Ambao hatujawahi kunywa pombe au kuvuta sigara, tukutane hapa

Intelligent businessman

JF-Expert Member
Sep 6, 2022
26,333
53,248
Katika ukuaji wangu wote hadi leo, sija wahi kuvuta sigara au kunywa pombe.
👉Sio ushamba ila hivyo sio vipaumbele vyangu.

Vipi Kuna wenzangu na mimi??
istockphoto-1075891348-1024x1024.jpg
Screenshot_20240203-165708_1.jpg
FB_IMG_17069686428673936.jpg
 
Am not addicted to anything, that one strength i have.
1. Sijawai kunywa pombe ya aina yoyote hata kuonja,
2. Sijawai kuvuta sigara yoyote, labda makaratasi utotoni
3. Sijawai kubet na sijui
4. Sijawai kunywa energy drink yoyote
5.... Niiendelee niacheeeeeeee...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom