puker
JF-Expert Member
- Nov 22, 2018
- 940
- 1,847
Ajibiyo jibijibiyoAyawenaAjibijibiyooo
Ajibiyo jibijibiyoAyawenaAjibijibiyooo
Tatizo hujawahi niambia viwanja au beach kali.. Mi sio wa kwenda Beach za Bure napishana na mabeki tatu tupu..Amapiano huwa tamu, ukikuta kuna pisi kali zinacheza... yaani udenda lazima ukutoke 😋😋😋😋
😁😁😁😁 Hapa dar viwanja huwa tuna switch.. unaweza nikuta Juliana, ukanikuta samaki samamki, ukanikuta havoc alafu narudi nyumbanj kutokea kidimbwi 😁😁Tatizo hujawahi niambia viwanja au beach kali.. Mi sio wa kwenda Beach za Bure napishana na mabeki tatu tupu..
Yaba buluku rmx ft burna boy hatari mno burna kaua mbaya.....Hata davido na Burn boy wameimba, ila wabongo wamezidi na ni ushamba
Aah mi nazitwanga ndekule.kmMshana Jr njoo tusikilize Wana Sikinde Ngoma ya ukae hapa barazani kwangu 😄😄😄
Umetisher babukijana 😍😍😍Aah mi nazitwanga ndekule.km
"Wote ni abiria wangu wee mi ni taxi dreva,na zainab.
Waache waendelee na makwasukwasu yao
Kama ndo hela ipo hapo kwenye style za amapiano akuna shida,watu wanatazama fursa iko wapi kisha wanaichangamkia.
Yes Azawi, sasa yumo kwenye mdundo wa singeli kashirikishwa na mtoto wa mtwara anaitwa Kinata Mc ngoma inaitwa Do li Me.Azawi ana ngoma inaitwa quinamino naikubali sana
Ndo manaake!Umetisher babukijana 😍😍😍
Ni usenge,mwendo wa kucopy na kupaste kutoka kwa madiba ivi nikweli tumeshidwa kukuza bongofleva,singeri,taarabu mpaka tunashindana kuleta mziki wa nje hapa bongoNaona sasa imekua ndo kawaida kwa wasanii wetu kila wimbo unaotoka ni Amapiano sijui amopiano yaani zinafanana kwa kila kitu,binafsi naona ni upuuzi mtupu!!
hamna lyrics, hamna ujumbeSijawahi kuielewa Amapiano, japokuwa naona kama midundo hii inatrend Africa kuliko midundo ya Kinaija, ila mimi bado mpaka sasa hamna hata nyimbo niliyo ielewa.
ndio maana heshima kwa Kiba, hautamkuta kwenye ujinga huuNaona sasa imekua ndo kawaida kwa wasanii wetu kila wimbo unaotoka ni Amapiano sijui amopiano yaani zinafanana kwa kila kitu,binafsi naona ni upuuzi mtupu!!
Tatizo anarekodia video kwenye chemba za maviwasanii watanzania kila mmoja kukimbilia kuimba Amapiano ambayo ya SA ni ushamba wa kiwango cha lami.
Nimependa sana Msaanii wa Singeli Kinata MC katoa nyimbo na mwanadada wa Uganda anaitwa Azawi nyimbo inaitwa Do le mi Go remix,
Taratibu singeli imeanza kueleweka East Africa.
kakweli mana huwezi fananisha VULA MLOMO na hizi utopoloAmapianos za WaSouth wenyewe ndo nzuri, lakini hizi za kibongo ni makelele ya Nzi wa Kijani.
Hivi taarabu Ni mziki wetu?Ni usenge,mwendo wa kucopy na kupaste kutoka kwa madiba ivi nikweli tumeshidwa kukuza bongofleva,singeri,taarabu mpaka tunashindana kuleta mziki wa nje hapa bongo
Hayo ni mazingira halisi ya uswahilini kwaoTatizo anarekodia video kwenye chemba za mavi