Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,411
- 11,061
Wasalaam,
Jana nimepita starpark Morogoro nikiwa natoka DSM kurudi Dodoma nimempigia demu wangu mmoja bahati mbaya yupo kilosa, sasa bhana si nikaingia starpark kula vyombo nikawa natupia Hanson choice baadae nikahamia kunywa bia Serengeti larger kubwa.
Sasa kuna demu mmoja alikuwa anacheza mziki kiuchokozi sana tako lake la kawaida Ila vybez zake alikuwa ananinyegeza sana, haki ya nani nilishindwa kuchomoa nikamcheki akanambia ukitaka kuondoka unambie tuondoke.
Basi muda ukasogea natupia vyombo kama kawa na yeye anaupiga mwingi kivyake.
Baada ya kutupia maserengeti kama 8 akanifata akanambia nikupe kampani tucheze mziki.
Dadadadeki yuko laini na kigauni cha mtelelezo.
Few minutes later nikamwambia twende tukalale tukasepa kwenda lodge. Aisee usiombe nimefika Niko fresh nikaanza kunyandua style kama 4 hivi, imagine si nikazima kabla hata ya kukojoa wazungu, nimelala mazima.
Baadae saa 12 nimestuka nashangaa kuna mwanamke kitandani pembeni yangu, nimestuka nikajishika dude langu kwenye kichwa akili ikakumbuka kwamba daah nilinyandua bila kukojoa, kabla ya memory kurudi nilihisi nimevamiwa na baadae nashangaa demu ananikiss.
Muda huo nawaza nitoke niwashe chuma niwahi usumbufu njiani, basi nimeishia kupewa shoo moja ya asubuhi ya kibabe nikamtoa na bei elekezi ya kitaifa elfu30 amefurahi kachukua namba, baada ya kufika Gairo nimemtumia muamala wa elfu25 kwa sababu sio mwizi leo ningekoma.
Nilikuwa na laki 5 kwenye Koti na laki 3 kwenye wallet.
Nimekoma pombe mixer sio sigara mix nimejiona fala sana.
Hanson choice 2 na Serengeti larger kubwa 8 nimetepeta vibaya. Usiniulize nimeuza mechi au sijauza. Ibaki hivyo tu pombe sio sigara.
Nawaomba radhi mabaharia Leo nimezingua sana.
Asante
Wadiz
Jana nimepita starpark Morogoro nikiwa natoka DSM kurudi Dodoma nimempigia demu wangu mmoja bahati mbaya yupo kilosa, sasa bhana si nikaingia starpark kula vyombo nikawa natupia Hanson choice baadae nikahamia kunywa bia Serengeti larger kubwa.
Sasa kuna demu mmoja alikuwa anacheza mziki kiuchokozi sana tako lake la kawaida Ila vybez zake alikuwa ananinyegeza sana, haki ya nani nilishindwa kuchomoa nikamcheki akanambia ukitaka kuondoka unambie tuondoke.
Basi muda ukasogea natupia vyombo kama kawa na yeye anaupiga mwingi kivyake.
Baada ya kutupia maserengeti kama 8 akanifata akanambia nikupe kampani tucheze mziki.
Dadadadeki yuko laini na kigauni cha mtelelezo.
Few minutes later nikamwambia twende tukalale tukasepa kwenda lodge. Aisee usiombe nimefika Niko fresh nikaanza kunyandua style kama 4 hivi, imagine si nikazima kabla hata ya kukojoa wazungu, nimelala mazima.
Baadae saa 12 nimestuka nashangaa kuna mwanamke kitandani pembeni yangu, nimestuka nikajishika dude langu kwenye kichwa akili ikakumbuka kwamba daah nilinyandua bila kukojoa, kabla ya memory kurudi nilihisi nimevamiwa na baadae nashangaa demu ananikiss.
Muda huo nawaza nitoke niwashe chuma niwahi usumbufu njiani, basi nimeishia kupewa shoo moja ya asubuhi ya kibabe nikamtoa na bei elekezi ya kitaifa elfu30 amefurahi kachukua namba, baada ya kufika Gairo nimemtumia muamala wa elfu25 kwa sababu sio mwizi leo ningekoma.
Nilikuwa na laki 5 kwenye Koti na laki 3 kwenye wallet.
Nimekoma pombe mixer sio sigara mix nimejiona fala sana.
Hanson choice 2 na Serengeti larger kubwa 8 nimetepeta vibaya. Usiniulize nimeuza mechi au sijauza. Ibaki hivyo tu pombe sio sigara.
Nawaomba radhi mabaharia Leo nimezingua sana.
Asante
Wadiz