Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 22,771
- 27,504
Hongera...sana./ tujiajiri kwa wingi /
Hivi wewe huwa ni miss kweli? basi mmari utatujuza..we mtwange fotoooo utupie humumkuu toa direction vizuri kesho nakuja ila kula maji tu
Nimekusoma. Nitapita hapo soon.Sawa wakuu. Ukiwa mabibo mwisho nenda mbele kama unaenda Loyola High school hadi kituo cha basi kinachoitwa Mwembeni ambapo ni barabara ya tatu mkono wako wa kulia na ukiwa hapo muulizie mtu yeyote Ambagai Bar atakuonyesha. Ipo karibu kabisa na Barbara na kwa wale wenyeji zaidi ipo nyuma ya promise lounge na inatazamana na zahanati ya Mabibo
hahahah... Amehamia M a ta k o bar ya ArushaYule mdada mweupe mwenye msambwanda bado yupo?.