Kwamba Mwl. Nyerere hakutaka wazungu watuibie madini yetu na rasilimali zinginezo
3. Kwamba Mwl. Nyerere alitoa Elimu bure kwa watanzania kuanzia msingi hadi sekondari
4. Kwamba Mwl. Nyerere alijenga miundo mbinu ya reli, bandari na Barabara
5. Kwamba Mwl. Nyerere alianzisha mashirika ya Umma kama Air Tanzania, TRC, Tazara n.k
6. Kwamba Mwalimu Nyerere hakuwa na aibu kwa mafisadi wala wahujumu uchumi wa Taifa hili
7. Kwamba Mwl. Nyerere hakuwa tayari kutii maagizo ya Mabeberu.
8. Kwamba Mwalimu Nyerere ni Mzalendo aliyekuwa tayari kufa kwaajili ya Taifa lake.
Mambo hayo mazito, kuna vijana wanaodhani kwamba ni porojo, hayakufanyika na hakuna Mtanzania awezaye kuwatenda.
Tunapoadhimisha miaka 22 tangia kumpoteza Mzalendo wetu, ni dhahiri kwamba Mheshimiwa Hayati JPM ndiye Nyerere wa zama zetu.
Kama JPM ameweza kufufua mashirika ya umma, kukomesha wizi wa madini, kupitia upya mikataba ya madini, kuzuia hujuma ktk miradi ya umeme, kuhuisha reli ya kati na Tazara, kununua meli mpya, vivuko na ndege, kukomesha ujangili wa tembo, kutumbua mafisadi, kukataa maagizo ya mabeberu.
Ni Faraja kwamba Matendo ya Nyerere na Magufuli ni fundisho kwetu kuwa wazalendo, wachapa kazi na kuutetea Uhuru na kulinda rasilimali za Taifa.
Nawatakia Kumbukizi njema yenye Tafakuri kwetu
kujifariji kwa maneno hatuwakatazi ila alama alizoacha mwamba zitaendelea kuwaumbua na propaganda zenuJizi, jinga lipenda sifa